Dunia iliishia 1999

Siku kuku akijua kua analishwa ili anenepe aliwe, hakika atakimbia, same to this concept iko programmed kua denied ili isoje leta shida,

Kitu ambacho watu hawajui ni kwama unapo hisi, unapoona unapo sikia zote ni function za ubongo ambazo zina kua kwenye mfumo wa electric charges, tech ina weza kusilate hisia yoyote kwenye ubongo wa bina damu na binadamu huyo hawezi kamwe kujua tofauti ya simulation na reality,, kamweee hatowezaaa,,,

Watu kubisha kwa nguvu zao zote ni moja ya code lines za simulation so mimi siwashangai
 
Ukuwa mvivu wa kufikiria, huwezi ku question haya mambo na siku zote mtu akija kukueleza utamuona chizi ila ukweli ni kwamba akili inakua haiwezi kuhandle kuchakata hizo data unazopewa,
 
kabla ya kutumia huo mmea ni vizuri ukala chakula,na ukashiba
huwa ina athari katika kufikiri na kuchanganua mambo,unaweza kuona
au kuhisi vitu ambavyo havipo( hallucination)
 
Hizi ndoto za mchana huwa ni jau kweli 😂😂😂
 
Anything is possible, binadamu hatujui tumetoka wapi tunaelekea wapi, 90% ya members humu wanaamini dini na mambo ya moto na mbingu, vitu ambavyo havina proof yeyote zaidi ya hadithi za watu kale, mnamcheka aliyeleta uzi lakini anachoongea hakina tofauti na hadithi mnazopigiana kwenye nyumba zenu za ibada
 
Hao aliens wao wanapata au kufaidika nini for taking all that trouble ya kutufanya tuone kama tunaendelea kuishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…