Dunga Dunga!

Dunga Dunga!

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,302
Reaction score
4,603
Hivi ni kweli kuna hawa washikaji wanapata mfadhaiko kwenye halaiki kama vile daladala! Au ni story za vijiweni? kuna mtu amewahi shuhudia hili?
 
sijui kwa sasa kama bado wapo ila mwaka 1999 nilikuwa nikiwashuhudia sana pale ilipojengwa shule ya sekondari city/benjamin mkapa.
Nalog off
 
Wapo bado huku wanajulikana kama 'babu toa'
 
Hatari
261944351_275424764413876_2247571232640735452_n%20(1).jpg
 
Back
Top Bottom