Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Nina mpango wa kumfungulia mke wangu biashara. Mimi ni mtumishi na kwa kipato changu naweza kukopa benki mpaka Tsh 15 milioni. Je, zinatosha kwa duka la nguo za wanawake na watoto? Duka hilo nataka kuliweka mkoani kigoma ambapo frem ya duka ni kiasi cha Tsh 150,000 kwa mwezi.
Je, kwa Dar ninaweza kupata wapi mzigo wa jumla wenye nguo nzuri na za kisasa?
Wenye uzoefu na masuala haya ya Fashion naombeni ushauri wenu.
Je, kwa Dar ninaweza kupata wapi mzigo wa jumla wenye nguo nzuri na za kisasa?
Wenye uzoefu na masuala haya ya Fashion naombeni ushauri wenu.