Duka la dawa za mifugo na kilimo Mwanza

Duka la dawa za mifugo na kilimo Mwanza

Finder boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
608
Reaction score
150
je ktk jiji la mwanza duka la kuaminika la dawa za mifugo na kilimo linapatikana mtaa gani?
 
Kimsingi hakuna. Na hasa dawa za tiba na chanjo za Kuku zote ni Feki sijui wanaweka Juice, na za Kwny pakiti wanaweka Unga wa ngano ulochanganywa na Food Colour. Unachanja kuku Lakini kila cku unaokota kuku alokufa Bandani
 
Kimsingi hakuna. Na hasa dawa za tiba na chanjo za Kuku zote ni Feki sijui wanaweka Juice, na za Kwny pakiti wanaweka Unga wa ngano ulochanganywa na Food Colour. Unachanja kuku Lakini kila cku unaokota kuku alokufa Bandani

Juzi nilikua natafuta ile ya kuweka tone jichoni kwa kuku, wakaniambia zilipigwa marufuku kwani zipo feki za kumwaga.
 
je ktk jiji la mwanza duka la kuaminika la dawa za mifugo na kilimo linapatikana mtaa gani?

Mkuu kwema? Pamoja na majibu mazuri uliyopata, je uliweza kupata Duka? Ninauliza hivyo kwa kuwa kuna jamaa yangu hapo Mwanza anajipanga kuingia kwenye ufugaji Kuku. Anajipanga kuanza na Kuku wa Nyama baadae kupanuka na kuelekea Kuku wa Mayai na Kienyeji.

Kama ulipata Duka, naomba unielekeze ili tumsaidie jamaa!

Shukrani!
 
Mkuu kwema? Pamoja na majibu mazuri uliyopata, je uliweza kupata Duka? Ninauliza hivyo kwa kuwa kuna jamaa yangu hapo Mwanza anajipanga kuingia kwenye ufugaji Kuku. Anajipanga kuanza na Kuku wa Nyama baadae kupanuka na kuelekea Kuku wa Mayai na Kienyeji.

Kama ulipata Duka, naomba unielekeze ili tumsaidie jamaa!

Shukrani!

Ikawa Asubuhi, Ikawa Jioni, Jumatatu, tarehe 7/10/2013 - majibu ni bila - bila! Poa tu, jamaa atawapigilia juisi ya muarobaini Kuku mpaka kieleweke!
 
Back
Top Bottom