Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

Dumu la mafuta ya kupikia lita 20 ni 82000 na cement ni 24000, hakuna wa kuongea tena!

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Nani atawasemea tena Watanzania kuhusu hizi gharama za kila kitu kupanda?

Je, bado hatuoni faida ya Wapinzani Tanzania?

Je, ni Wapinzani pekee wanaumizwa na gharama hizi? Maoni yako tafadhali.

Tukumbuke cement haitoki nje (kisingizio cha COVID-19 hakipo).

Tunalima alizeti mikoa mingi tu, karanga, mawese kitu gani kinapandisha hizi gharama?
 
Na ninachojiuliza zaidi na sipati jibu kila siku ni kwamba kwa gharama hizi zinazoendelea tunaoumia ni sisi wote au wapinzani tu kama ni sisi wote hawa wenzetu wanaraha gani ya kufurahia miaka mitano mingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tuanzie hapo kwanza
 
Na ninachojiuliza zaidi na sipati jibu kila siku ni kwamba kwa gharama hizi zinazoendelea tunaoumia ni sisi wote au wapinzani tu kama ni sisi wote hawa wenzetu wanaraha gani ya kufurahia miaka mitano mingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tuanzie hapo kwanza
Wanaoumia ni wavivu wasiotaka kujishughulisha. Fursa zipo nyingi,ufanye kazi ili uweze kujikimu.
 
Yaani Ni noma..lita saiz ni 48000 mafuta ya kula.

Lita 18/20 tuliyokuwa tunachukua kwa 56,000 saiz Ni 82,000 na inazidi kupanda kila siku
Tulieni bado tunazindua miradi Chato mnafikiri Nchi kuwa kama ' Karifonia' ni rahisi?.
 
Back
Top Bottom