Uchafu wa watu wawili hauwezi elekeza Dunia mahali pabaya.
Hata hivyo, zamani yalipotokea matukio ya aina hiyo jamii ziliwatenga ili kuepuka laana ya jamii nzima, lakini nyakati tulizonazo jamii husadia kutekeleza uchafu wa aina hii, tatizo liko hapo.