Duka la jumla

electrical

Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
30
Reaction score
3
Wakuu 3 mil naweza anzisha duka la jumla maeneo ya mbagala charambe?
Msaada plz kwa wazoefu
 
Unaweza kuanza na bidhaa chache.
Fanya kautafiti kadogo ujue bidhaa gani zinatoka sana huko uanze nazo baadae unapanua operations zako.
Ila kwa haraka haraka unaweza kuanza na vyakula la uuze kwa bei ya chini kidogo kuwavutia watu wasiende mbali zaidi waje kwako tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…