Dunia inaishangaa Simba, Simba nayo inaishangaa Dunia!

Dunia inaishangaa Simba, Simba nayo inaishangaa Dunia!

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu,

Kuna vitu sometimes huwa vinashangaza sana. Hii dunia hasa Tanzania inaishangaa sana team moja pale Kariakoo yenye jezi nyekundu, Simba.

Wao wamemaliza msimu bila kombe lakini mchezaji wao kuchukua kiatu kwao ni mafanikio makubwa zaidi ya team iliyobeba kombe tena double.

Wao kwao aliyefika finali na aliyefika robo yule wa robo ndio mwenye mafanikio! Wao hawataki Kombe ila tu kumfunga Yanga ni Kombe tosha!

Wameleta wachezaji wa mafungu mafungu na hawachezi kwao sio shida ila kwa wengine ni shida. Mmiliki wao analalamika team inapata hasara lakini haondoki yupo tu!

Yule kocha wao nae pia eti anaamini kuwa wao watakuwa mabingwa wa CAFCL! Yule babu wao Said Ntombonkiza yeye wanadai alitakiwa apewe kila tuzo pasipo hata kuangalia vigezo wao wanataka apewe tu!

Dunja inaishangaa sana hii team.
 
Za chini chini zinasema wanapunguza maatumizi.

Ndio maana wakaenda Rwanda kutafuta STRIKER.

Miqqusone walipoulizia wakaona hapagusiki,

Lilepo Yanga wameingilia kati.

Wanamvizia Adebayor wa Berkane naye pesa ya kuvunja mkataba hawana.

KISINGIZIO

Eti wanaboresha Benchi.
 
Wakuu

Kuna vitu sometimes huwa vinashangaza sana.
Hii dunia hasa Tanzania inaishangaa sana team moja pale kariakoo yenye jezi nyekundu...
Baada ya kula kwa shemeji yako...umetoka vyombo na kuosha..unasubiri watoto wamalize kutazama tamthiria ili ulale kwenye makochi...ndio wazo la kuanzisha huu uzi wa kiboya likakujia
 
Baada ya kula kwa shemeji yako...umetoka vyombo na kuosha..unasubiri watoto wamalize kutazama tamthiria ili ulale kwenye makochi...ndio wazo la kuanzisha huu uzi wa kiboya likakujia
Unajifanya unawajua watu.

Ukute Mimi baba yako namkaza bimkubwa wako.
 
[emoji23][emoji23]
IMG-20230615-WA0061.jpg
 
Baada ya kula kwa shemeji yako...umetoka vyombo na kuosha..unasubiri watoto wamalize kutazama tamthiria ili ulale kwenye makochi...ndio wazo la kuanzisha huu uzi wa kiboya likakujia
Kabisa [emoji1787][emoji1787]
 
Wakuu,

Kuna vitu sometimes huwa vinashangaza sana. Hii dunia hasa Tanzania inaishangaa sana team moja pale Kariakoo yenye jezi nyekundu, Simba.

Wao wamemaliza msimu bila kombe lakini mchezaji wao kuchukua kiatu kwao ni mafanikio makubwa zaidi ya team iliyobeba kombe tena double.

Wao kwao aliyefika finali na aliyefika robo yule wa robo ndio mwenye mafanikio! Wao hawataki Kombe ila tu kumfunga Yanga ni Kombe tosha!

Wameleta wachezaji wa mafungu mafungu na hawachezi kwao sio shida ila kwa wengine ni shida. Mmiliki wao analalamika team inapata hasara lakini haondoki yupo tu!

Yule kocha wao nae pia eti anaamini kuwa wao watakuwa mabingwa wa CAFCL! Yule babu wao Said Ntombonkiza yeye wanadai alitakiwa apewe kila tuzo pasipo hata kuangalia vigezo wao wanataka apewe tu!

Dunja inaishangaa sana hii team.
Na wewe tunakushangaa kuandika utopo
 
Back
Top Bottom