DUNIA KWANINI INAUPIGANIA USHOGA?

DUNIA KWANINI INAUPIGANIA USHOGA?

JABALI LA KARNE

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
3,093
Reaction score
5,850
Wiki hii nilitaka kutokufanya lolote, nikasema nijikumbushe enzi za nyuma kidogo, Kipindi cha ujana ambacho niliweza kukaa ndani nikatazama movies siku nzima.

Basi nikatoka nje ya mji niliopo, nikakodisha hoteli nikapewa movies niangalie wiki nzima.

Japo sikuwa na nguvu ya kutazama movies kama zamani ila nilichokiona ni kuwa tofauti na miaka ya nyuma wakati kina Rambo wanawika, sasa hivi kuna nguvu kubwa sana inatumika kujaribu kuonyesha kuwa ushoga ni jambo la kawaida.

Nyakati hizi kunahitajika umakini sana na vitu mnavyoruhusu watoto wanaobalehe kutazama.

Kaka mtu mlinde mdogo wako, mama mlinde mwanao, baba kuwa makini na dume lako.

Vijana wanahitaji uangalizi wa karibu wasipotee wakidhani ni kawaida kama wanavyoona kwenye video.
 
Mainstream media, sports and entertainment industry siku hizi wana agenda zao za msingi.

1. Ku potray kuwa wazungu ndio superior race na hakuna wanachoweza kushindwa kufanya.
2. Kueneza ushoga na mapenzi ya jinsia moja duniani.

Ukitizama movie 100 basi 95 kati ya hizo lazima zina maudhui hayo ya kuonyesha umwamba wa mzungu na mapenzi ya jinsia moja.
 
Mainstream media, sports and entertainment industry siku hizi wana agenda zao za msingi.

1. Ku potray kuwa wazungu ndio superior race na hakuna wanachoweza kushindwa kufanya.
2. Kueneza ushoga na mapenzi ya jinsia moja duniani.

Ukitizama movie 100 basi 95 kati ya hizo lazima zina maudhui hayo ya kuonyesha umwamba wa mzungu na mapenzi ya jinsia moja.
Sasa sielewi hii kampeni ina manufaa gani kwao..
Au huenda wanajaribu kuharibu vizazi vya Africa na Asia.....
 
Back
Top Bottom