Dumu la lita 20 mafuta ya kupikia sasa ni Tshs 90,000, bado yanaenda juu

Dumu la lita 20 mafuta ya kupikia sasa ni Tshs 90,000, bado yanaenda juu

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Kwa style tunayoenda nayo Magufuli lazma akumbukwe bila kupenda.

1. Tozo
2. Bei ya vitu kupaa
3. Serikali haina kauli 1 tena.
4. Wakazi wa Dodoma
5. Wenyeji wa Chato

Yaani mwanaume mwanaume tu. Wengi tulimchukia sana Magufuli lakini hata kama hatokumbukwa lakini kimoyo moyo lazma umkumbuke.
Ile hali ya JK imesharudi rasmi ndani ya utawala.
  • Toka serikali iliposema inafatilia mambo ya tozo hakuna mrejesho mpaka leo.
  • Toka tume ya kuchunguza kuungua kwa soko la Kariakoo hatujapata mrejesho wa tume hiyo na siku za nyongeza 7 walizopewa sasa tupo zaidi ya 21 hakuna wa kuuliza watu wako bize kusafiri tu.

Kweli sikumpenda JPM ila namkumbuka tu sio kama napenda ila nalazimika kumkumbuka.
 
Nadhan wangetilia mkazo kwenye hili swala lakn wapo bize kukandamiza upinzani POLISI NAO MABWEGE SANA HADI NGUO ZINATOBOKA MATAKONI KWASABABU YA KUPAMBANA NA UPINZANI akiwauliza tatizo nn hata was hawajui sababu

CCM wanunulien POLISI sare mpya

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mi nimejinunulia Machine ya kukamulia mafuta nyumban Saba Saba nikimekimbia vitu hivyo hivyo. Bei ya mafuta unakuta ipo juu halfu mafuta yenyewe hayana ubora yanasababisha Magonjwa.

Sasa hivi najikamulia mfuta ninayoyataka mwenyewe
 
Lipa Kodi kwa maendeleo ya nchi yako,pesa inayopatikana kupitia shughuli hizo za bishara baadae utaona maji, umeme,nk

Tuwe wazalendo ndugu zangu.
 
Kwa style tunayoenda nayo Magufuli lazma akumbukwe bila kupenda.

1. Tozo
2. Bei ya vitu kupaa
3. Serikali haina kauli 1 tena.
4. Wakazi wa Dodoma
5. Wenyeji wa Chato

Yaani mwanaume mwanaume tu. Wengi tulimchukia sana Magufuli lakini hata kama hatokumbukwa lakini kimoyo moyo lazma umkumbuke.
Ile hali ya JK imesharudi rasmi ndani ya utawala.
  • Toka serikali iliposema inafatilia mambo ya tozo hakuna mrejesho mpaka leo.
  • Toka tume ya kuchunguza kuungua kwa soko la Kariakoo hatujapata mrejesho wa tume hiyo na siku za nyongeza 7 walizopewa sasa tupo zaidi ya 21 hakuna wa kuuliza watu wako bize kusafiri tu.

Kweli sikumpenda JPM ila namkumbuka tu sio kama napenda ila nalazimika kumkumbuka.
hivi unauhakika wengi walimchukia JPM? wakati akifanya ziara mikoani ilikuwa ukiangalia, au mikutano yake. msiba wake uliona watu pamoja na viongozi waliomzika. TZ hakuna rais aliependwa kama JPM
 
Mi nimejinunulia Machine ya kukamulia mafuta nyumban Saba Saba nikimekimbia vitu hivyo hivyo. Bei ya mafuta unakuta ipo juu halfu mafuta yenyewe hayana ubora yanasababisha Magonjwa.

Sasa hivi najikamulia mfuta ninayoyataka mwenyewe
Huo ndio ujanja,kama mafuta ya Safi inabaki kama l1 imeganda kabisa
 
H
hivi unauhakika wengi walimchukia JPM? wakati akifanya ziara mikoani ilikuwa ukiangalia, au mikutano yake. msiba wake uliona watu pamoja na viongozi waliomzika. TZ hakuna rais aliependwa kama JPM
Ilo linaonekana kwa sasa, kupitia madhaifu ya huyu mama
 
Back
Top Bottom