Dully sykes angaka kwanini anapigiwa ovyo na wanawake kila siku hasa wake za watu

 
Nani kamwambia kuwa yeye ni handsome? wasanii wa bongo bwana..ndio maana kalapina alienda kutoa posa kwa mama yake Mr blue kwasababu ya kujishebedua kwa watoto wa kiume kama huyu jamaa...kalapina hajamuona handsome huyu?
 
ila Dully na misifa ile halafu nikamfumaniaga anapopiga mbavu Tabata baada yakutimuliwa yeye na mamake kwa bibi pale Ilala nilichoka na nikajiambia mwanangu akinambia anataka kuwa muuza sura bongo ntamfungulia genge la mkaa aisee...linalipa hasaaa!



Mh...!!!! Ulikuwa unatafuta nini anapopiga mbavu Dully..??
 
 
acha ujinga wapotezee,halafu mbona huna uhandsome wowote
 
Kumbe ndio huyo? Mbona wa kawaida tu dada zetu bana mnapenda kushobokea hao wabana pua, mmekuwa kama wema wa copper aaaa samahani wema wa kanumba ,sorry wema wa h bb.malizieni wana jamvi maana kuna kamsuruu ka kutosha kwa waliombandua wema.
 
Huyu si ndiye anaejiita mr. misifa? hana lolote wala chochote anawachafua tuu wanawake...halafu eti source klaudi efuemu!!:smash:
 
Kawaida yake dully full kujifagilia kila siku....sishangai.....mtu mwnyw keshajiita mr. Misifa....aaaaagh!!!
 

clouds fm!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…