Dunia haina usawa kwanini muongoza meli/ndege aitwe captain halaf wa basi aitwe dereva

Dunia haina usawa kwanini muongoza meli/ndege aitwe captain halaf wa basi aitwe dereva

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Ili tuwe na tukae katika usawa basi tuheshimiane , kwanini muongoza chombo meli au ndege anatambulika kama captain na anavaa kofia na nguo za kiaskari wakati muongoza basi anaitwa dereva , hiyo sio haki na wao waitwe madereva, au wa basi aitwe kaptain apewe nguo na kofia ya kijeshi Kama wenzake wa ndege.
Yani wao ni kinanani mpaka wasiitwe dereva.

Au wameenda mafunzo ya kijeshi Mana usilolijua usiku wa giza
 
Husituletee lugha zako za kikaburu nini maana ya kaptain?
Hoja ya kitoto cha msingi jikubali katika majukumu yako utaiona heshima yako.
 
Muendesha ndege ni pilot lakini kwenye ndege kuna watu wengi wanahusika hivyo kiongozi wao anaitwa captain.

Kwenye meli vivyo hivyo kuna watu wengi wanahusika na kiongozi wao anaitwa captain.

Kwenye ndege kuna wahandisi, wahudumu n.k.
Kwenye meli pia kuna wahandisi, n.k.

Hao wote wanakuwa chini ya command za captain wao.
 
Ili tuwe na tukae katika usawa basi tuheshimiane , kwanini muongoza chombo meli au ndege anatambulika kama captain na anavaa kofia na nguo za kiaskari wakati muongoza basi anaitwa dereva , hiyo sio haki na wao waitwe madereva, au wa basi aitwe kaptain apewe nguo na kofia ya kijeshi Kama wenzake wa ndege.
Yani wao ni kinanani mpaka wasiitwe dereva.

Au wameenda mafunzo ya kijeshi Mana usilolijua usiku wa giza

tofauti iliyopo dereva kila mtu anaweza kuendesha.na si vyombo hivi viwili lazima kusomea shuleni na kupewa cheti kabisa cha kazi
 
Ili tuwe na tukae katika usawa basi tuheshimiane , kwanini muongoza chombo meli au ndege anatambulika kama captain na anavaa kofia na nguo za kiaskari wakati muongoza basi anaitwa dereva , hiyo sio haki na wao waitwe madereva, au wa basi aitwe kaptain apewe nguo na kofia ya kijeshi Kama wenzake wa ndege.
Yani wao ni kinanani mpaka wasiitwe dereva.

Au wameenda mafunzo ya kijeshi Mana usilolijua usiku wa giza
Dunia haijawahi kuwa Sawa,na haitakuwa Sawa,
Mafunzo ya kuendesha meli na Ndege huwezi kuyalinganisha na kujifunza kuendesha gari,hayo msfunzo ni gharama na magumu na yanahitaji Elimu kubwa kidogo,udereva hata vilaza wanaweza,Waziri Simbachawene japo ni kilaza,aliweza kuendesha gari
 
Ili tuwe na tukae katika usawa basi tuheshimiane , kwanini muongoza chombo meli au ndege anatambulika kama captain na anavaa kofia na nguo za kiaskari wakati muongoza basi anaitwa dereva , hiyo sio haki na wao waitwe madereva, au wa basi aitwe kaptain apewe nguo na kofia ya kijeshi Kama wenzake wa ndege.
Yani wao ni kinanani mpaka wasiitwe dereva.

Au wameenda mafunzo ya kijeshi Mana usilolijua usiku wa giza
Hutaki au
 
Dunia haijawahi kuwa Sawa,na haitakuwa Sawa,
Mafunzo ya kuendesha meli na Ndege huwezi kuyalinganisha na kujifunza kuendesha gari,hayo msfunzo ni gharama na magumu na yanahitaji Elimu kubwa kidogo,udereva hata vilaza wanaweza,Waziri Simbachawene japo ni kilaza,aliweza kuendesha gari
Kwamba nani vile?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom