Harafu unamkaribisha pepo kwenye shuhuli yako unategemea nini; Hizi K'party bwana!!; ndio maana ndoa hazidumu unategemea huyo jamaa atafundisha nini? kama si ufirauni tu
mzenji huyo, si unajua hawa watoto wa mama mdogo...taarabu (nyimbo yao ya injili) ilipanda hapo....ukipiga muziki kama hiyo kwa hawa ndugu, mzuka inawapanda hadi wanaume wananengua viuno...hapo wanamsifu mungu wao kwa nyimbo na mapambio...taarabu iko hapoooooo