Dunga Dunga wanapewa ushirikiano kwenye Daladala tusiwalaumu

watu huwa wananiuliza kwanini niliuza gari na sijamaliza nayo miezi miwiwili na ilikua mpya

jibu langu huwa nawaambia mimi mzalendo nataka niteseke na watanzania wenzangu kwenye daladala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Na wewe ni Dungadunga?
 
Kuna clip moja mwanamke kwenye daladala kamkwida mkaka wa watu anamdai amlipe kisa kamchafua kamwagia wazungu alikuwa anamdunga, jamaa nae alikuwa anajitetea maana mdada alikuwa anatoa ushirikiano muda wote hajalalamika hadi alipochafuliwa.
hahaha kaja kulalamika mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…