Dunia inasubiri hukumu ya ubunge wa Lissu

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Bila shaka dunia nzima iko na habari kuhusu ubunge na ugonjwa wa Tundu Lissu. Dunia ana habari kuhusu kilichomtokea Lissu na mahali alipo hivi sasa.

Baada ya Lissu kuvuliwa ubunge na Lissu kwenda mahakamani kuomba kurejeshewa ubunge wake bila shaka dunia yote itakuwa ikifuatilia kesi hii na maamuzi yake.

Bila shaka hii itakuwa challenge kwa mahakama zetu, ni muda wao wa kijiinua au kijianguza kimataifa.
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…