Nina rafiki yangu. Aliwahi kunieleza yote haya vile USA kwa public services zilivyombovu na zinavyohujumiwa miaka 5 uliopita.
Tano tu? acha bana, unatania?Nina rafiki yangu. Aliwahi kunieleza yote haya vile USA kwa public services zilivyombovu na zinavyohujumiwa miaka 5 uliopita.
Ni vile tu wengi taarifa hatuna...nimechoka
Marekani wamechagua raisi kichaa anaacha yupo busy kulipiza kisasi baada ya kuangalia maendeleo ya marekaniNyaraka za Siri kuhusu kifo cha aliyekuwa Rais wa Marekani JF Kennedy aliyeuawa kwa kupigwa risasi, shambulio la Osama bin Raden maarufu kama 9/11, Wapi hasa COVID-19 ilitoka zote kuweka wazi.
Elon na DOGE nao hawapoi kasema amegundua ufisadi WA kutisha serikali Kuu na Wizara zake
"Wazungu sio mafisadi,..." pumbavu zako!
View attachment 3233808View attachment 3233809
Kweli kabisa.Marekani wamechagua raisi kichaa anaacha yupo busy kulipiza kisasi baada ya kuangalia maendeleo ya marekani