Dunia kufikia kuondoa pengo la kijinsia baada ya miaka 134

Dunia kufikia kuondoa pengo la kijinsia baada ya miaka 134

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Alama ya pengo la kijinsia duniani kwa mwaka 2024 ni 68.5%, ikiwa maana 31.5% ya pengo hilo bado halijashughulikiwa. Maendeleo
yamekuwa polepole sana, na kuboreshwa kwa asilimia 0.1% tu kutoka mwaka 2023.

Kwa kasi hii, itachukua miaka 134 kufikia usawa wa kijinsia duniani, mbali sana na lengo la SDG la mwaka 2030. Mapengo ya kijinsia ni makubwa zaidi katika Uwezeshaji wa Kisiasa (77.5% hayajashughulikiwa) na Ushiriki na Fursa za Kiuchumi (39.5% hayajashughulikiwa).

(Chanzo: Global gender gap, Insight report June, 2024)
 
Alama ya pengo la kijinsia duniani kwa mwaka 2024 ni 68.5%, ikiwa maana 31.5% ya pengo hilo bado halijashughulikiwa. Maendeleo
yamekuwa polepole sana, na kuboreshwa kwa asilimia 0.1% tu kutoka mwaka 2023.

Kwa kasi hii, itachukua miaka 134 kufikia usawa wa kijinsia duniani, mbali sana na lengo la SDG la mwaka 2030. Mapengo ya kijinsia ni makubwa zaidi katika Uwezeshaji wa Kisiasa (77.5% hayajashughulikiwa) na Ushiriki na Fursa za Kiuchumi (39.5% hayajashughulikiwa).

(Chanzo: Global gender gap, Insight report June, 2024)
Shida iliyopo ni kwamba wenzetu wanawake wanaposema usawa wa kijinsia wanamaanisha kwamba ni wao kupewa nafasi ya kuweza kumnyonya mwanaume kwa kila namna inavyowezekana, hususani unyonyaji wa kiuchumi. Hapo ndipo hii dhana ya usawa wa kijinsia inapopata upinzani mkali Sana.
 
Shida iliyopo ni kwamba wenzetu wanawake wanaposema usawa wa kijinsia wanamaanisha kwamba ni wao kupewa nafasi ya kuweza kumnyonya mwanaume kwa kila namna inavyowezekana, hususani unyonyaji wa kiuchumi. Hapo ndipo hii dhana ya usawa wa kijinsia inapopata upinzani mkali Sana.
Takwimu hii imenisikitisha sana yaani karne moja na miaka 34?.
 
Back
Top Bottom