Ni mwaka 2002 nikiwa na miaka 12 nilikuwa nasikiliza nyimbo za Dully Sykes, Katika moja wa wimbo wake kuna unaoitwa "Nyambizi" kuna sehemu anaimba
Nyambizi, nionee huruma mi sio kuchu,
nipe japo kiduchu
Mi nshachoka kupiga puchu!
Kama mnavyojua zamani kaseti unaweza kuirudia hata mwaka mzima, nyumbani unakuta kuna kaseti mbili ama tatu, sio kama sikuhizi unaweza kujaza simu nyimbo kibao
Kufikia mwaka 2003 nikiwa na miaka 13 darasa la saba nikaanza kujiuliza Dully Sykes alikuwa anamaanisha kuhusu kupiga puchu.
Nikiwa na shauku zaidi ya kujua nikaweza kulipata jibu, ghafla hisia za kutaka kujaribu zikaniingia
Kuna siku nikiwa nimeenda kuoga bafuni ndio nikaanza huo mchezo na ghafla kujikuta nimekuwa mraibu, kila nikienda kuoga nilikuwa npiga puchu.
Ninaamini kuna wavulana wengi wadogo walianza kujichua kupitia yeye, na kaseti zilikuwa hazina onyo la maudhui ya kiutu uzima, hivyo yafaa awajibishwe
NAANZAJE KUMSHTAKI ?
GHARAMA KIASI GANI NAWEZA KUTUMIA ?
FIDIA KIASI GANI NAWEZA KUMDAI ?
Nyambizi, nionee huruma mi sio kuchu,
nipe japo kiduchu
Mi nshachoka kupiga puchu!
Kama mnavyojua zamani kaseti unaweza kuirudia hata mwaka mzima, nyumbani unakuta kuna kaseti mbili ama tatu, sio kama sikuhizi unaweza kujaza simu nyimbo kibao
Kufikia mwaka 2003 nikiwa na miaka 13 darasa la saba nikaanza kujiuliza Dully Sykes alikuwa anamaanisha kuhusu kupiga puchu.
Nikiwa na shauku zaidi ya kujua nikaweza kulipata jibu, ghafla hisia za kutaka kujaribu zikaniingia
Kuna siku nikiwa nimeenda kuoga bafuni ndio nikaanza huo mchezo na ghafla kujikuta nimekuwa mraibu, kila nikienda kuoga nilikuwa npiga puchu.
Ninaamini kuna wavulana wengi wadogo walianza kujichua kupitia yeye, na kaseti zilikuwa hazina onyo la maudhui ya kiutu uzima, hivyo yafaa awajibishwe
NAANZAJE KUMSHTAKI ?
GHARAMA KIASI GANI NAWEZA KUTUMIA ?
FIDIA KIASI GANI NAWEZA KUMDAI ?