Duka la urembo wakina dada

Duka la urembo wakina dada

Charliemic

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2019
Posts
602
Reaction score
969
Nimepata wazo la kufungua duka litakalouza vifaa vya urembo kwa wakina Dada (cosmetics) maeneo ya Mbezi ya kimara au Kibaha. Nimewaza kuweka perfume mbali mbali! Mafuta ya kupaka, lotion, sabuni za manukato, rangi za kucha.

Je nahitaji kuwa na mtaji wa kiasi gani!?

Kariakoo nitapata bidhaa kwa bei nafuu!? Au niende Zanzibar!?
Sina idea ya biashara wala sijawahi kufanya. Naomba mnipe experience zenu wakuu!?
 
Nimepata wazo la kufungua duka litakalouza vifaa vya urembo kwa wakina Dada (cosmetics) maeneo ya Mbezi ya kimara au Kibaha. Nimewaza kuweka perfume mbali mbali! Mafuta ya kupaka, lotion, sabuni za manukato, rangi za kucha.

Je nahitaji kuwa na mtaji wa kiasi gani!?

Kariakoo nitapata bidhaa kwa bei nafuu!? Au niende Zanzibar!?
Sina idea ya biashara wala sijawahi kufanya. Naomba mnipe experience zenu wakuu!?
Unamsingi kiasi gani? Nipm nikununulie vitu Kwa bei ya jumla bei rafiki kabisa
 
Back
Top Bottom