Nichek mim 0654574563. .pia nina uzi zangu humu unaweza kuziangalia..nipo kariakoo agrey streetMimi ni kijana nataka Kufungua duka la vifaa vya simu niko Iringa ila sijui wapi nitafungashia mzigo.
AsanteNichek mim 0654574563. .pia nina uzi zangu humu unaweza kuziangalia..nipo kariakoo agrey street
Ungekua specific ingesaidia sana mana DSM nikubwa
Nimejaribu kuwafata na kuwadadisi ila watanzania niwatu tunaopenda sifa unakuta duka linamtaji mdogotu ila anasema nafangashia DubaiVijana wenzio waliopo hapo Iringa wao wanachukulia wapi?
Hauko serious na biashara na usipoangalia watakutapeli.. kua makiniNimejaribu kuwafata na kuwadadisi ila watanzania niwatu tunaopenda sifa unakuta duka linamtaji mdogotu ila anasema nafangashia Dubai
AsanteHauko serious na biashara na usipoangalia watakutapeli.. kua makini