Dunia haiishi vituko ebu sikia njia hii rahisi ya kumnasa mke anayetoka nje ya ndoa!

kizuri kula na ndugu yako shekh...sasa huo ni uzalilishaji kwani yy hatoki nje..?wacha wa2 wa socialise ...
 
Haya makubwa sana! Sasa wewe mwanaume anayemdharirisha mke wako kiasi hicho, utakaa naye tena? Maana amenganganiwa na jamaa kwente Guest, na wewe uankuja kuchomoa kisu, unakwenda naye nyumbani kweli? Nini pride yako kama mwanaume kama watu kibao wameona vitu vya mkeo? Tumia mbinu nyingine!!
 
Kwa hiyo huku mjini mwanamke yuko ofisini atapelekewa kisu huko? hivi vitu vingine vinafanya kazi kwa wamama wa nyumbani, ukiangalia wakati mwingine mume mfanya biashara wakati unaondoka yeye ndio kwanza anavuta shuka, sipati picha hapo akiona unatoka anakuwahi mlangoni na kisu chake
 
Acha watumie kukomoana!Sasa hapo sijui huyo mwenye mke akirudi atamchukua mke wake si la maana hapo ni sawa Na kujiambukiza aibu!!


Lizzy hapo akirudi ni utajiri tu, mpaka mnasuliwe inabidi kutoa hela ya uzinzi na hela kibao tu tena jamaa anajitajia mkikataa anatulia zake...Usiombe mie niliona live Kahama migodini jamani mwanaume alitoa live m2...watu na ndg walichanga hela mpaka niliona aibu wamenasana acha...
 
Lkn hii kitu sio nzuri maana mpaka mnasuliwe jamaa anajitajia hela za kukamata ugoni kibao tu, Niliona Kahama migodini pia na jamaa ilibidi atoa m2...
 

Mfumo dume huo. Hao wanaume wakifanya zinaa nje ya ndoa ni nani anayewakamata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…