muneera75
Senior Member
- Oct 12, 2019
- 190
- 318
Naomba nishauri na pia nitoe dukuduku
Wanaume/ wakaka wa chuo wambea sana em punguzeni umbea yani utakuta wanaume wamekaa kama watatu au wanne wanamsema mdada adi unanona aibu kama vile umesemwa ww yani..utakuta wanamsema kuanzia nguo zake ohh kavaa miguo mirefu huyu nae..akivaa kiguo kifupi eh huyu nae miguu mibaya eh ..punguzeni umbea mliopo chuo na mnaoenda chuo
Kingine kwa wadada punguzeni mikumbo unatoka kwenu umevaa ushungi kufika kule unavaa kaptula unaenda club na ww unapanga chumba upo na shoga ako mara shoga ako anaingiza mabwana na ww unaiga..jaribu kufikiria kwamba ukipata sap utabaki ww na sio na bwana ako
Ushauri ndo huo. Endelea kushusha ushauri hapo chini kwa wanachuo au mtu anaenda asaiv.
Wanaume/ wakaka wa chuo wambea sana em punguzeni umbea yani utakuta wanaume wamekaa kama watatu au wanne wanamsema mdada adi unanona aibu kama vile umesemwa ww yani..utakuta wanamsema kuanzia nguo zake ohh kavaa miguo mirefu huyu nae..akivaa kiguo kifupi eh huyu nae miguu mibaya eh ..punguzeni umbea mliopo chuo na mnaoenda chuo
Kingine kwa wadada punguzeni mikumbo unatoka kwenu umevaa ushungi kufika kule unavaa kaptula unaenda club na ww unapanga chumba upo na shoga ako mara shoga ako anaingiza mabwana na ww unaiga..jaribu kufikiria kwamba ukipata sap utabaki ww na sio na bwana ako
Ushauri ndo huo. Endelea kushusha ushauri hapo chini kwa wanachuo au mtu anaenda asaiv.