Sasa taifa la Israel lilishapigwa laana na Mungu kwa kuua na kuadhibu mitume nq manabii wake. Ukiristo na Uislamu unasema wamepigwa laana itakayowatesa kizazi hadi kizazi.
Hiyo dola itasimama vipi?
Au miungu yenu inasema uongo?
Huwezi kuproove kwa sababu uelewa wako ni mdogo,eti unasema limungu ndo nini???wewe umezoea kudanganywa na ndiyo maana unadanganywa kmpiga shetani mawe nawe kwa akili finyu unaanza kurusha mawe na kupiga hewa hiyo ni akili???wewe likitabu limeandikwa kiarabu na wewe ni mmatumbi utaliweza wapi utabakia kukaririshwa tu kama kasuku.