Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Nimesikia huu wimbo wake unaitwa shuka, yaani anaimba kitoto kitoto sana.
Hata nyimbo zake 4 zilizopita nazo pia.
Huyu jamaa ni pure talent na anajua kinoma,since kitambo lakini anachoimba sasa ndo tabu tupu!!
Nini tatizo la Dully?
Hata nyimbo zake 4 zilizopita nazo pia.
Huyu jamaa ni pure talent na anajua kinoma,since kitambo lakini anachoimba sasa ndo tabu tupu!!
Nini tatizo la Dully?