Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
- Thread starter
-
- #21
Anawaimbia watoto ambao ndo wasikilizaji
Dully kashakwisha.........
Samahani yuko wapi inspeter haroun na luteni kalama na josli na jeby kama kuna mtu anajua waliko aniambie plz
Enzi zao hawa jamaa nyimbo zao zilibamba sana kama inspecta-mtoto wa geti kali
Joslin-perfume
Jebby-swahiba
Yaaani hakuna jamaa aniuma Jeby nyimbo zake nyingi zilikuwa shule kwa jamii lkn leo hii :thumbdown::what:
Samahani yuko wapi inspeter haroun na luteni kalama na josli na jeby kama kuna mtu anajua waliko aniambie plz
Dah Jeby ameacha mziki wakati mashabiki bado tunamuhitaji sana yani.
Juzi kati alitambulisha wimbo wake mpya ila alibadilika sana sio ile style yake ya kama Swaiba.
Akarudi na kusema anarudi kusoma maana anaona mziki haumpi anachokitaka.
Tatizo mnashindwa kutofautisha..
Kwenye bongo fleva kuna nyimbo NZURI na nyimbo TAMU..
Kwa sasa Dully hana uwezo wa kuandika nyimbo nzuri,bali tamu kama vile BONGO FLEVA,BIBELON,MTOTO WA K/KOO,TOGOLA etc..
Hizo ni nyimbo tamu,uwezo wake haupo tena kwenye nyimbo nzuri..