Inahitaji uwe na akili kubwa kumuelewa Dully, ni msanii asiye chuja, anayebadilika kutokana na mazingira, kama uliwahi kufatilia nyimbo zake utajua kua mara nyingi nyimbo zake hua hazina ujumbe wa moja kwa moja isipokua chache sana na still watu wanapenda.
Don forget his nickname, MR. MISIFA. lol