Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Duuh jombaa pole sana, ila am curious kujua 1.5M ulikopa kufanyia nini ..Nipo dar mkuu 1.5m๐
Yan Bora hata ningekua nimetumia Mimi ,hyo ela niliibiwa katika kuhangaika nikapoteza zaidiDuuh jombaa pole sana, ila am curious kujua 1.5M ulikopa kufanyia nini ..
Madeni makubwa huwa kwa wenye vipato pia, huwezi kupesheka kama ni apeche alolo
Mm ni shangazi mkuuYan Bora hata ningekua nimetumia Mimi ,hyo ela niliibiwa katika kuhangaika nikapoteza zaidi
yaani wewe ni shangazi?Mm ni shangazi mkuu
Hivi wale wa vocha wamepotelea wapi Bantu Lady
Nmemaanisha mm n wakike sio wa kiume kama alrivyohisiyaani wewe ni shangazi?
yaani wewe ni shangazi?
Anhaa kumbeNmemaanisha mm n wakike sio wa kiume kama alrivyohisi
Sikupata msaada wowote ila ,nilirudi kijijini msimu huu wa kilimo kufanya vibaruaUmefika wapi