Wakuu,
Nahitaji kufungua duka kwaajili ya kuuza viatu vya kiume, walengwa ni vijana wenye umri wa kuanzia miaka 15 mpaka miaka 35.
Hivyo naombeni ushauri wenu, ni jina gani litafaa kwaajili ya duka langu. Ukizingatia nimelenga vijana wa mjini (masharobaro). Mimi nilifikiria jina la Miguu Classic, ushauri please
Karibuni sana kwa mawazo yenu