Dunia inashuhudia Tanzania ikionesha maajabu!

Dunia inashuhudia Tanzania ikionesha maajabu!

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
6,710
Reaction score
9,063
Tanzania inaendelea kuishangaza dunia kwa maajabu yanayofanyika tokea kuzuka kwa Ugonjwa wa Covid-19!

Chini ya Rais wake John Pombe Magufuli:
  1. Tanzania ilikataa kwenda Lockdown.
  2. Tanzania ilikataa kufunga mipaka kuhofia Uchumi kuporomoka.
  3. Tanzania ilikataa kufanya vipimo vya Covid-19 kwa kudai Test Kits za Covid-19.
  4. Baada ya hapo hakujawahi kutolewa taarifa ya Maambuki every after 24hrs.
  5. Baada ya hapo kauli inayosikika kwa Sasa Ni MAAMBUKIZI YAMEPUNGUA lakini Watawala hawataki kuonesha namba iliyopungua au kuongezeka.
  6. Tayari vyuo, shule na Watalii toka nje wameruhusiwa kuanza rasmi!
Wakati nchi jirani zilizotunguka kila siku wanatangaza kuongezeka kwa aaambukizi na vifo!

Mtafiti au Mtaalamu yeyote huja na hesabu au namba kuthibitisha utafiti wake.
 
Hizi propaganda za mataga zitaliweka taifa letu matatani, tatizo ni la kisayansi lakini linatatuliwa kwa siasa za majukwaani matokeo yake tutayaona na hakika itakuwa ni aibu kubwa
 
Mbona vipimo vinafanywa takwimu za wagonjwa wote huwa zipo tu ataukizitaka unapata shida ni kutangaza tu lakini ukitaka unapata.Watakaofanya research au wanataka kutengeneza tiba ukitaka unapata ila uwezi kutangaza
 
Kwa hiyo wewe unahitaji takwimu ili ujiridhishe, siyo! Kwani yanayofanywa na majirani au huko majuu ndiyo sahihi ya kuiga? Hivi unayofanya nyumbani kwako unaigiza ya jirani? Na kwa nini wewe usiwe kinara na jirani akaiga ya kwako?

Basi sikiiiza yanayofanywa na wataalamu wetu kukabili janga la COVID-19 pasipo kuupima hovyo hovyo kama wafanyavyo nchi za nje na majirani.

 
Hizi propaganda za mataga zitaliweka taifa letu matatani, tatizo ni la kisayansi lakini linatatuliwa kwa siasa za majukwaani matokeo yake tutayaona na hakika itakuwa ni aibu kubwa
Dua la kuku halimpati mwewe,ombeni mabaya tuu ndio mmekalia kama WHO.Oooho ifikapo April .......
 
Hizi propaganda za mataga zitaliweka taifa letu matatani, tatizo ni la kisayansi lakini linatatuliwa kwa siasa za majukwaani matokeo yake tutayaona na hakika itakuwa ni aibu kubwa

Wewe mjinga unapinga ila 100% maisha yako mshukuru JPM

Ungekuwa lockdown, na umeajiriwa hauna kazi leo
 
Back
Top Bottom