Dulla Mbabe kaimarika zaidi

sakwano

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2021
Posts
303
Reaction score
830
Niko natizama pambano la Dulla Mbabe na huyu Mmalawi naona dulla ameimalika zaidi, acha tusubiri matokeo.
 
Pambano limekwisha kwa mmalawi kuchapwa vibaya masumbwi ya harakaharaka....ova!
 
Huyu mjeda wa Malawi bora alivyokatiziwa pambano maana huenda angepata madhara makubwa kiafya kutokana na kuvuja damu nyingi
 
Huyu mjeda wa Malawi bora alivyokatiziwa pambano maana huenda angepata madhara makubwa kiafya kutokana na kuvuja damu nyingi
Kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…