Duka la vifaa mbalimbali na vyakula vinywaji na bidhaa za ndani linauzwa hapa Tabata Sigara, lipo eneo zuri na ni kubwa kwa thaman ya shiling millioni 8 ila maelewano yapo. Kwa kujiakikishia njoo ulione mwenyewe. Call me 0652740304.
hebu weka nyama bsi kwenye tangazo lako mfano taarifa zifuatazo
- hiyo milioni 8 ni pamoja na bidhaa zilizomo au ni eneo tu?
- je mnunuaji atahitaji kuingia mkataba wa pango?
- je mmiliki wapango ni wewe au mtu mwengine?