Dunia ielewe kuwa Israeli haipigani na Waislamu au Palestina, bali inapigana na Hamas

Dunia ielewe kuwa Israeli haipigani na Waislamu au Palestina, bali inapigana na Hamas

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas.

Israel kujibu mapigo na kufanya patrol ya kuwatafuta Hamas ndani ya mji wa Gaza, ni hatua yoyote ambayo serikali yeyote Duniani ingefanya hili kulinda raia wake na mali zake dhidi ya maadui. Rejea kisa cha Vita ya Kagera baada ya Idd Amini kufanya mashambulizi dhidi ya Tanzania, ni kwamba Tanzania iliingia mpaka Uganda kuhakikisha inamuondoa Dada Idd Amini. Ndicho Israel inachokifanya dhidi ya Hamas mjini Gaza.

Hamas sio Nchi, Hamas sio Dini. Hivyo inashangaza kuona watu wanatetea uovu wa Hamas kwa kutumia neno "Free Palestine". Kwani nani kakuambia Palestina ndio imevamiwa, lililovamiwa ni eneo la gaza ambalo Hamas ndiko walikojificha na kuficha mateka. Palestina ina maeneo mawili ambayo hata hivyo nayo hayaelewani, kuna Gaza na West Bank. Raia wa West Bank hawana shida, wala hawashambuliwi. Hata serikali ya West Bank haiwakubali wanamgambo wa Hamas. Kutumia neno Palestina wakati wanaopigwa ni Hamas, ni matumizi mabaya ya neno palestina. Ingekuwa inayopigwa ni Nchi basi tungeona hata Ukanda wa West Bank nako kuna mashambulizi yanayorushwa na Wapalestina.

Mwisho kuweka Ukristo au Uislamu kwenye hii vita, huo ni utahira. Dini zenyewe umezaliwa umezikuta zimeletwa na wamishionari na Waarabu, wewe unazipaparukia. Unajiona huko radhi kumsaidia mpalestina au muisrael kuliko jirani yako Congo.

Watanzania na waafrika tuamkeni, tujenge nchi yetu na bara letu na sio kutukuza Dini na Nchi za ughaibuni wakati hali zetu za maisha zinadidimizwa na hao hao.
 
Vyanzo vinaripoti kuwa usiku wa kuamkia leo israel imefanya kufuru ya kufa mtu haikuwahi tokea tangu vita ianze ikihusisha pia kushambuliwa kwa underground targets 150 za Hamas.
 
Mbona mnazungumzia HAMS kuua Israel na mnasahau Israel kuua Wapalestina Nalo pia mpaka mfundishwe kuna mtangazaji mmoja wameuliwa Familia yake yote.
 
Kitendo cha HAMAS kuvamia Israel na kuua baadhi ya Raia, kumimina risasi uraiani, na kuteka watu ikiwemo watanzania wawili, icho tayari ni kitendo cha Kigaidi (Terrorism Act), rejea maana ya neno 'Terrorism' au 'Ugaidi'. Hata hivyo mwanzo watu walionekana kufurahishwa na vitendo vya Hamas.

Israel kujibu mapigo na kufanya patrol ya kuwatafuta Hamas ndani ya mji wa Gaza, ni hatua yoyote ambayo serikali yeyote Duniani ingefanya hili kulinda raia wake na mali zake dhidi ya maadui. Rejea kisa cha Vita ya Kagera baada ya Idd Amini kufanya mashambulizi dhidi ya Tanzania, ni kwamba Tanzania iliingia mpaka Uganda kuhakikisha inamuondoa Dada Idd Amini. Ndicho Israel inachokifanya dhidi ya Hamas mjini Gaza.

Hamas sio Nchi, Hamas sio Dini. Hivyo inashangaza kuona watu wanatetea uovu wa Hamas kwa kutumia neno "Free Palestine". Kwani nani kakuambia Palestina ndio imevamiwa, lililovamiwa ni eneo la gaza ambalo Hamas ndiko walikojificha na kuficha mateka. Palestina ina maeneo mawili ambayo hata hivyo nayo hayaelewani, kuna Gaza na West Bank. Raia wa West Bank hawana shida, wala hawashambuliwi. Hata serikali ya West Bank haiwakubali wanamgambo wa Hamas. Kutumia neno Palestina wakati wanaopigwa ni Hamas, ni matumizi mabaya ya neno palestina. Ingekuwa inayopigwa ni Nchi basi tungeona hata Ukanda wa West Bank nako kuna mashambulizi yanayorushwa na wapalestina.

Mwisho kuweka Ukristo au Uislamu kwenye hii vita, huo ni utahira. Dini zenyewe umezaliwa umezikuta zimeletwa na wamishionari na Waarabu, wewe unazipaparukia. Unajiona huko radhi kumsaidia mpalestina au muisrael kuliko jirani yako Congo.

Watanzania na waafrika tuamkeni, tujenge nchi yetu na bara letu na sio kutukuza Dini na Nchi za ughaibuni wakati hali zetu za maisha zinadidimizwa na hao hao.

Kwani wapalestina, UN, na majority duniani wanasema je?

Kumbe wanaouwawa, au uharibifu unaofanywa ni kwa HAMAS?
 
Nanukuu;

Lakini Quran inaagiza waumini kuwaua wayahudi hata kama wapo chini ya mawe.

Tena adui anayetajwa wa kwanza katika Quran ni myahudi, wa pili wao ni wakristo.

Na hao wanaowaunga mkono Israel ni adui wa waislamu.

Ni fahari kwa muislamu kumuua myahudi
Na ndiyo maana myahudi yupo makini na muislamu yeyote.
 
Ndio sasa utafanyaje sasa? Hakuna chochote utafanya. Endeleeni kuilaani Israel huku mmebanamikundu na marinda.

Kutoka deep down in my heart naipenda Israel nakuiombea itimize lengo lake ( the just and sacred course) la kuleta amani Gaza.
Sikujua kama wewe ni kilaza namna hii.
 
Na Kuna msemo maarufu ukitaka kumficha Mwafrika kitu we weka kwenye kitabu, mngejua talmud na mkamjua Maimonides ni nani wala msingewakatia viuono hao Israel.

Mfano wa Quote ya Maimonides ni hii

“Those who are incapable of attaining to supreme religious values include the black coloured people and those who resemble them in their climates. Their nature is like the mute animals. Their level among existing things is below that of a man and above that of a monkey.”

Hio ni part ya Dini yao.
 
Nanukuu;

Lakini Quran anaagiza waumini kuwaua wayahudi hata kama wapo chini ya mawe.
Tena adui anayetajwa wa kwanza katika Quran ni myahudi, wa pili wao ni wakristo.
Na hao wanaungana dhidi ya Israel wanaongozwa na andiko hilo ,japo kinafiki hawasemi,wanajifanya kuwaonea huruma wapalestina.

Kwani ni Israel, UN au wapi kumesemekana kuna vita vya kidini Gaza?
 
Hii ndio shida ya kuvamia mambo juu juu. Fanya utafiti wako kuhusu Vita ya Israel na palestina na kiini cha mgogoro halafu ndio uje kuwatafuta hamas wanaingiaje , waislamu wanaingiaje , wakristo wanaingiaje, wayahudi , marekani wanaingiaje na ambao hawaingii wanasemaje?
 
Mtoa mada ungejifunza kuandika kwanza, pili usiangalie ulipoangukia angalia ulipojikwaa, HAMAS kwanini wanavamia israel?
 
Hii ni ugomvi wa Hamas na Israeli. Tatizo kubwa Hamas anapigana tokea mtaani, hospital, maeneo ya nyumba za Ibada (kanisa na misikiti), hivyo kukabiliana naye lazima kulete madhara makubwa kwa raia wa kawaida. Israeli aliomba raia waondoke kwenye battle field (mtaani), though nayo ni mateso makubwa. Hamas anajua hawezi pigana bila Raia kuwepo. Hii vita bado inavitendawili vya kutegua
 
Watu wanaongozwa na mihemko ya kiimani kuliko akili,

Wayahudi na waparestina Wala hawana akili kama zetu,
Wanawabagua wakristo,wanawabagua waafrika weusi bila kujali ni wakristo au waislamu

Waparestina wanawabagua waafrika ,hawataki hata kuwauliza wanaswali wapi,just only they are black



Wanajua propaganda, wanajua nafasi Yao kwenye vitabu vya dini,
Wanatumia hiyo nafasi kama silaha Moja wapo ya kushinda vita, wanajua Kuna watu wanawachukulia kama watu ambao ni 1st class mbinguni, nao wanatumia akili hizo ndogo kupata support,


Kwao dini na imani ni diplomatic weapon ya kutafuta relief mambo yanapowaendea mlama, utasikia waislamu tuupiganie uislam wetu,timely wanachopigania ni ardhi, hii ni case Yao ,
Ukraine wanapigania aridhi Yao isiwe chini ya mamlaka ya urusi, ila kwa sababu hawana backup ya vitabu vya dini huwezi sikia wanasema wakristo tuupiganie ukristo wetu, ,


Watu wamepotoshwa na waalimu wa dini na Wala siyo vitabu vya dini,vitabu vya dini viko tofauti na mawazo ya watu,
 
Nanukuu;

Lakini Quran anaagiza waumini kuwaua wayahudi hata kama wapo chini ya mawe.
Tena adui anayetajwa wa kwanza katika Quran ni myahudi, wa pili wao ni wakristo.
Na hao wanaungana dhidi ya Israel wanaongozwa na andiko hilo ,japo kinafiki hawasemi,wanajifanya kuwaonea huruma wapalestina.
Weka Hio nukuu, maana hujaweka chochote umebold neno nukuu bila kuweka Aya yoyote, sura ya ngap Aya ya ngap
 
Hamas leader, Ali Barakah:
Israeli ground attack on Gaza through three main fronts failed with significant enemy losses.
Israeli forces fell into Palestinian resistance traps.
Kornet missiles and Yasin shells used in defense.
Israel used helicopters for battlefield evacuations.
 
Back
Top Bottom