Na bado hata kama Raisi awe malaika haitafuta ukweli wa neno la Mungu kuwa "asiyefanya kazi na asile".
KUMBUKA:
Mbingu na nchi zitapita lakini kamwe neno lake Mungu lililonenwa halitapita bila ya kutimia, fanya kazi kwa bidii mambo mazuri yako mbele kwa mbele.