YUPO SIJUI EFM ANAPIGA BONGE MOJA LA KARAOKE VERSION ....WANA WENGI WANATEMA CHECHE MIDA KUANZIA SAA 5 USKU ALHAMIS NA IJUMAA SIJUI VILEE AU NIMEKOSEA//,,,, BY THE WAY ANA KIPAJI CHA UTANGAZAJIIII ASEEEE KIUKWELIIII
kuna kijana mja alikua anaitwa KING SMASH KIPINDI CHA THE CRUZZ alijitaidi sana kukindesha hasa wakati anasoma sms ilikua ni burudani kwa kweli hivi sasa naona wanapiga kelele tuh kipindi cha michezo ndio wanakiendesha uzuri kwa sasa
kuna kijana mja alikua anaitwa KING SMASH KIPINDI CHA THE CRUZZ alijitaidi sana kukindesha hasa wakati anasoma sms ilikua ni burudani kwa kweli hivi sasa naona wanapiga kelele tuh kipindi cha michezo ndio wanakiendesha uzuri kwa sasa