Wimbo biti linafanana na baadhi ya nyimbo zake za nyuma.. naungana na mkuu aliesema sasa ifike wakati wabongo waache kufanya kaz zote, kutunga, kuimba, kuproduce vyote mtu mmoja
Kachanganya radha kiganda hicho iyo kolasi ni ya ngoma ya Jose chameleon ktambo sana na ilikuwa hit song cc watu wa Mtukula kwenye border ya Uganda tunajua sana