specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 618
...
.
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zangu salam!
Yamenikuta mwenzenu.
Nimenunua dawa kilimani Pharmacy wiki iliyopita terehe 21/2015.. dawa za matumizi ya mwezi mzima!
Leo,nikaamua kupitia pitia "pakti" ya dawa vizuri,heeeeeee!Mungu mkubwa maana nilichokiona kimenipa mshtuko wa hali ya juu,..
Dawa zimeandikwa zina-expire mwezi wa 04/2015.
★Sasa nataka nitoe fundisho kwa wauzaji wa dawa zilizopitwa na wakati,dawa zilizo expire!!!
★Nataka nifungue kesi mahakamani.
I have had of the owner too he is a good man just face him...unajua kwenye hii dunia nimejifunza ukifanya kila kitu.kesi utaishi a very stressing life maana utakutana na watu ambao wao ndo wanazipenda sasa na hizo safari za mahakamani na hela juu duuh utachoka wewe nenda wajulishe na wasikilize wanakuhudumiaje!!maana sawa hata ukishindwa kesi ikifungwa kupata pharmacy ingine ya kueleweka itakuwa kazi pia
Mbona hakuna tatizo hapo. Walikuuzia dawa kabla ya mwezi April na wewe utatumia mwezi mzima means Utamaliza dozi ndani ya mwezi April, so still the dawa itakuwa bado viable.
Otherwise kama unadhani kufika April itakuwa imeexpare basi ni kosa la kawaida sana kwa muuza dawa na wala sio issue kubwa sana kama ulivyo raise hapa.
The Kilimani Pharmacy is one of the biggest and Best Pharmacy here in Tanzania, unachotaka kufanya ni kuogopesha wanunuzi unnecessary, wakati unajua kabisa things kama hizo ni technical issue ambazo ni common sana.
Umeshafail kiushahidi,ungekuwa serious ungefuata taratibu kimya kimya ili kutompa nafasi mshukiwa kuondoa ushahidi! Mbili ni kosa kutoa kauli kubwa hivi ukimtaja wazi mshukiwa bila kuweka vielelezo visivyoacha shaka, perhaps mna mgogoro wa kimaslahi who knows!
Una panic tu bure hizo dawa hazina shida kabisa expired date Ya dawa huwa inahesabiwa mwishon mwa hiyo mwa mwez mfano dawa zako zimeandikwa 4/2015 maana yake ni tarehe 31/4/2014 . Na wew umenunua dawa tarehe 21/3/2015
Kwa hiyo bado dawa iko active . Kwa hiyo ondoa wasiwasi mkuu