Dunia iliishia 1999

Umeandika ukiwa kwenye coma,we mkali
 
 
Huo mwaka uliisha kwa tabu sana nakumbuka mwaka huo 1999 ndio nilikuwa namaliza std 7 ilikuwa ni hofu kuwa eti mwaka 2000 ndio mwisho wa dunia lakini hakuna kilichotokea zaidi ya kibwetere kuwachoma moto waumini wake
Lilitokea kaka sema hauna memory walizifomat na kukuweka kwenye simulation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ