Kweli maendeleo yana mambo yake, nadhani hao vijana walikuwa wako binded na sharia na inaonekana ndio mara yao ya kwanza kuona chu*i ya mwanamama adharani,
Wacha wale kwa macho. Huyo aliyetinga t-shirt na jeans ni mwenzao kweli? Mbona hajatinga sare sare na wenzake, ama ndio kusema anawachora mab**ge mtozeni washangaao sanamu!
Mi hapa siwashangai kabsaa kwa maana hata sisi kuna vitu ambavyo kama ni mara ya kwanza kuviona lazima tuvikodolee macho!! nadhani kwa hao jamaa kutokana na sheria za kiislam kuona ch**i ya demu nje nje la haula lazima uitolee macho!
Dubai mshafika nyie?
wanawake wa Dubai wanavaa kuliko wazungu. hakuna kisichokuwepo huko, night clubs za kumwaga.
hiyo picha wasi wasi wangu mtu kaibandua mahala bila ya kujua maana ya muweka picha.
lets not jump to conclusion that first ppl........maana naona tunataka kugeuka 'wazungu' wanaoamini kila muafrica ameshawahi kumuona simba mwituni kwa kuwa africa nzima ni mwitu