Hahah!! bado nahitaji muda muhuhakikishaDuke mzee wa ngumu [emoji122]
Ni hip hop au bongo fleva.Nataka nikarekod bonge la ngoma kwa duke maana huwa ana midundo ya hatar sana
YapDuke uliemtoa benpol,sterio,Niki mbishi au duke yupi?
HahahaNi shida hiyo mitupio si ya kimama
Swaga hizoFid Q anavaaga mapensi na masoksi marefu mpk magotini
Ivi uku jf kuna kitufe cha Ku report ....acha tuwasiliane na musika na jinalake sio kwa upupu unao zilisha udunya wako
Aaa et unasema jaman kweli?Ni hip hop au bongo fleva.
Hebu Fanya flow kidogo tusikie kwanza naweza kukuunganisha kwa nahreel.... [emoji13] [emoji23] [emoji91] [emoji441] [emoji444]
Ni hip hopNi hip hop au bongo fleva.
Hebu Fanya flow kidogo tusikie kwanza naweza kukuunganisha kwa nahreel.... [emoji13] [emoji23] [emoji91] [emoji441] [emoji444]
Duh, sikujua aisee,Ndo mimi
kwema kabisa,haya utulushage huko duke ukipata fursa.Mambo dada
Mzee baba mbona kazi hatusikiii tena VP Mlab ipo kwerNdo mimi
haha hahhaWe mbuzi nini acha shobo na Wanaume
kwakweli mimi mwenyew kanitoa kwenye reli ..duke huyu huyu naye mjua mimi mzee wa kubum kuba"".... may be anaweza kuwa ndiye yeye ""....maana naye alikuwa anajiita hivyo hivyo duke touchHahah!! bado nahitaji muda muhuhakikisha
Hili ni tango pori mkuu wala sie yeyekwakweli mimi mwenyew kanitoa kwenye reli ..duke huyu huyu naye mjua mimi mzee wa kubum kuba"".... may be anaweza kuwa ndiye yeye ""....maana naye alikuwa anajiita hivyo hivyo duke touch