Dunia iliishia 1999

Bange + gozo + chibuku + stress za maisha na vituko vya mapenzi lazima uje na such Hallucinogenic fantasies
 
Sasa ukishajua kuwa tuko ktk illusions ,unatakiwa kufanya nini hasa cha msingi kutoka huko ? Tusaidiane kujua
 
Kuna wafuatiliaji wa Movie za Science Fiction Sci Fi
Kuna wfuatliqji wa story zile za EFM
Na kuna hawa conspiracy theories

Wewe unafuatlia vyote .. unaupa kazi sana ubongo kuimagine vitu vya kufikirika
Napenda sana SCI-FI
 
Mmmh hakika bangi siyo nzuri yaani 1999 juzi tu hpo leo tunaishi kwa nguvu ya Aliens? Ukiisha kopa itel yako unakuja Jf kuwaongopea watu
 
Mmmh hakika bangi siyo nzuri yaani 1999 juzi tu hpo leo tunaishi kwa nguvu ya Aliens? Ukiisha kopa itel yako unakuja Jf kuwaongopea watu
Inashangaza sana kwakweli... Sema ameamua tu kufurahisha genge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…