Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 2,235
- 4,252
Dula Makabila msanii maarufu wa Tanzania wa miondoko ya Singeli ameamua kubadilisha muonekano wake asili wa kiume na kuja na muonekano mpya wa kike akiwa amevalia wigi la kike pamoja na glasss ya kike.
Dula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi.
Ikumbukwe kuwa Dula hajaanza leo hii michezo ya kupenda ukike alianza tangu atoe wimbo wake wa "Ningekuwa Demu" watu walidhani kuwa ulikuwa utundu wa kucheza na sanaa lakini kumbe alikuwa na lake jambo ambayo sasa analidhihirisha wazi.
Dula anadai kuwa anafuata ushauri wa mpenzi wake aliye naye sasa na kila analomweleza basi yeye hufuata pasipo pingamizi.
Ikumbukwe kuwa Dula hajaanza leo hii michezo ya kupenda ukike alianza tangu atoe wimbo wake wa "Ningekuwa Demu" watu walidhani kuwa ulikuwa utundu wa kucheza na sanaa lakini kumbe alikuwa na lake jambo ambayo sasa analidhihirisha wazi.