Dukuduku: Kuchapiwa demu uliyemtoa Bikira haiumi

Dukuduku: Kuchapiwa demu uliyemtoa Bikira haiumi

YE67NBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
15,155
Reaction score
36,337
Majuzi nilileta thread kuhusiana na faida ya ndoa kwa mwanaume tajiri ni nini, nashukuruni kwa michango yenu.

Nina ka story kadogo cha demu fulani hivi niliomtokeaga 2018 hapo kalikuwa kamemaliza F6, nilimkuta kwenye duka langu la Mangi. Uzuri kama kawaida yangu nilitumia nguvu ya hela ikatiki.

Na namshukuru Mungu alinipa ushirikiano mzuri wa penzi kumbe nilikuwa mwanaume wake wa kwanza bana asee sikuamini kwa ule uzuri kuwa atakuwa bikra sema kwa vile ndo kalikua kimemaliza F6, sikushtuka sana.

Basi bana baada ya kunizawadia bikra yake nikawa nae kwa miaka 4 full, ila tulikuja kuachana mwezi wa 8/2022 sababu ya yeye kunicheat na muhuni tu wa mtaani.

Anyway siwezi kumlaumu maana mimi pia ni malaya tu promax, na majukumu ndo kipaumbele changu hivyo nilikuwa simpi muda kwenye mahusiano yetu.

Ila sijui kwanini haikuniumiza sana kihivyo, nahisi kwa vile nilimtoa bikra yake. Dukuduku langu naona kuwa ukiwa na demu au mke bikra ni fahari zaidi maana ile pride inayotokana na kumtoa bikra ni next level.👏

Yaani kuna ka feeling fulani hivi kazuri unakuwa nako moyoni.

Muwe na siku njema.
 
FB_IMG_16868926440106457.jpg
 
Hivi mpaka sasa kuna mwanaume ana chukia kuchapiwa demu au mke wake kweli😲😲😲 wanawake wenyewe hawa breki pumbuz 🤣🤣🤣🤣
 
Mbona kama umeumia?

Kwa umalaya wako pro max ndo umemuanzia uzi huyo tu. Kwanini. Hadi unafanya analysis kama umeumia au lah.

Pole mkuu ila kuna namna umeumia.
 
Majuzi nilileta thread kuhusiana na faida ya ndoa kwa mwanaume tajiri ni nini, nashukuruni kwa michango yenu.

Nina ka story kadogo cha demu fulani hivi niliomtokeaga 2018 hapo kalikuwa kamemaliza F6, nilimkuta kwenye duka langu la Mangi. Uzuri kama kawaida yangu nilitumia nguvu ya hela ikatiki.

Na namshukuru Mungu alinipa ushirikiano mzuri wa penzi kumbe nilikuwa mwanaume wake wa kwanza bana asee sikuamini kwa ule uzuri kuwa atakuwa bikra sema kwa vile ndo kalikua kimemaliza F6, sikushtuka sana.

Basi bana baada ya kunizawadia bikra yake nikawa nae kwa miaka 4 full, ila tulikuja kuachana mwezi wa 8/2022 sababu ya yeye kunicheat na muhuni tu wa mtaani.

Anyway siwezi kumlaumu maana mimi pia ni malaya tu promax, na majukumu ndo kipaumbele changu hivyo nilikuwa simpi muda kwenye mahusiano yetu.

Ila sijui kwanini haikuniumiza sana ki hivyo, nahisi kwa vile nilimtoa bikra yake. Dukuduku langu naona kuwa ukiwa na demu au mke bikra ni fahari zaidi maana ile pride inayotokana na kumtoa bikra ni next level.👏

Yaani kuna ka feeling fulani hivi kazuri unakuwa nako moyoni.

Muwe na siku njema.
Kwani ulioa mkuu!
 
Kuna moja ilinishinda kutoa coz alikuwa analia sana nikamuacha then nimekutana nae wamepiga wengine ,Ila huyu wa sasa sikubali mpaka ntaitoa hiyo bikra[emoji38][emoji38]
 
Huyo Dem bila shaka alikuwa gogo.Angekuwa kiuno feni,walahi usingekuja kujishaua hapa.Maumivu ya mwanaume hutokana na kwalit ya manzi,kuanzia nyapu mnato,viuno laana,na Tako la kubambia,sura tutavumiliana kidogo.
 
Majuzi nilileta thread kuhusiana na faida ya ndoa kwa mwanaume tajiri ni nini, nashukuruni kwa michango yenu.

Nina ka story kadogo cha demu fulani hivi niliomtokeaga 2018 hapo kalikuwa kamemaliza F6, nilimkuta kwenye duka langu la Mangi. Uzuri kama kawaida yangu nilitumia nguvu ya hela ikatiki.

Na namshukuru Mungu alinipa ushirikiano mzuri wa penzi kumbe nilikuwa mwanaume wake wa kwanza bana asee sikuamini kwa ule uzuri kuwa atakuwa bikra sema kwa vile ndo kalikua kimemaliza F6, sikushtuka sana.

Basi bana baada ya kunizawadia bikra yake nikawa nae kwa miaka 4 full, ila tulikuja kuachana mwezi wa 8/2022 sababu ya yeye kunicheat na muhuni tu wa mtaani.

Anyway siwezi kumlaumu maana mimi pia ni malaya tu promax, na majukumu ndo kipaumbele changu hivyo nilikuwa simpi muda kwenye mahusiano yetu.

Ila sijui kwanini haikuniumiza sana ki hivyo, nahisi kwa vile nilimtoa bikra yake. Dukuduku langu naona kuwa ukiwa na demu au mke bikra ni fahari zaidi maana ile pride inayotokana na kumtoa bikra ni next level.👏

Yaani kuna ka feeling fulani hivi kazuri unakuwa nako moyoni.

Muwe na siku njema.
hukumpenda ndo maana kaka ukimpenda mwanamke inauma asikuambie mtu
 
Back
Top Bottom