Maisha si vita. Ni mapambano mpaka mwisho. Hakuna haja ya kukata tamaa kisa mshahara mdogo. Njoo kazini kwanza, utajifunza njia mbalimbali za kukuingizia mapato. Kama kweli una nia ya kutengeneza pesa, hamna haja ya kukata tamaa.
Tatizo ninyi mnataka mtengenezewe pesa, mlipwe mshahara wa mikubwa tu,hamfikirii ni namna gani nitatumia niongeze kipato changu.
TUBADILIKE.
hebu jiheshimuhuo ni mshahara wa house gal au mwalimu,acha masihara wewe!
wewe house girl wako unamlipa 380,000?
angalia figure alizoandka huyo msela na zako kama ziko sawa?
ha ha ha ha....sasa hutakiiii??? ndo Tanzania yako hiyo baada ya miaka 50 ya uhuru.huo ni mshahara wa house gal au mwalimu,acha masihara wewe!
ha ha ha ha....sasa hutakiiii??? ndo Tanzania yako hiyo baada ya miaka 50 ya uhuru.
Somo gani?? kama ni Maths,na unakamua mzigo wa ukweli,madenti wakakukubali,sioni haja ya kusubiria posts za serikali! Hapo utalipwa mpaka 900,000 mpaka 1,000,000 ni wewe tu unajiwekaje!!!!
mshahara wa mwl. Wa degree ni tgts d1 ambao ni jiwe 469,200. Makato
Pspf au lapf: 23,460
cwt: 9,384
Income tax: 50,524
Nhif/bima afy: 14,076
rcur : 47.4
Rprv : 2.6
Amount due/take home jiwe 371,800... Ila sometymz makato mengine hayakatwi,, unakamata mkononi jiwe 402,000 au 422,300........ Kama uko serious mchakato ndo huo mwl. Mtarajiwa...
serikalini matatizo kibaoooo ila faida ni
1.. Job security/ ngumu kutimuliwa kazi
2.. Ukienda soma mshahuuura unaingia kama kawa kipindi hauko kazini
3... Ukiongeza shule wanakuboost mshahara
4.. Kila mwaka kuna kanyongeza kaincrement kama 10,000 hivi plus na kupanda kajidaraja kadogo eg. D1 unaenda d2{but after 3 yrs unapanda daraja kubwa D unaenda E} etc