Dunia inapoelekea sijui miaka ijayo ukristo utakuwa na hali gani

lyajody

Senior Member
Joined
Aug 16, 2024
Posts
145
Reaction score
196
Kila kitu kinachofanywa kwenye makanisa hakuna mpango na kumtukuza Mungu Bali ni mipango ya kibiashara kupata pesa..kwanzia mahubiri yanalenga pesa ,nyimbo ndo usiseme ni zaid ya bongo flavor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…