Dunia iliishia 1999

Aaaaaaah weee
 
Acha bangi ni mbaya sana
 
Mambo ya maabala, au siyo!
 
Matomaso tu watabisha hii nikajua najua mimi tu kumbe tupo wengi tunaojua hii siri,
Kiufupi tunaishi kwenye Matrix,
Haya tunayoishi ni maisha fake sababu tupo kwenye program maalumu,

Hata hizo comment zenu za kupinga ni Illusion tu

Kama mnabisha mnajua kwanini maisha hayaeleweki?

Full complex!
 
Comments za wengi zinaprove ukweli uliouandika!!

Watu hawa reason wanabaki kupinga bila reasons!!

Mimi ninaamini GMO (Genetic modified seeds)zimemodify Kila kitu kutuhusu pale tulipokubali mbegu za maabara kama chakula kikuu tunachokula na kulima kila siku!!

Kifupi nakumbuka utoto wetu was miaka ya 90. Na utoto wa Leo was miaka 2000 naona Kuna vitu wanammis Hawa vijana!!

Sisi tulio kwenye industry ya elim na vijana tunaowalea tunaona tuna deal na modified robots!!

Sina tabia ya ku beza maandishi ya kiutafiti na nadharia coz Neva za seli za Bongo zetu Zina operate katika mawimbi tofauti Sana,inategemea wewe ubongo wako Una operate katika frequency zipi!!

Big up mleta mada Uzi was kufikirisha!!
 
Mkuu si haba nahisi umepata kideli cha kuku.
 
Hii nchi ina vichaa wallah...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…