Dunia ni uwanja wa vita za hatima

Dunia ni uwanja wa vita za hatima

Thecoder

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
1,590
Reaction score
4,244
Natumai mko salama.

Kama kichwa cha habari kinavyosema kwamba dunia ni uwanja wa vita za hatima kwahiyo kila mtu ambae yuko hapa duniani anapaswa kujua kwamba yuko vitani na swala la kushinda au kushindwa ni juu ya mtu mwenyewe.

Sasa iko hivi...

Kimsingi ni kwamba kila mwanadamu ambae yuko kwenye hii dunia hayupo hapa kwa bahati mbaya na inawezekana wazazi waliomzaa mtu huyo wanaamini wamemleta huyo mtu hapa duniani kibahati mbaya ila kiroho hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya.

Maadam umezaliwa na uko hapa duniani basi kaa ukijua kuna mission unatakiwa uitimize na hii mission ndio ambayo tunaita hatima na pindi utakapoitimiza mission hiyo basi hapo ndio utakapopata uhuisho wa roho yako na kuifanya iwe hai milele na roho ambayo iko hai ndio roho ambayo husikia inaposemeshwa na ndio maana katika asili za kiafrika hasa hapa nyumbani Tanzania unakutana na kitu kinaitwa mizimu.

Sasa mizimu ni nini? Mizimu ni roho ambazo ziliishi kwenye milli ya watu fulani kwa uadilifu kwa maana ziliweza kujua zipo hapa duniani kwa lengo gani yaani hatima yao na wakapigana vita ya kuiendea hiyo hatima na wakafanikiwa kwa kiasi kikubwa na pindi deadline yao ya kuishi hapa duniani ilipofika zile roho zao ziliweza kuuhishwa na kupata uzima wa milele.

Kwahiyo Sasa katika ile mitetemo ya mfumo nyota ya koo na koo ukiweza kujiungamanisha kiroho na roho za babu ambao unawajua walikua manguli katika upande wa kutibu au kwenye jambo lolote lile ambalo lilikua hatima ya babu huyo ila ilimradi tu uwe na uhakika kwamba alifanya kweli makubwa na sifa zake hadi leo bado zipo hapo kijijini basi ukijiungamanisha tu na roho za watu wa namna hii huwa zinasikia na zinatoa majibu papo kwa hapo.

Nimesema uwe na uhakika kwasababu usije ukaenda kujiungamanisha na mtu ambae huna uhakika nae na ukaenda kuvaa roho za ajabu zikakutesa kwenye maisha yako na hapa ndipo ambapo watu wengi wanachukia haya mambo ya mizimu kwasababu huwa ni ngumu kujua babu yako mzaa babu yako alichokifanya kama kilisaidia kuongeza positive energy hapa duniani au laa (hapa nitapazungumzia vizuri huko mbele na utajua kwanini watu wanakimbilia kwa Yesu au Muhammad huku wakiacha mizimu ya babu zao kule kijijini).

Kwasasa turudi hapa kidogo...

Kikawaida binadamu huwa yuko na pande kuu mbili yaani ya damu na nyama na ya kiroho.

Upande wa kiroho ndio Upande ambao umembeba mtu halisi na ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu wa asili yake na upande huu huu unapokuwa hapa duniani huwa unatumika kama redio call na kwanini kama radio call basi nitakwenda kukuelezea hapo mbele kidogo. Na upande wa damu na nyama ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu huu wa vita za hatima.

Wakati mtu anapozaliwa huwa anakua anaishi zaidi kwenye ulimwengu wa kiroho kuliko ulimwengu huu wa damu na nyama ila kadri anavyokua na kujifunza mambo mapya ile mitetemo yake ya ulimwengu wa asili yake inapungua na ya ulimwengu huu inaongezeka hadi kufikia kwenye ukubwa toshelezi na hapa ndio mtu anaanza kuishi maisha ya ulimwengu huu wa damu na nyama na kusahau namna ya kuishi ulimwengu wa kiroho.

Na kutokana na kwamba binadamu anaishi zaidi katika ulimwengu wa damu na nyama kuliko ulimwengu wa kiroho hii imefanya wengi wetu tushindwe kuelewa lengo na dhumuni la sisi kuwa hapa duniani na badala yake tunaishi kulingana na mfumo wa kidunia na kushindwa kuelewa hatima zetu ni nini.

Na kitu cha kikuu na chaumuhimu zaidi kuhusu hatima ni kwamba kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na vitu vyote ambavyo unapaswa kuvimiliki hapa duniani vipo kwenye hatima yako.

Kwahiyo watu wote ambao wanaziendea njia za hatima yao iwe kwa kujua au kwakutokujua huwa hawahangaiki kwenye swala la fedha kama ambavyo watu wanaoishi kwenye maisha yaliyo nje ya hatima zao hufanya.

Na ninaposema hatima kuna watu wanadhani nazungumzia kitu fulani ambacho ni maalumu sana yaani kitu ambacho hakiwezekani kugundulika kirahisi raising hivi, ila naomba nikutoe wasiwasi na nikwambie tu kwamba hakuna umaalumu wowote kwenye hatima kwasababu hatima ni mambo yote ambayo yanaweza kufanyika hapa duniani ili kuongeza nguvu chanya na kuifanya dunia iwe sehemu salama.

Kwa maana hiyo kuna watu hatima zao ni kuburudisha na kuna watu hatima zao ni kuvumbua mambo kadha wa kadha na kuna watu hatima zao ni kutibu watu wengine na kuna watu hatima zao ni kufundisha mambo mbalimbali na kadhalika.

Na ili uweze kufikia hatima yako lazima upite kwenye njia fulani na hiyo njia ndio huwa tunaiita kipawa au kipaji.

Ndio, ni kipaji kwahiyo wala usishtuke kwasababu hata wewe unachokipaji ambacho ukikitumia kitakupeleka moja kwa moja kwenye hatima yako na mara tu utakapofika kwenye hatima yako basi watu wote watajua kwamba yupo au alikuwepo mtu fulani ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya burudani hasa upande huu wa mpira na mtu huyo aliitwa Leonel Messi au Christiano Ronaldo.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya uvumvuzi wa mambo ya kisayansi ambae aliitwa Isaac Newton.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye haya mambo ya muziki wa rege ambae aliitwa Bob Marley.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye upande wa mashoati na movie za kupigana za karate aliitwa Blue Lee.

Kwahiyo hii inakwenda zaidi na zaidi na kuwafikia vizazi na vizazi huku wakiishi na kuutukuza ufalme wako kwenye upande huo wa hatima yako bila kujali mwaka ambao deadline yako ilifika na wewe kurudi kwenye ulimwengu wa asili yako huku roho yako ikiuhishwa na kupata uzima wa milele.

Na lazima ujue pia kwamba ukubwa wa hatima baina ya mtu na mtu huwa umetofautiana yaani kuna watu wamebeba hatima za kidunia ila wapo waliobeba hatima za kibara na wapo waliobeba za kiukanda lakini pia wapo waliobeba za kinchi na wapo waliobeba hatima za kimkoa, kijiji, kiukoo na kifamilia.

Ili ujue hatima yako ni ya ukubwa gani basi mambo utakayoyafanya kiwepesi sana yaani bila kutumia nguvu utaona yanaenda yanafika kwenye ngazi fulani ila utakapotaka uvuke hiyo ngazi uende ngazi nyingine utaona unatumika nguvu kubwa sana lakini matokeo yake hayawi kama pale awali ambapo ulikua hautumii nguvu nyingi ila mambo yalikua yanaenda parefu, hapo unatakiwa ujue kwamba wewe ukubwa wa hatima yako mwisho wake ni hapo.

Na hapa najua umeanza kunielewa pia ninaposema kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na pindi utakapoigundua hatima yako na kuifuata ile njia inayoelekea huko basi moja kwa moja utaanza kuona wepesi wa mambo katika upande wa umiliki wa fedha na Mali.

Kwahiyo kumbe mateso ambayo watu wengi wanayapata kwenye upande wa kifedha huwa sababu moja wapo ni kuishi maisha yaliyo nje ya hatima zao na hii hufanya watumie nguvu sana kwenye swala la utafutaji huku wakiambulia kidogo kisicholingana na nguvu walizotumia.

Na unakutana na mtu anasali sana lakini bado mambo hayakai kwenye line, na hii sio kwasababu maombi yako hayafiki kule lahasha maombi yako yanafika ila nimekwambia kila roho iko na codes na hizi codes ndio hatima yako iko humo ndani na Kimsingi ulimwengu wa juu haukutambui wewe kwa sura na umbo lako la damu na nyama ila unakutambua wewe kwa codes zilizopo rohoni mwako, kwahiyo unavyoomba ile mitetemo inaenda moja kwa moja hadi kwenye ule mfumo nyota wa asili yako na majibu yanaporudi yanarudi kwakufuata ile code ambayo ipo ndani ya roho zako kwa maana hiyo kama maombi ni kubarikiwa kwenye utafutaji wako baraka itaongezwa kwenye ile hatima iliyopo ndani yako.

Kwahiyo ikiwa wewe hatima yako ni udaktari halafu ukashindwa kuifuata hatima hiyo na ukaamua uende upande mwingine labda wa ujenzi na mambo yakakuwia magumu huko hadi kufikia hatua ya kupiga goti chini ili ujiungamanishe mitetemo ya mfumo nyota ya asili yako basi kuwa na hakika kwamba maombi yako yatafika na majibu yatarudi ila wewe utakua unapishana mwenyewe, yenyewe yanaenda kwenye afya wewe upo kwenye ujenzi.

Sasa hili ndio lengo la uumbaji, ni kwamba roho ilitengenezwa kwa codes na kila kitu kikawa kimewekwa ndani yake kisha unaletwa hapa duniani na unapumbazwa na mambo ya dunia hadi unasahau roho yako imebeba kitu gani maalumu na chaupekee ambacho unatakiwa kukifanya ili uweze kuongeza nguvu za mitetemo chanya itakayosaidia kuifanya dunia kuwa sehemu salama.

Na ukumbuke kwamba kwenye kila hatima iliyopo ndani ya mtu huwa imewekwa na deadline yake na hiyo deadline ikifika basi muhusika anarudi kwenye ulimwengu wa asili yake yaani anakufa kama mnavyosemaga.

Sasa mpumbazo huu wa dunia ukikukumba kwa kiasi kikubwa na ikapelekea ukaenda hadi siku ya deadline yako, basi hapo ndio utakua upande wa zile mbegu ambazo si bora na mbegu ambayo si bora huwa mkulima anakua na option mbili either aitupe au aipe nafasi ya pili.

Ikitupwa haitoonekana tena shambani milele na milele ila ikipewa nafasi ya pili basi mkulima atajaribu kuipanda tena ili aone kama italeta matunda au laa na ndio hapa Sasa unakutana na roho ambazo zipo kwenye miili ya watu ila roho hizo zilishawahi kuwa hapa duniani hapo kabla (watu wenye roho za namna hii wapo wengi tu).

Ngoja leo niishie hapa kwanza ila nimeanzia huku mbali kidogo ili nitakapounganisha ili niweze kukuelezea ni kwanamna gani dunia ni uwanja wa vita za hatima uweze kunielewa vizuri.
 
Natumai mko salama.

Kama kichwa cha habari kinavyosema kwamba dunia ni uwanja wa vita za hatima kwahiyo kila mtu ambae yuko hapa duniani anapaswa kujua kwamba yuko vitani na swala la kushinda au kushindwa ni juu ya mtu mwenyewe.

Sasa iko hivi…

Kimsingi ni kwamba kila mwanadamu ambae yuko kwenye hii dunia hayupo hapa kwa bahati mbaya na inawezekana wazazi waliomzaa mtu huyo wanaamini wamemleta huyo mtu hapa duniani kibahati mbaya ila kiroho hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya.

Maadam umezaliwa na uko hapa duniani basi kaa ukijua kuna mission unatakiwa uitimize na hii mission ndio ambayo tunaita hatima na pindi utakapoitimiza mission hiyo basi hapo ndio utakapopata uhuisho wa roho yako na kuifanya iwe hai milele na roho ambayo iko hai ndio roho ambayo husikia inaposemeshwa na ndio maana katika asili za kiafrika hasa hapa nyumbani Tanzania unakutana na kitu kinaitwa mizimu.

Sasa mizimu ni nini? Mizimu ni roho ambazo ziliishi kwenye milli ya watu fulani kwa uadilifu kwa maana ziliweza kujua zipo hapa duniani kwa lengo gani yaani hatima yao na wakapigana vita ya kuiendea hiyo hatima na wakafanikiwa kwa kiasi kikubwa na pindi deadline yao ya kuishi hapa duniani ilipofika zile roho zao ziliweza kuuhishwa na kupata uzima wa milele.

Kwahiyo Sasa katika ile mitetemo ya mfumo nyota ya koo na koo ukiweza kujiungamanisha kiroho na roho za babu ambao unawajua walikua manguli katika upande wa kutibu au kwenye jambo lolote lile ambalo lilikua hatima ya babu huyo ila ilimradi tu uwe na uhakika kwamba alifanya kweli makubwa na sifa zake hadi leo bado zipo hapo kijijini basi ukijiungamanisha tu na roho za watu wa namna hii huwa zinasikia na zinatoa majibu papo kwa hapo.

Nimesema uwe na uhakika kwasababu usije ukaenda kujiungamanisha na mtu ambae huna uhakika nae na ukaenda kuvaa roho za ajabu zikakutesa kwenye maisha yako na hapa ndipo ambapo watu wengi wanachukia haya mambo ya mizimu kwasababu huwa ni ngumu kujua babu yako mzaa babu yako alichokifanya kama kilisaidia kuongeza positive energy hapa duniani au laa (hapa nitapazungumzia vizuri huko mbele na utajua kwanini watu wanakimbilia kwa Yesu au Muhammad huku wakiacha mizimu ya babu zao kule kijijini).

Kwasasa turudi hapa kidogo...

Kikawaida binadamu huwa yuko na pande kuu mbili yaani ya damu na nyama na ya kiroho.

Upande wa kiroho ndio Upande ambao umembeba mtu halisi na ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu wa asili yake na upande huu huu unapokuwa hapa duniani huwa unatumika kama redio call na kwanini kama radio call basi nitakwenda kukuelezea hapo mbele kidogo. Na upande wa damu na nyama ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu huu wa vita za hatima.

Wakati mtu anapozaliwa huwa anakua anaishi zaidi kwenye ulimwengu wa kiroho kuliko ulimwengu huu wa damu na nyama ila kadri anavyokua na kujifunza mambo mapya ile mitetemo yake ya ulimwengu wa asili yake inapungua na ya ulimwengu huu inaongezeka hadi kufikia kwenye ukubwa toshelezi na hapa ndio mtu anaanza kuishi maisha ya ulimwengu huu wa damu na nyama na kusahau namna ya kuishi ulimwengu wa kiroho.

Na kutokana na kwamba binadamu anaishi zaidi katika ulimwengu wa damu na nyama kuliko ulimwengu wa kiroho hii imefanya wengi wetu tushindwe kuelewa lengo na dhumuni la sisi kuwa hapa duniani na badala yake tunaishi kulingana na mfumo wa kidunia na kushindwa kuelewa hatima zetu ni nini.

Na kitu cha kikuu na chaumuhimu zaidi kuhusu hatima ni kwamba kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na vitu vyote ambavyo unapaswa kuvimiliki hapa duniani vipo kwenye hatima yako.

Kwahiyo watu wote ambao wanaziendea njia za hatima yao iwe kwa kujua au kwakutokujua huwa hawahangaiki kwenye swala la fedha kama ambavyo watu wanaoishi kwenye maisha yaliyo nje ya hatima zao hufanya.

Na ninaposema hatima kuna watu wanadhani nazungumzia kitu fulani ambacho ni maalumu sana yaani kitu ambacho hakiwezekani kugundulika kirahisi raising hivi, ila naomba nikutoe wasiwasi na nikwambie tu kwamba hakuna umaalumu wowote kwenye hatima kwasababu hatima ni mambo yote ambayo yanaweza kufanyika hapa duniani ili kuongeza nguvu chanya na kuifanya dunia iwe sehemu salama.

Kwa maana hiyo kuna watu hatima zao ni kuburudisha na kuna watu hatima zao ni kuvumbua mambo kadha wa kadha na kuna watu hatima zao ni kutibu watu wengine na kuna watu hatima zao ni kufundisha mambo mbalimbali na kadhalika.

Na ili uweze kufikia hatima yako lazima upite kwenye njia fulani na hiyo njia ndio huwa tunaiita kipawa au kipaji.

Ndio, ni kipaji kwahiyo wala usishtuke kwasababu hata wewe unachokipaji ambacho ukikitumia kitakupeleka moja kwa moja kwenye hatima yako na mara tu utakapofika kwenye hatima yako basi watu wote watajua kwamba yupo au alikuwepo mtu fulani ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya burudani hasa upande huu wa mpira na mtu huyo aliitwa Leonel Messi au Christiano Ronaldo.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya uvumvuzi wa mambo ya kisayansi ambae aliitwa Isaac Newton.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye haya mambo ya muziki wa rege ambae aliitwa Bob Marley.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye upande wa mashoati na movie za kupigana za karate aliitwa Blue Lee.

Kwahiyo hii inakwenda zaidi na zaidi na kuwafikia vizazi na vizazi huku wakiishi na kuutukuza ufalme wako kwenye upande huo wa hatima yako bila kujali mwaka ambao deadline yako ilifika na wewe kurudi kwenye ulimwengu wa asili yako huku roho yako ikiuhishwa na kupata uzima wa milele.

Na lazima ujue pia kwamba ukubwa wa hatima baina ya mtu na mtu huwa umetofautiana yaani kuna watu wamebeba hatima za kidunia ila wapo waliobeba hatima za kibara na wapo waliobeba za kiukanda lakini pia wapo waliobeba za kinchi na wapo waliobeba hatima za kimkoa, kijiji, kiukoo na kifamilia.

Ili ujue hatima yako ni ya ukubwa gani basi mambo utakayoyafanya kiwepesi sana yaani bila kutumia nguvu utaona yanaenda yanafika kwenye ngazi fulani ila utakapotaka uvuke hiyo ngazi uende ngazi nyingine utaona unatumika nguvu kubwa sana lakini matokeo yake hayawi kama pale awali ambapo ulikua hautumii nguvu nyingi ila mambo yalikua yanaenda parefu, hapo unatakiwa ujue kwamba wewe ukubwa wa hatima yako mwisho wake ni hapo.

Na hapa najua umeanza kunielewa pia ninaposema kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na pindi utakapoigundua hatima yako na kuifuata ile njia inayoelekea huko basi moja kwa moja utaanza kuona wepesi wa mambo katika upande wa umiliki wa fedha na Mali.

Kwahiyo kumbe mateso ambayo watu wengi wanayapata kwenye upande wa kifedha huwa sababu moja wapo ni kuishi maisha yaliyo nje ya hatima zao na hii hufanya watumie nguvu sana kwenye swala la utafutaji huku wakiambulia kidogo kisicholingana na nguvu walizotumia.

Na unakutana na mtu anasali sana lakini bado mambo hayakai kwenye line, na hii sio kwasababu maombi yako hayafiki kule lahasha maombi yako yanafika ila nimekwambia kila roho iko na codes na hizi codes ndio hatima yako iko humo ndani na Kimsingi ulimwengu wa juu haukutambui wewe kwa sura na umbo lako la damu na nyama ila unakutambua wewe kwa codes zilizopo rohoni mwako, kwahiyo unavyoomba ile mitetemo inaenda moja kwa moja hadi kwenye ule mfumo nyota wa asili yako na majibu yanaporudi yanarudi kwakufuata ile code ambayo ipo ndani ya roho zako kwa maana hiyo kama maombi ni kubarikiwa kwenye utafutaji wako baraka itaongezwa kwenye ile hatima iliyopo ndani yako.

Kwahiyo ikiwa wewe hatima yako ni udaktari halafu ukashindwa kuifuata hatima hiyo na ukaamua uende upande mwingine labda wa ujenzi na mambo yakakuwia magumu huko hadi kufikia hatua ya kupiga goti chini ili ujiungamanishe mitetemo ya mfumo nyota ya asili yako basi kuwa na hakika kwamba maombi yako yatafika na majibu yatarudi ila wewe utakua unapishana mwenyewe, yenyewe yanaenda kwenye afya wewe upo kwenye ujenzi.

Sasa hili ndio lengo la uumbaji, ni kwamba roho ilitengenezwa kwa codes na kila kitu kikawa kimewekwa ndani yake kisha unaletwa hapa duniani na unapumbazwa na mambo ya dunia hadi unasahau roho yako imebeba kitu gani maalumu na chaupekee ambacho unatakiwa kukifanya ili uweze kuongeza nguvu za mitetemo chanya itakayosaidia kuifanya dunia kuwa sehemu salama.

Na ukumbuke kwamba kwenye kila hatima iliyopo ndani ya mtu huwa imewekwa na deadline yake na hiyo deadline ikifika basi muhusika anarudi kwenye ulimwengu wa asili yake yaani anakufa kama mnavyosemaga.

Sasa mpumbazo huu wa dunia ukikukumba kwa kiasi kikubwa na ikapelekea ukaenda hadi siku ya deadline yako, basi hapo ndio utakua upande wa zile mbegu ambazo si bora na mbegu ambayo si bora huwa mkulima anakua na option mbili either aitupe au aipe nafasi ya pili.

Ikitupwa haitoonekana tena shambani milele na milele ila ikipewa nafasi ya pili basi mkulima atajaribu kuipanda tena ili aone kama italeta matunda au laa na ndio hapa Sasa unakutana na roho ambazo zipo kwenye miili ya watu ila roho hizo zilishawahi kuwa hapa duniani hapo kabla (watu wenye roho za namna hii wapo wengi tu).

…. Ngoja leo niishie hapa kwanza ila nimeanzia huku mbali kidogo ili nitakapounganisha ili niweze kukuelezea ni kwanamna gani dunia ni uwanja wa vita za hatima uweze kunielewa vizuri.
Somo limeeleweka bro, endelea....
 
KIPANDE CHA PILI.

Sasa katika maswala haya ya hatima huwa kuna hatima ambazo zinahitaji kujengewa misingi tangu utotoni na kuna hatima ambazo hata zisipojengewa misingi tangu utotoni huwa inakua haina shida.

Na mara nyingi hatima ambazo huwa zinahitaji kujengewa misingi tangu utotoni ni zile hatima ambazo huwa zinafungamana moja kwa moja na maswala ya kielimu kwamfano madaktari, wanasheria, walimu, waandisi, accountants na kadhalika.

Hapa ndipo ambapo huwa huleta utofauti baina ya mtoto na mtoto wanapokua shuleni hasa kwenye upande wa kufaulu darasani na wacha nitumie hili andiko kuelezea mambo haya kidogo.

Unakuta kuna mtoto ni mtundu sana na wala hanaga habari na mambo ya kujisomea na kwenye kesi zote za ajabu ajabu pale shuleni yeye huwa hakosekani na kuna mtoto ambae ni mtulivu na mpole sana wala hanaga mambo mengi ila watoto hawa inapotokea kipindi cha kufanya mtihani yule mtundu anafanya vizuri darasani kuliko yule mtulivu hadi mnabaki mnashangaa. Sasa unapokutana na watoto au wanafunzi wa namna hii unatakiwa ujue kwamba kuna mmoja hatima yake inafungamana na maswala ya kielimu na kuna mwingine hatima yake haiko huko kabisa au haiko huko kwa asilimia kadhaa.

Na hapo namaanisha kwamba...

Kuna wanafunzi ambao wanafaulu sana kwenye baadhi ya masomo na wanafeli kwenye baadhi ya masomo au wakitaka kufaulu masomo hayo basi ni lazima watumie nguvu ya ziada sana ila kwenye masomo mengine wala hawatumii nguvu ila wanafaulu vizuri tu sasa hii inamaanisha kwamba upande wa masomo ambayo unafaulu vizuri ndio masomo ambayo yanafungamana na hatima yako ila yale ambayo unatumia nguvu sana kuyafaulu jua hayo hayafubgamani na wewe.

Lakini pia wapo watoto au wanafunzi ambao wao wanafanya vizuri kwenye masomo yote yanayofundishwa kuanzia darasa la kwanza hadi wanafika chuo kikuu wao hawajawahi kupata tabu kwenye maswala ya ufaulu darasani na watu wa namna hii ndio tunasema kwamba hatima zao zimefungamana na elimu moja kwa moja na watu wa namna hii hata maisha yao ya utafutaji huwa hayatokagi katika upande huu wa kielimu na wengi wao huwa wanaishiaga kuwa wakufunzi pale chuo kikuu, na haijalishi njia atakayoifuata kwenye kuchagua course ya kusoma ila mwisho wa siku kupitia course hiyo hiyo anajikuta anakua mkufunzi.

Kwamfano unakuta yeye alisomea muunganiko wa masomo ya kuja kumfanya aje kuwa daktari anapokwenda chuo kikuu yaani PCB ila anapokwenda chuo kikuu anajikuta anapata ufaulu mkubwa ambao unafanya chuo kiweze kumshawishi na kumpa ofa za hapa na pale na kumuahidi kwamba watampa udhamini wa kumuendeleza kwenda kuchukua masomo ya juu zaidi katika hiyo fani yake ya udaktari ila wanachomuomba akubali kubaki hapo chuoni kama mkufunzi na walio wengi huwa wanajikuta wanakubaliana na hizi ofa na kubaki mavyuoni kama wakufunzi.

Na wale ambao wanakataa au wale ambao hawakupata hizi ofa basi utawakuta wanafundisha kinamna nyingine na wengine unakuta wanaandika na kuuza vitabu mbalimbali vya kiada na vya zaida na wanaendesha maisha yao kinamna hiyo na hapa ndio watu wengi wanaposhangaa kwamba licha ya kwamba Tanzania kuwa na sifa ya watu kutokupenda kusoma vitabu ila wapo watu ambao wamejenga nyumba nzuri na wanaendesha magari mazuri na uchumi wao ni imara kabisa kwa kufanya biashara za kuandika na kuuza vitabu na kufundisha watu mambo kadha wa kadha.

Sasa hii yote ni kutokana na hatima zao kwamba zinafungamana moja kwa moja na upande huo ila wewe ambae uko na hatima tofauti ukienda kujaribu biashara za namna hiyo huwezi kupata matokeo hata kidogo.

Lakini pia wapo vijana ambao wao huwa hawafaulu sana wala hawafeli sana darasani yaani ni wale watu wa katikati na watu wa namna hii hata wajitahidi vipi kusoma huwa ufaulu wao hauongezeki sana ila kinachotokea ni kwamba kutokana na nguvu ambayo wanaitumia kwenye kusoma wanajikuta wanapata zile maksi ambazo zinawawezesha kuendelea na masomo katika ngazi inayofuata ila sasa unaweza kukuta vijana wa namna hii wanafanya vizuri sana kwenye maswala ya michezo Kwamfano mpira unakuta kwenye timu ya shule yeye ndio tegemezi na hata mtaani unakuta mnapopanga vile vikosi kila mtu anatamani apangwe na kijana wa namna hii kwa maana shughuli yake uwanjani inajulikana kwa hiyo kucheza upande tofauti na yeye ni fedheha.

Sasa unakuta kijana wa namna hii kwakua hafanyi vizuri sana shuleni wazazi wake wanaona ni bora waanze kumbana na kumnyima uhuru kwenye upande wa michezo na wamuhimize hata kwa vitisho na wakati mwingine hadi viboko hutumika ili kuzuia aachane na mambo ya kimpira na awekeze nguvu nyingi kwenye maswala ya shule na kijana anakua mtiifu unakuta anakaza hivyo hivyo anafaulu japo kwa kuunga unga anafika chuo kikuu na anachukua course yoyote inayoendana na ufaulu wake wa kidato cha sita na anasoma course hiyo anahitimu kwa kupata daraja la kawaida na anaanza kuingia maofisini kuomba ajira.

Lakini unakuta anatembeza vyeti ofisi na ofisi ila anaambulia patupu kwa maana ushindani ni mkubwa na ufaulu wake yeye ni wakawaida sana kulinganisha na wengine na hapo anakata tamaa anaamua kubaki tu nyumbani na wakati yuko hapo nyumbani unakuta anafanya yale mambo anayoyapenda yaani yale mambo ya kimpira na kwakua anajua kwa umri alionao hawezi tena kucheza mpira basi anaanzisha page yake huko instagram au Facebook na anaanza kufanya uchambuzi wa maswala hayo ya kimpira na unashangaa baada ya muda anaanza kupata ofa za kwamba watu wanapenda anachokifanya na wanatamani waweze kumuajiri kwenye redio au television zao katika vipindi vya michezo.

Na kweli unakuta anaenda kufanya interview anafaulu vizuri na rasmi anajikuta anakua mchambuzi wakati usikute yeye chuo kikuu alisomea mambo ya fedha au sheria ila anakuja kuangukia kwenye kazi inayofungamana na hatima yake pasipo yeye au wazazi wake kujua.

Sasa huu ni mfano mmoja ambao nimekupatia ili uweze kukusaidia kukupatia taswira halisi ila wapo watu wengi sana ambao walisoma hadi vyuo vikuu ila wakajikuta wameangukia kwenye kazi za kawaida ambazo pengine wangejua hata chuo wasingeenda ili waanze kuzifanya mapema, wapo watu wamesoma na wameangukia kwenye maswala ya uchekeshaji na wanatengeneza pesa nzuri sana kupitia mambo hayo na kadhalika.

Na hapa utashangaa kwanini makampuni mengi huwa hatua zao za uajiri zinazingatia sana maswala ya ufaulu, hii yote ni kutokana na mambo ya hatima pale hawaajiri mtu ila wanaajiri hatima iliyopo ndani ya mtu na hii inawezekana hao wanaoajiri hawajui ila wengi wanafanya hivi kama utaratibu tu ila nilikwambia hapo awali kwamba masomo ambayo yamefungamana na hatima yako ndio masomo ambayo utayafaulu vizuri sana darasani Sasa ili tujue kwamba ulichosomea kinafungamana na kilichopo ndani yako basi lazima tuangalie ufaulu wako na ndio maana makampuni huzingatia hili swala.

Na pia tusisahau wale vijana ambao wao kila somo pale darasani kwao ni gumu na utakuta wanaudhuria shule kila siku na wanaongoza kuandika notisi za masomo mbalimbali ila kwenye mitihani huwa hawafanyi vizuri kabisa… Sasa haya yote ni kutokana na maswala ya hatima kwamba watoto wa namna hii hatima zao hazifungamani na shule kabisa kabisa kwahiyo kama mzazi unatakiwa uanze kumfuatilia mwanao ili ujue ni upande gani ambao yeye ni guru na anafanya vizuri kiasi ambacho watoto wenzie wote wanamuaminia sana kwenye hilo na uanze kuangalia namna ya kumsaidia ili akaishi yale maisha ya hatima yake.

Na hapa ningependa nieleweke kwamba default mode ya kuweza kujua hatima ya mtoto imelalia upande gani ni kumpeleka shule kwani kwakupitia shule ndio utajua Sasa kama hatima iliyobebwa na mwanao inafungamana na maswala ya shule au laa na kama inafungamana ni upande upi zaidi unaona mwanao anaelekea kwa kuangalia masomo ambayo anafaulu zaidi bila kutumia nguvu nyingi.

Sasa watu ambao wamebeba hatima zinazofungamana na upande wa kielimu moja kwa moja wasipojengewa misingi tangu utotoni huwa wanapata tabu sana kwenye kujitafuta wanapoanza maisha ya kujitegemea.

Lakini kitu kizuri ni kwamba licha ya hilo ila huwa kwenye kila hatima kuna kuwaga na njia kuu na njia nyingine ndogo ndogo ambazo nazo ukizipita huwa zinakuunganisha na ile njia kuu inayoenda kwenye hatima yako au inakufikisha kwenye hatima yako hata kama kwa kuchelewa.

Na hapa namaanisha kwamba yawezekana wewe umebeba hatima ya udaktari ila hukuweza kupata nafasi ya kujengewa misingi ya hatima yako utotoni kwa maana hukupata elimu sasa umekua mkubwa ila umeshajaribu sana kujitafuta katika biashara kadha wa kadha ila bado huoni matokeo na uko hapo unajiuliza biashara gani inayoweza kuendana na wewe na jibu lake ni biashara zote ambazo zinafungamana na maswala ya afya ukizifanya utafanikiwa yaani ukiwa na mtaji ukafungua duka la madawa utafanikiwa, hata ukifungua mgahawa wa chakula utafanikiwa (hii ya chakula niliifanyia research kwa watu kadhaa ambao nawajua walikua na ndoto za kuwa madaktari ila hawakufanikiwa na wakaja kufanikiwa kwenye biashara ya chakula na hii nadhani kwakua mambo ya lishe yanaangukia upande wa afya) na biashara zingine ambazo wewe unazijua zinaangukia kwenye category hiyo.

Kuna watu ambao wanapenda sana maswala ya urembo na walitamani washiriki kwenye mashindano ya umiss au ya mitindo kwa wanaume na wanawake ila wameshindwa pengine kwakua hawakuwa na watu wakuwashika mkono sasa watu wa namna hii ndio hufaa sana kufanya biashara za mavazi, urembo, upambaji wa wanaharusi, maswala ya mitindo mbalimbali ya nywele pale saloon na kadhalika Lakini sasa mtu wa namna hii ukimtoa kwenye huo upande wake na kumpeleka kwenye upande mwingine kwanza hatofurahia kufanya ila atafanya tu ilimradi na pili kwakua atafanya tu ilimradi hatokua tayari kuvumilia changamoto za awali za kibiashara.

Kwa maana hata kwenye hali ya kibinadamu wote tunajua mtu huvumilia mtu ambae anampenda ila mtu usiyempenda huwezi kuwa na muda wa kuvumilia kero zake na ndivyo ilivyo kwenye haya mambo ya kibiashara.

Na kwakua nataka nikuingize huku kwenye mambo haya ya kibiashara kidogo basi kabla hatujaenda mbele zaidi naomba nikukumbushe kwamba…

Kwa kawaida huwa watu wanaanzisha biashara Kwa sababu kuu mbili.

Sababu ya kwanza ambayo huwafanya watu kuanzisha biashara ni kusikia watu wakiizungumzia, kuona mafanikio watu wanayoyapata kupitia biashara hiyo na kusoma kwenye majarida mbali mbali kwamba kuna watu wamejitengenezea ukwasi wa kutosha sana kupitia biashara hiyo kwahiyo nao wanahamasika na hapa nadhani wote mnajua lile wimbi la FOREX ambavyo lilikua, watu wengi ambao walitaka kuifanya FOREX ni wa hili kundi, na watu wanaoanzisha biashara kinamna hii huwa wanaanzisha Kwa lengo la kupata mafanikio ya kifedha kama wale waliowaskia, kuwaona au kuwasoma walivyofanikiwa.

Sababu ya pili ni kuanzisha biashara Kwa mahaba binafsi, yaani unakuta mtu hana sababu za msingi na wala hajahamasishwa na mtu yeyote juu ya biashara hiyo ila ameianzisha kwasababu anaipenda sana na anaamini kwenye hiyo biashara, na mara nyingi watu wanaoanzisha biashara kimahaba huwa lengo lao la awali sio pesa ila wanachotaka ni kuwafanya watu wengine waone hiko wanachokifanya.

Sasa utofauti wa watu hawa ni kwamba, watu wa kundi la kwanza huwa tunaita ni money chaser yaani wao wanaanzisha kitu kwasababu wameskia au wameona au wamesoma pahala kwamba kitu hiko kinafaida sana.

Ubaya wa watu wa namna hii, kwanza huwa wanakua hawana uelewa wowote na hizo biashara ambazo wamezianzisha na pili huwa wanapenda sana kuruka hatua za kimsingi za kibiashara Kwa maana wao wakifungua biashara leo wanataka kesho waanze kupata faida kitu ambacho hakiwezekani.

Hii hali ya matarajio makubwa, kukosa uelewa wa biashara yenyewe na kuruka stages za msingi za kibiashara hupelekea biashara iweze kuwa ngumu na hapa ndio waliowengi hujikuta wakiacha na kulaumu kwamba walichoskia au kusoma au kuona hakina uhalisia yaani ni uongo mtupu kwamaana wao wamefanya ila hawakupata chochote zaidi ya hasara tu.

Ila watu wa lile kundi la pili wao kwakua lengo lao la awali sio pesa basi kwenye kile kipindi cha zero profit cha kwenye biashara huwa hakiwashtui kwasababu ni kipindi ambacho walikitarajia ila kipindi kitakachowashtua ni kile cha kuanza kupata pesa ambazo wao hawakuwahi kutarajia na hapa Sasa ndio wanashtuka na kuanza kuona anhaa kumbe hii naweza ifanya kuwa biashara na nikapata pesa na ndio hapo Sasa utaona wanarudi mezani na kuanza kuandaa plan juu ya biashara hiyo.

Biashara nyingi ambazo zimefanikiwa duniani kote watu waliozianzisha walizianzisha Kwa misingi ya watu wanaotokea kundi hili la pili.

Sasa kwanini biashara ambazo huwa zinaanzishwa kimahaba zinafanikiwa sana ni kwasababu hizi ni biashara ambazo huwa zinafungamana na watu wanaozifanya moja kwa moja, rejea mfano wa yule kijana msomi mwenye ufaulu wa wastani jinsi ambavyo aliweza kufanikiwa na kuajiriwa kwenye ile kazi inayofungamana na yeye basi hii inakupa picha kwamba kuna nyakati katika maisha huwa hatima iliyopo ndani yako inajitokeza waziwazi ila ni vile tu wewe unakua hujui kwa maana hunamwanga wa mambo haya na pia kuna wengine wako na mwanga ila wanashindwa kuzifuata zile njia za hatima zao kwasababu labda zinapokuja zinaonekana kama ndogo hivi yaani hawaoni namna ya kupata pesa kupitia hiyo njia.

Ila ni kuhakikishie tu kwamba kila mtu anayomaisha ya hatima yake, maisha haya huwa yanakuja kichwani kwa kujirudia rudia na mara nyingi yanapokujia huwa unajiskia raha sana na taswira yake huwa inakuja kwa mtindo ule ule kila siku, sasa haya maisha ya hatima yako ambayo huwa yanakuja kwa kujirudia kichwani mwako jua yatatimizwa na hatima iliyopo ndani mwako.

Haijalishi unaiona hatima yako ni ndogo kiasi gani ila hiyo hiyo hatima yako ndio ambayo itakupatia pesa ya kuyaishi hayo maisha, kwamaana nilikwambia kwamba ukubwa wa hatima baina yetu unatofautiana kwahiyo hata ukubwa wa maisha tunayoyawaza unatofautiana na ndio maana kuna mtu akimiliki baadhi ya vitu anakua na furaha na tabasamu pana kwa maana vile alivyokua anaviwaza au vilivyokua vinamjia kichwani kwa kujirudia rudia amevitimiza lakini wewe hivo vitu vyake unaviona si kitu kwako kwakua hatima yako ni kubwa kuliko yake kwahiyo hata kiwango chako cha umiliki wa Mali na fedha lazima kiwe kikubwa zaidi yake.

Kwahiyo iwe unahatima kubwa au unahatima ndogo wote mkifuata njia za hatima zenu mtaishia kuwa na furaha pamoja na amani moyoni kwa maana kila mtu atakua anaishi maisha ya hatima yake au ndoto zake kama mnavyosemaga.

…. Kwa leo tuishie hapa kwanza kwa maana hata nikiandika zaidi ya hapa sitaweza kumaliza leo kwahiyo twende taratibu, huku nikiendelea kutafuta muunganiko wakutufikisha kwenye mada kuu ya dunia ni uwanja wa vita vya hatima, na lengo la uzi ni kujibu hilo swali la how dunia ikawa uwanja wa vita vya hatima. Na baada ya kujibu hilo swali basi nawe utaelewa kwanini kuna watu licha ya kwamba wameshagundua njia zielekeazo kwenye hatima zao au wanafanya biashara zinazoendana na hatima zao lakini hawapati matokeo.
 
KIPANDE CHA TATU.

Wapo watu ambao wamefanikiwa kwakufanya biashara ambao hazifungamani na wao kwakutumia njia ya uwekezaji au kufungua tu biashara halafu wakawaweka watu wengine kama wasimamizi wakuu na wao kazi yao inakua ni kufuatilia tu mwenendo wa biashara hiyo unavyoenda.

Najua unamjua mtu au umewahi kusikia mtu fulani akilalamika kwamba mwanzo alikua na kijana ambae alikua anamuuzia biashara yake na huyo kijana alikua anauza sana akikaa hapo dukani lakini akikaa yeye mauzo yanakua hakuna au ya kiwango cha chini sana na pia wapo watu ambao walikua na vijana ambao walikua wanawauzia biashara zao na vijana hawa walikuwa wanauza sana ila baada ya hao vijana kuondoka na kuwaleta wengine biashara haiendi kama mwanzo kwani mauzo yanakua ya chini sana na kadri siku zinavyokwenda ndio mambo huwa magumu zaidi na hata wakati mwingine kupelekea kufunga biashara yenyewe.

Sasa hapa kwa watu wasiojua watasema labda kijana ambae alikuwepo alikua na nguvu za giza au labda kijana aliyekuja yuko na mikosi ila kiuhalisia ni kwamba biashara hiyo haifungamani na kijana huyo kwenye upande wake wa kiroho na pia hata ambae ameifungua hiyo biashara alikua anafanikiwa kwasababu alikua anatembelea nyota ya kijana wa awali ila bila hivyo angeifunga mapema tu.

Pia zipo kampuni ambazo zimewahi kuanzishwa na kikundi cha watu fulani na wakati wameanzisha kampuni ilikua inaenda vizuri sana ila baadae mkanganyiko ulipotokea hadi kukosa hali ya kutokuelewana kwa wana timu na wengine kuamua kuachana na kampuni hiyo unakuta ghafla kampuni inaanza kutetereka.

Na hapa ndio watu wanakimbiliaga kwenye mambo ya rohoni upande wa giza yaani ulozi, huwa wanahisi kwamba kati ya watu au ule mtu ambae ameondoka inawezekana ameenda kuiroga kampuni ila kiuhalisia si kweli ila yawezekana yeye pekee kwenye hiko kikundi ndio mtu ambae hiko kilichokua kinafanyika kinafungamana nayeye moja kwa moja sasa kuondoka kwake kunaacha pengo la mitetemo ya mfumo nyota iliyokua inaiunganisha hiyo biashara katika ulimwengu wa asili yake na ulimwengu huu.

Pia Kuna kampuni ambazo zilikua zinakaribia kufa ila walipomuajiri mtu mmoja na kumpa jukumu la kuinusuru kampuni unakuta mtu huyo haajiri wafanyakazi wapya sana sana atawapunguza baadhi ili kubana matumizi na wala habadili muundo wa kiutendaji ila unashangaa uwepo wake tu mambo yanaanza kwenda ile inavyotakiwa na tenda zinaanza kuja kwa namna ambayo si ilivyozoeleka yaani hatumii nguvu kubwa ila kila kitu kinatick sasa watu wa namna hii ndio tunasema kwamba wanafungamana moja kwa moja na hiko wanachokifanya.

Hata maofisini wewe msomaji wangu unaweza kuwa shahidi kwamba huwa Kuna mtu mmoja ambae yeye kila jambo linalowashinda watu wengi hapo ofisini akipelekewa yeye tu analitatua haraka sana Kuna wengine wanakua multipurpose yaani wanakua na uwezo wakufanya kazi hadi zilizo katika idara nyingine, unakuta hata mtu akija akihitaji kufanyiwa jambo fulani mnamwambia nenda kwa fulani na kama hayupo mnamwambia msubiri fulani akija atakusaidia na kweli huyo fulani akija anamsaidia haraka sana.

Na unakuta watu wa namna hii wanapendwa sana na boss na mara nyingi ofisi huwa zinawalinda kwa maana ni hazina kwao ila ubaya wa watu wa namna hii huwa wanaonekanaga wanajifanya wajuaji wa kila kitu kwahiyo wengi huwa wanachukiwa ile ya chini chini lakini kiuhalisia hawa ndio wale watu ambao hiko kinqchofanyika hapo ofisini kinafungamana na wao moja kwa moja yaani waliumbwa waje kufanya hiko wanachofanya.

Wewe inawezekana uko hapo kwasababu hiyo ni njia kati ya zile njia ndogondogo zinazoelekea kwenye hatima yako au uko hapo kwasababu umefanyiwa tu mpango na ndugu yako ila kinachofanyika hapo ofisini uelewi hata kimoja yaani ni kwamba upo upo tu na kila siku kwako wewe mambo ni mageni kabisa, na kila kazi unayopewa lazima utafute mtu wa kukubackup.

Kwakua mambo ni magumu kwako ile hatari hatari, sasa hii yote ni kwasababu wewe hufungamani na hayo mambo na nilikwambia mambo yote ambayo unatumia nguvu kubwa au unalazimisha sana ili yaweze kufanikiwa sababu moja yapo kubwa ni kwamba hayo mambo hayafungamani na wewe ila jambo linalofungamana na wewe ukiligusa tu linageuka dhahabu hapo hapo, ingawa pia ipo sababu ya pili ambayo ni kutumika katika kuitimiza hatima ya mtu mwingine.

Yes, kuna watu wanatumika kuitimiza hatima za watu wengine na ndio maana halisi ya dunia ni uwanja wa vita za hatima.

Vita za hatima hazipiganwi katika ulimwengu huu wa damu na nyama bali vita hizi hupiganwa katika ulimwengu wa kiroho.

Sasa kuna watu ambao katika ile try and error ya kujaribu biashara hii na hii huwa wanajikutaga wamekutana na biashara ambayo inawapa pesa ambayo hawajawahi kuipata kwenye biashara zote walizowahi kuzifanya tena kwa wepesi sana, na biashara hii ndio biashara ambayo inamuunganiko na watu hawa kiroho ila wao hawajui.

Kwahiyo unakuta kijana huyu kama yuko pale kariakoo ni anauza hadi watu wengine wanasubiri kwanza hadi yeye amalize mzigo huko store.

Kijana anashangaa na hajui haya mambo yametokea wap, na nimekwambia haya mambo ya hatima ni vita na mara nyingi vita hizi huwa zinapiganwa kiroho kwahiyo watu wa kwanza kujua kwamba kijana huyu tayari amejipata yaani anaielekea njia inayokwenda kwenye hatima yake huwa ni watu wenye utaalam na mambo haya ya kiroho.

Sasa hapa unatakiwa ubahatike kukutana na watu ambao wa najua haya mambo ya kiroho ila upande wa nuru utakua salama ila ukikutana na watu ambao wanajua haya mambo ya kiroho ila wapo upande ule wa giza basi hapa vita ndio huwa zinaanza kupiganwa.

Lakini kabla sijakwambia namna ya vita hizi zinavyopiganwa na kuelezea namna watu ambavyo hutumika kuwasaidia watu wengine waweze kufika kwenye hatima zao kwanza nataka tuongee mambo ya kiroho kidogo ili nitakapokuelezea iwe rahisi kunielewa…

Nilikwambia hapo awali kwamba mtu ameumbwa na pande kuu mbili yaani upande wa kiroho na upande ule wa damu na nyama sasa upande wa kiroho huwa nao umegawanyika mara mbili kwa maana kuna upande wa kiroho wa gizani na ule upande wa kiroho wa nuruni.

Sasa roho ya binadamu ni mitetemo na kwenye hii mitetemo huwa inakuja kwa namna tofauti tofauti baina ya binadamu na binadamu na mitetemo hii ndio ambayo tunaita nguvu za asili zilizomo ndani ya mtu.

Hizi nguvu zimegawanyika katika makundi makuu mawili yaani hasi na chanya lakini zinapokuwa ndani ya mtu huwa zinatengeneza makundi ya aina tatu ya watu kwasababu hizi nguvu huwa zote zinakua ndani ya kila mtu yaani huwa haziingii moja moja lakini sifa za watu hao huwa zinatofautiana kulingana na aina ya nguvu iliyojuu kuliko nguvu nyingine.

Kwa maana hiyo basi, kuna watu ambao wanazaliwa wakiwa na nguvu chanya kwa wingi na kiasi kidogo sana cha nguvu hasi, ila pia kuna watu wanazaliwa wakiwa na nguvu hasi kwa wingi na kiasi kidogo cha nguvu chanya lakini pia kuna watu ambao wanazaliwa wakiwa na nguvu hasi zilizo kwenye uzania sawa na nguvu chanya yaani hasi na chanya zinakua ziko hamsini kwa hamsini.

Hawa watu wote wako na sifa zao tofauti tofauti ambazo tutakwenda kuziona hivi punde ila kundi la watu walio na nguvu hasi zilizo kwenye usawa na nguvu chanya ndio huwa tunasema wamefungamana moja kwa moja na dunia kwa maana dunia iko na nguvu mbili ya hasi na chanya kwa maana wewe mwenye nguvu za namna hii unaweza kujiungamanisha na dunia kwenye upande wowote ambao wewe unautaka na ukawa poa tu, kwasababu wewe ni dunia ndani ya dunia.

Sasa tuangalie sifa kwanza za kila mmoja hapo na kadri tunavyoendelea basi utanielewa ni nini namaanisha.

SIFA ZA WATU WENYE NGUVU HASI.​

Sasa unawezaje kuwajua watu waliobeba nguvu hasi kwenye roho zao, watu hawa mara nyingi huwa wanasifa ya kuharibu mambo tena sio kwa bahati mbaya ila ni kwa makusudi kabisa, unapowashirikisha watu hawa kwenye jambo lolote la maendeleo yako binafsi huwa hawafurahii na watafanya juu chini kukuharibia ili ukose au ushindwe kukifanya hiko ulichotaka kukifanya. Ni watu wachonganishi na huwa wanafurahi sana wanapoona wengine wanafarakana ni watu ambao hawapendi amani na wamejawa na chuki pamoja na roho mbaya, ni watu ambao kuchukua uhai wa wengine kwao sio jambo zito na kundi hili ndio huwa lina watu wengi ambao wanasifa za kuwa wachawi na wanaongoza kuwatia watu unajisi.

Watu hawa njia zao za mafanikio wamezifikia kwa kufanya biashara haramu ambazo ni hatari kwa binadamu au wamepata mafanikio yao kupitia nguvu za giza iwe kwa kutoa kafara zakifamilia au za kitaifa ni watu ambao hufanikiwa sana kwenye mambo yao hasa baada ya kwenda kwa waganga wenye elimu na mambo ya giza, na ni watu ambao hawahofii wala kujutia kile wanachokifanya na hawaoni kama kutoa kafara kwaajiri ya pesa ni jambo lisilofaa kwasababu mara nyingi huwa hawaamini katika uwepo wa nguvu kuu za ulimwengu huu yaani nguvu za Mungu kwahiyo hawaamini uwepo wa Mungu ila wengi huwa wanaamini uwepo wa miungu.

Na watu wakatili ambao vitendo vyote hasi ambavyo havifai katika jamii wao wanaongoza kuvifanya huwa wanatoka kwenye kundi hili mara nyingi, kwamfano vitendo vya ubakaji, ulawiti, kumwaga damu na vingine vingi ambavyo vipo kinyume na kanuni na taratibu za dunia wao ndio hujiskia raha sana wakati wanapovifanya. Na walio wengi huwa wanafanikiwa kibiashara licha ya kwamba kwa njia zisizofaa, na ndio hawa ambao huwaaminisha vijana wengi kwamba hakuna mafanikio bila kutumia nguvu za giza au kufanya biashara haramu ambazo huwa ziko kinyume na sheria za kidunia, na vijana wasio jielewa nao hujikuta wanaingia katika mfumo ila wao wanapojaribu hujikuta wakiangukia sehemu mbaya, yaani hawafanikiwi kama vile yule aliyewashawishi alivyofanikiwa na sana sana hujikuta wakiishia mikononi mwa vyombo vya dola na hii ni kwasababu nguvu zilizopo ndani yao hazifanani na kiasili hazijaumbwa kupitia njia hiyo wanayotaka kuipita.

Kumbuka, tabia zote hizo mbaya ambazo huwa zinakua ndani ya watu wengi wenye nguvu hizi hasi huwa ni za asili, lakini asili hii ni rahisi sana kuvunjwa kama mtu mwenye tabia za namna hiyo akiamua kwa dhati kutoka moyoni mwake kwamba anataka kutoka kwenye huo upande, kwasababu nimekwambia hapo juu kwamba watu hawa wanapozaliwa huwa nguvu hasi zinakua kwa wingi kuliko nguvu chanya, sasa anachotakiwa kufanya ni kuhakikisha anapingana na yale yaliyo katika asili yake yaani aende kinyume nayo, na kwa kufanya hivi siku kadri zinavyokwenda atajikuta zile nguvu hasi ambazo zilikua kwa wingi ndani yake zinaanza kupungua na zile nguvu chanya zinaanza kunyanyuka kwa kasi hadi kufikia kwenye kiwango ambacho kinatakiwa na akishafika kwenye hiko kiwango basi moja kwa moja anakua ametoka gizani na kuingia nuruni na kimsingi hakuna mtu ambae anapenda awe kwenye giza na ndio maana kila giza linapoingia huwa wote tunawasha taa kwenye nyumba zetu.

Najua unamjua mtu mmoja iwe kwa kusikia au kwa kuambiwa, ya kwamba alikua ni mtu ambae ameshindikana katika jamii kutokana na tabia zake za kiovu ambazo amekua akizifanya, lakini ghafla mtu huyo huyo anaamua kubadilika na kuanza kuwa mtu mwema kiasi ambacho kinafanya watu wengi waliopata kumjua kwa tabia zake za zamani wanabaki kumshangaa tu, sasa watu wa namna hii wanatokea kwenye kundi hili ila walichoamua kufanya ni kushindana na asili yao ya giza, na kuamsha zile nguvu asili za nuru ambazo zilikua ndani yao kwa kiwango kidogo, na baada ya nguvu hizi kunyanyuka basi watu hawa hujikuta wakiyatenda yale yote ya nuruni.

SIFA ZA WATU WENYE NGUVU CHANYA.​


Watu ambao wamebeba nguvu chanya sifa zao ni za upole, unyenyekevu, watu wanaofuata sheria na ambao huwa ni wenye uoga sana pale wanapojigundua wamevunja sheria za kidunia, watu ambao hawawezi kufanikiwa kupitia makafara yaani hata akienda kwa mtaalam wa mambo ya giza ili ampe dawa ya mafanikio huwa hawezi kufanikiwa, na watu walio kwenye kundi hili kwa wale ambao wamejitahidi kuhudhuria kwa wataalam wa nguvu za giza kadhaa, huwa hawaamini kabisa kwenye masuala ya kiganga na ndio wanaoongoza kuwaona waganga ni matapeli kwa sababu mara zote walizohudhuria kwa wataalam hao hawaku bahatika kufanikiwa, ni watu wanao mcha Mungu sana na huwa wako na imani kubwa juu ya uwepo wa Mungu hata ukimkuta yule anbae sio muudhuriaji mzuri wa kwenye hizi nyumba za ibada ila imani yake juu ya uwepo wa Mungu huwa iko juu sana.

Lakini naomba niliseme hili kwa uwazi bila kuficha kwamba licha ya sifa zote nzuri walizonazo watu wanaotokea kwenye kundi hili ila ni watu ambao wanaongoza kuishi maisha ya umasikini, kwasababu waliowengi wameshindwa kufungua siri zilizopo kwenye ulimwengu wao wa kiroho, ili waweze kuelewa njia za kupita kuelekea kwenye hatima zao, ni waumini wakubwa sana wa amani na ni watu ambao hupenda sana kuwaona watu wengine wakifanikiwa na huwa wanatoa sana misaada ya kuwanyanyua wengine wakati ambapo wanahitajika kufanya hivyo, na wala hawajiskii vibaya wanapomsaidia mtu hadi kufikia mafanikio makubwa hadi kuwashinda wao. Hawa ndio wale ambao wanafuata mambo yote yaliyokatika sheria za kidunia.

Tabia zote hizo nilizoeleza ni zile ambazo zipo kwenye asili yao ingawa zinaweza kubadilika na kuwa kinyume chake hasa kama muhusika akiamua kuruhusu ile nguvu hasi iliyomo ndani yake inyanyuke kwa kiasi kikubwa hadi kuizidi ile nguvu chanya ambayo amezaliwa nayo.

Najua unamjua mtu mmoja ambae awali alikua ni mtu wa ibada sana, mtu ambae ni swala tano, mnyenyekevu na mwenye maadili yanayopendeza kwa jamii, lakini baada ya muda mnashangaa mtu huyu hafanyi tena ibada, ule unyenyekevu unapotea na tabia zake njema zote zinaanza kuwa mbaya na watu wa namna hii huwa wanabadilika kwa haraka wanapojichanganya na watu wenye nguvu hasi kwa wingi, na hii hupelekea wao waweze kujifunza, na ile hali ya kujifunza inapelekea utayari wa kujaribu kufanya, na ule utayari na dhamira ndio hupelekea nguvu hasi iliyomo ndani yao ambayo mwanzo ilikua kwa kiasi kidogo sana iweze kunyanyuka kwa kasi na kuizidi ile nguvu chanya, ndio hapa sasa unakuta mtu anakua na tabia za hovyo hadi wale walio mfundisha wanakua wanamshangaa amepatwa na nini kwasababu hata wao wanakua hawajatarajia kama mtu huyo angeweza kuwa namna ile (hii huwakuta sana watoto hasa wanapokua mashuleni au hata nyumbani wanapojichanganya na watoto wengine ambao nguvu zao hasi ni kubwa kuliko chanya).

SIFA ZA WATU WENYE NGUVU CHANYA ZENYE UKUBWA SAWA NA NGUVU HASI.​


Pia kwa wale ambao wamebeba nguvu hasi na chanya nusu kwa nusu huwa wanakuaga na tabia ambazo hutegemea sana na upande upi utaanza kunyanyuliwa, watu wa namna hii endapo wataanza kuunyanyua upande wao hasi basi wanakua na sifa zote za mtu mwenye hatima iliyo katika upande hasi ila utofauti wao ni kwamba huyu yeye anakua na sifa ya ziada ambayo ni sifa ya huruma, kuna wakati huyu mtu anaweza akawa ni mtu katili sana ambae anaogopwa na kila mtu hapo kijijini au mtaani, ila mtu huyu huyu kuna wakati ukipata nafasi ya kuongea nae basi utajikuta unashangaa tu, kwa jinsi anavyoonesha kuwa na ukarimu wa hali ya juu pamoja na utu ulioambatana na unyenyekevu hali ambayo itakushangaza hadi kufikia kusema kumbe kuna wakati hata shetani huwa anakuaga malaika au kuanza kuhisi labda pengine watu huwa hawamuelewi tu huyo mtu na wanamuogopa kwasababu tu hawajapata nafasi ya kukaa kuongea nae ila ukiwauliza watu wake wa karibu wataishia kukuambia, wewe haumjui huyo mtu, kwahiyo ni heri ukaishia hapo hapo, kwa maana sisi tunaemjua tunaelewa ukatili uliopo ndani yake.

Pia endapo wataanza kuunyanyua ule upande wenye nguvu chanya kwenye hatima zao, basi hawa watu huwa wanakua na sifa zote za mtu aliye na hatima ya kimungu ndani yake kwa maana kwamba, huwa wanakua na unyenyekevu wote na wanajitahidi sana kufuata sheria lakini ni watu ambao huwa wanakuaga na hasira za haraka sana na wanapopandwa na hasira hadi kufikia hatua ya kushindwa kabisa kujizuia, basi hujikuta wakifanya matendo ya ajabu ambayo jamii inayowazunguka kwa kiasi kikubwa haijawahi kutarajia kama kuna siku mtu huyo anaweza akafanya ukatili wa ajabu namna hiyo, hasa ukizingatia unyenyekevu na upole ambao amekua akiwaonesha watu kwa kipindi kirefu, na watu wa namna hii ndio wale ambao huwa wanaitwa wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni chui au simba.

Katika makundi yote matatu kundi ambalo watu wake wako na hasira sana tena zile hasira mbaya na za haraka ni hili kundi na ndio kundi ambalo wakiamua kutafuta utajiri kwa njia ya ushirikina yaani uchawi au nguvu za giza wanafanikiwa, na hata wakiamua kutafuta utajiri kwa njia za kimungu wanafanikiwa sana pia.

Hawa watu huwa mara nyingi hata kwenye mambo ya imani huwa hawaeleweki kwa maana kuna wakati akikaa na mtu akampa shule juu ya uwepo wa Mungu anaamini asilimia mia moja juu ya uwepo wa Mungu, lakini pia akikaa na mtu akampa sababu za kumuaminisha kuwa hakuna Mungu pia huwa anaamini asilimia mia moja kwamba hakuna Mungu, kwa maana nyingine huwa ni watu ambao rahisi sana kuwayumbisha kiimani lakini imani ambayo huwa inakua na nguvu kidogo huwa ni ile ambayo hutegemea upande upi wa nguvu ya kiroho alioanza kuunyanyua, kwa maana ya kwamba kama ataanza kuunyanyua upande hasi basi imani itakayokua na nguvu kwake ni kutokuamini uwepo wa Mungu kuliko kuamini, na endapo ataanza kuunyanyua upande chanya basi imani yake yenye nguvu itakua ni kuamini uwepo wa Mungu huku akiwa hana uhakika asilimia mia moja juu ya hiyo imani yake.

Na kuhusu maswala ya hasira unatakiwa ufahamu tu kwamba, makundi yote haya huwa watu wake wanakua na hasira ila kundi lenye watu wenye hasira za kiwango cha chini sana ni hilo kundi la watu wenye nguvu kubwa chanya na nguvu kidogo sana iliyo katika upande hasi, hawa ndio watu ambao muda wote huwa wanafurahi na hata ukiwakera huwa hawajali wala nini na ni mara chache sana unaweza kufanikiwa kuona hasira za watu hawa ila mara nyingi ukiishi na watu wa namna hii utahisi hawana hasira kabisa.

… kwa sasa wacha niishie hapa ila kwenye post ijayo nitaelezea kidogo juu ya hizi nguvu halafu nitakuhamisha kukurudisha sasa kwenye hizi vita za kiroho zinavyokua na nitaunganisha vizuri ili uweze kuelewa na ndio maana nimekuleta huku kidogo.
 
Natumai mko salama.

Kama kichwa cha habari kinavyosema kwamba dunia ni uwanja wa vita za hatima kwahiyo kila mtu ambae yuko hapa duniani anapaswa kujua kwamba yuko vitani na swala la kushinda au kushindwa ni juu ya mtu mwenyewe.

Sasa iko hivi…

Kimsingi ni kwamba kila mwanadamu ambae yuko kwenye hii dunia hayupo hapa kwa bahati mbaya na inawezekana wazazi waliomzaa mtu huyo wanaamini wamemleta huyo mtu hapa duniani kibahati mbaya ila kiroho hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya.

Maadam umezaliwa na uko hapa duniani basi kaa ukijua kuna mission unatakiwa uitimize na hii mission ndio ambayo tunaita hatima na pindi utakapoitimiza mission hiyo basi hapo ndio utakapopata uhuisho wa roho yako na kuifanya iwe hai milele na roho ambayo iko hai ndio roho ambayo husikia inaposemeshwa na ndio maana katika asili za kiafrika hasa hapa nyumbani Tanzania unakutana na kitu kinaitwa mizimu.

Sasa mizimu ni nini? Mizimu ni roho ambazo ziliishi kwenye milli ya watu fulani kwa uadilifu kwa maana ziliweza kujua zipo hapa duniani kwa lengo gani yaani hatima yao na wakapigana vita ya kuiendea hiyo hatima na wakafanikiwa kwa kiasi kikubwa na pindi deadline yao ya kuishi hapa duniani ilipofika zile roho zao ziliweza kuuhishwa na kupata uzima wa milele.

Kwahiyo Sasa katika ile mitetemo ya mfumo nyota ya koo na koo ukiweza kujiungamanisha kiroho na roho za babu ambao unawajua walikua manguli katika upande wa kutibu au kwenye jambo lolote lile ambalo lilikua hatima ya babu huyo ila ilimradi tu uwe na uhakika kwamba alifanya kweli makubwa na sifa zake hadi leo bado zipo hapo kijijini basi ukijiungamanisha tu na roho za watu wa namna hii huwa zinasikia na zinatoa majibu papo kwa hapo.

Nimesema uwe na uhakika kwasababu usije ukaenda kujiungamanisha na mtu ambae huna uhakika nae na ukaenda kuvaa roho za ajabu zikakutesa kwenye maisha yako na hapa ndipo ambapo watu wengi wanachukia haya mambo ya mizimu kwasababu huwa ni ngumu kujua babu yako mzaa babu yako alichokifanya kama kilisaidia kuongeza positive energy hapa duniani au laa (hapa nitapazungumzia vizuri huko mbele na utajua kwanini watu wanakimbilia kwa Yesu au Muhammad huku wakiacha mizimu ya babu zao kule kijijini).

Kwasasa turudi hapa kidogo...

Kikawaida binadamu huwa yuko na pande kuu mbili yaani ya damu na nyama na ya kiroho.

Upande wa kiroho ndio Upande ambao umembeba mtu halisi na ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu wa asili yake na upande huu huu unapokuwa hapa duniani huwa unatumika kama redio call na kwanini kama radio call basi nitakwenda kukuelezea hapo mbele kidogo. Na upande wa damu na nyama ndio upande ambao unamuunganisha mtu na ulimwengu huu wa vita za hatima.

Wakati mtu anapozaliwa huwa anakua anaishi zaidi kwenye ulimwengu wa kiroho kuliko ulimwengu huu wa damu na nyama ila kadri anavyokua na kujifunza mambo mapya ile mitetemo yake ya ulimwengu wa asili yake inapungua na ya ulimwengu huu inaongezeka hadi kufikia kwenye ukubwa toshelezi na hapa ndio mtu anaanza kuishi maisha ya ulimwengu huu wa damu na nyama na kusahau namna ya kuishi ulimwengu wa kiroho.

Na kutokana na kwamba binadamu anaishi zaidi katika ulimwengu wa damu na nyama kuliko ulimwengu wa kiroho hii imefanya wengi wetu tushindwe kuelewa lengo na dhumuni la sisi kuwa hapa duniani na badala yake tunaishi kulingana na mfumo wa kidunia na kushindwa kuelewa hatima zetu ni nini.

Na kitu cha kikuu na chaumuhimu zaidi kuhusu hatima ni kwamba kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na vitu vyote ambavyo unapaswa kuvimiliki hapa duniani vipo kwenye hatima yako.

Kwahiyo watu wote ambao wanaziendea njia za hatima yao iwe kwa kujua au kwakutokujua huwa hawahangaiki kwenye swala la fedha kama ambavyo watu wanaoishi kwenye maisha yaliyo nje ya hatima zao hufanya.

Na ninaposema hatima kuna watu wanadhani nazungumzia kitu fulani ambacho ni maalumu sana yaani kitu ambacho hakiwezekani kugundulika kirahisi raising hivi, ila naomba nikutoe wasiwasi na nikwambie tu kwamba hakuna umaalumu wowote kwenye hatima kwasababu hatima ni mambo yote ambayo yanaweza kufanyika hapa duniani ili kuongeza nguvu chanya na kuifanya dunia iwe sehemu salama.

Kwa maana hiyo kuna watu hatima zao ni kuburudisha na kuna watu hatima zao ni kuvumbua mambo kadha wa kadha na kuna watu hatima zao ni kutibu watu wengine na kuna watu hatima zao ni kufundisha mambo mbalimbali na kadhalika.

Na ili uweze kufikia hatima yako lazima upite kwenye njia fulani na hiyo njia ndio huwa tunaiita kipawa au kipaji.

Ndio, ni kipaji kwahiyo wala usishtuke kwasababu hata wewe unachokipaji ambacho ukikitumia kitakupeleka moja kwa moja kwenye hatima yako na mara tu utakapofika kwenye hatima yako basi watu wote watajua kwamba yupo au alikuwepo mtu fulani ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya burudani hasa upande huu wa mpira na mtu huyo aliitwa Leonel Messi au Christiano Ronaldo.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye mambo haya ya uvumvuzi wa mambo ya kisayansi ambae aliitwa Isaac Newton.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye haya mambo ya muziki wa rege ambae aliitwa Bob Marley.

Au alikuwepo mtu ambae alifanya makubwa sana kwenye upande wa mashoati na movie za kupigana za karate aliitwa Blue Lee.

Kwahiyo hii inakwenda zaidi na zaidi na kuwafikia vizazi na vizazi huku wakiishi na kuutukuza ufalme wako kwenye upande huo wa hatima yako bila kujali mwaka ambao deadline yako ilifika na wewe kurudi kwenye ulimwengu wa asili yako huku roho yako ikiuhishwa na kupata uzima wa milele.

Na lazima ujue pia kwamba ukubwa wa hatima baina ya mtu na mtu huwa umetofautiana yaani kuna watu wamebeba hatima za kidunia ila wapo waliobeba hatima za kibara na wapo waliobeba za kiukanda lakini pia wapo waliobeba za kinchi na wapo waliobeba hatima za kimkoa, kijiji, kiukoo na kifamilia.

Ili ujue hatima yako ni ya ukubwa gani basi mambo utakayoyafanya kiwepesi sana yaani bila kutumia nguvu utaona yanaenda yanafika kwenye ngazi fulani ila utakapotaka uvuke hiyo ngazi uende ngazi nyingine utaona unatumika nguvu kubwa sana lakini matokeo yake hayawi kama pale awali ambapo ulikua hautumii nguvu nyingi ila mambo yalikua yanaenda parefu, hapo unatakiwa ujue kwamba wewe ukubwa wa hatima yako mwisho wake ni hapo.

Na hapa najua umeanza kunielewa pia ninaposema kwenye hatima yako ndiko kuliko na bahati yako na pindi utakapoigundua hatima yako na kuifuata ile njia inayoelekea huko basi moja kwa moja utaanza kuona wepesi wa mambo katika upande wa umiliki wa fedha na Mali.

Kwahiyo kumbe mateso ambayo watu wengi wanayapata kwenye upande wa kifedha huwa sababu moja wapo ni kuishi maisha yaliyo nje ya hatima zao na hii hufanya watumie nguvu sana kwenye swala la utafutaji huku wakiambulia kidogo kisicholingana na nguvu walizotumia.

Na unakutana na mtu anasali sana lakini bado mambo hayakai kwenye line, na hii sio kwasababu maombi yako hayafiki kule lahasha maombi yako yanafika ila nimekwambia kila roho iko na codes na hizi codes ndio hatima yako iko humo ndani na Kimsingi ulimwengu wa juu haukutambui wewe kwa sura na umbo lako la damu na nyama ila unakutambua wewe kwa codes zilizopo rohoni mwako, kwahiyo unavyoomba ile mitetemo inaenda moja kwa moja hadi kwenye ule mfumo nyota wa asili yako na majibu yanaporudi yanarudi kwakufuata ile code ambayo ipo ndani ya roho zako kwa maana hiyo kama maombi ni kubarikiwa kwenye utafutaji wako baraka itaongezwa kwenye ile hatima iliyopo ndani yako.

Kwahiyo ikiwa wewe hatima yako ni udaktari halafu ukashindwa kuifuata hatima hiyo na ukaamua uende upande mwingine labda wa ujenzi na mambo yakakuwia magumu huko hadi kufikia hatua ya kupiga goti chini ili ujiungamanishe mitetemo ya mfumo nyota ya asili yako basi kuwa na hakika kwamba maombi yako yatafika na majibu yatarudi ila wewe utakua unapishana mwenyewe, yenyewe yanaenda kwenye afya wewe upo kwenye ujenzi.

Sasa hili ndio lengo la uumbaji, ni kwamba roho ilitengenezwa kwa codes na kila kitu kikawa kimewekwa ndani yake kisha unaletwa hapa duniani na unapumbazwa na mambo ya dunia hadi unasahau roho yako imebeba kitu gani maalumu na chaupekee ambacho unatakiwa kukifanya ili uweze kuongeza nguvu za mitetemo chanya itakayosaidia kuifanya dunia kuwa sehemu salama.

Na ukumbuke kwamba kwenye kila hatima iliyopo ndani ya mtu huwa imewekwa na deadline yake na hiyo deadline ikifika basi muhusika anarudi kwenye ulimwengu wa asili yake yaani anakufa kama mnavyosemaga.

Sasa mpumbazo huu wa dunia ukikukumba kwa kiasi kikubwa na ikapelekea ukaenda hadi siku ya deadline yako, basi hapo ndio utakua upande wa zile mbegu ambazo si bora na mbegu ambayo si bora huwa mkulima anakua na option mbili either aitupe au aipe nafasi ya pili.

Ikitupwa haitoonekana tena shambani milele na milele ila ikipewa nafasi ya pili basi mkulima atajaribu kuipanda tena ili aone kama italeta matunda au laa na ndio hapa Sasa unakutana na roho ambazo zipo kwenye miili ya watu ila roho hizo zilishawahi kuwa hapa duniani hapo kabla (watu wenye roho za namna hii wapo wengi tu).

…. Ngoja leo niishie hapa kwanza ila nimeanzia huku mbali kidogo ili nitakapounganisha ili niweze kukuelezea ni kwanamna gani dunia ni uwanja wa vita za hatima uweze kunielewa vizuri.
🙏🙏🙏
 
KIPANDE CHA TATU.

Wapo watu ambao wamefanikiwa kwakufanya biashara ambao hazifungamani na wao kwakutumia njia ya uwekezaji au kufungua tu biashara halafu wakawaweka watu wengine kama wasimamizi wakuu na wao kazi yao inakua ni kufuatilia tu mwenendo wa biashara hiyo unavyoenda.

Najua unamjua mtu au umewahi kusikia mtu fulani akilalamika kwamba mwanzo alikua na kijana ambae alikua anamuuzia biashara yake na huyo kijana alikua anauza sana akikaa hapo dukani lakini akikaa yeye mauzo yanakua hakuna au ya kiwango cha chini sana na pia wapo watu ambao walikua na vijana ambao walikua wanawauzia biashara zao na vijana hawa walikuwa wanauza sana ila baada ya hao vijana kuondoka na kuwaleta wengine biashara haiendi kama mwanzo kwani mauzo yanakua ya chini sana na kadri siku zinavyokwenda ndio mambo huwa magumu zaidi na hata wakati mwingine kupelekea kufunga biashara yenyewe.

Sasa hapa kwa watu wasiojua watasema labda kijana ambae alikuwepo alikua na nguvu za giza au labda kijana aliyekuja yuko na mikosi ila kiuhalisia ni kwamba biashara hiyo haifungamani na kijana huyo kwenye upande wake wa kiroho na pia hata ambae ameifungua hiyo biashara alikua anafanikiwa kwasababu alikua anatembelea nyota ya kijana wa awali ila bila hivyo angeifunga mapema tu.

Pia zipo kampuni ambazo zimewahi kuanzishwa na kikundi cha watu fulani na wakati wameanzisha kampuni ilikua inaenda vizuri sana ila baadae mkanganyiko ulipotokea hadi kukosa hali ya kutokuelewana kwa wana timu na wengine kuamua kuachana na kampuni hiyo unakuta ghafla kampuni inaanza kutetereka.

Na hapa ndio watu wanakimbiliaga kwenye mambo ya rohoni upande wa giza yaani ulozi, huwa wanahisi kwamba kati ya watu au ule mtu ambae ameondoka inawezekana ameenda kuiroga kampuni ila kiuhalisia si kweli ila yawezekana yeye pekee kwenye hiko kikundi ndio mtu ambae hiko kilichokua kinafanyika kinafungamana nayeye moja kwa moja sasa kuondoka kwake kunaacha pengo la mitetemo ya mfumo nyota iliyokua inaiunganisha hiyo biashara katika ulimwengu wa asili yake na ulimwengu huu.

Pia Kuna kampuni ambazo zilikua zinakaribia kufa ila walipomuajiri mtu mmoja na kumpa jukumu la kuinusuru kampuni unakuta mtu huyo haajiri wafanyakazi wapya sana sana atawapunguza baadhi ili kubana matumizi na wala habadili muundo wa kiutendaji ila unashangaa uwepo wake tu mambo yanaanza kwenda ile inavyotakiwa na tenda zinaanza kuja kwa namna ambayo si ilivyozoeleka yaani hatumii nguvu kubwa ila kila kitu kinatick sasa watu wa namna hii ndio tunasema kwamba wanafungamana moja kwa moja na hiko wanachokifanya.

Hata maofisini wewe msomaji wangu unaweza kuwa shahidi kwamba huwa Kuna mtu mmoja ambae yeye kila jambo linalowashinda watu wengi hapo ofisini akipelekewa yeye tu analitatua haraka sana Kuna wengine wanakua multipurpose yaani wanakua na uwezo wakufanya kazi hadi zilizo katika idara nyingine, unakuta hata mtu akija akihitaji kufanyiwa jambo fulani mnamwambia nenda kwa fulani na kama hayupo mnamwambia msubiri fulani akija atakusaidia na kweli huyo fulani akija anamsaidia haraka sana.

Na unakuta watu wa namna hii wanapendwa sana na boss na mara nyingi ofisi huwa zinawalinda kwa maana ni hazina kwao ila ubaya wa watu wa namna hii huwa wanaonekanaga wanajifanya wajuaji wa kila kitu kwahiyo wengi huwa wanachukiwa ile ya chini chini lakini kiuhalisia hawa ndio wale watu ambao hiko kinqchofanyika hapo ofisini kinafungamana na wao moja kwa moja yaani waliumbwa waje kufanya hiko wanachofanya.

Wewe inawezekana uko hapo kwasababu hiyo ni njia kati ya zile njia ndogondogo zinazoelekea kwenye hatima yako au uko hapo kwasababu umefanyiwa tu mpango na ndugu yako ila kinachofanyika hapo ofisini uelewi hata kimoja yaani ni kwamba upo upo tu na kila siku kwako wewe mambo ni mageni kabisa, na kila kazi unayopewa lazima utafute mtu wa kukubackup.

Kwakua mambo ni magumu kwako ile hatari hatari, sasa hii yote ni kwasababu wewe hufungamani na hayo mambo na nilikwambia mambo yote ambayo unatumia nguvu kubwa au unalazimisha sana ili yaweze kufanikiwa sababu moja yapo kubwa ni kwamba hayo mambo hayafungamani na wewe ila jambo linalofungamana na wewe ukiligusa tu linageuka dhahabu hapo hapo, ingawa pia ipo sababu ya pili ambayo ni kutumika katika kuitimiza hatima ya mtu mwingine.

Yes, kuna watu wanatumika kuitimiza hatima za watu wengine na ndio maana halisi ya dunia ni uwanja wa vita za hatima.

Vita za hatima hazipiganwi katika ulimwengu huu wa damu na nyama bali vita hizi hupiganwa katika ulimwengu wa kiroho.

Sasa kuna watu ambao katika ile try and error ya kujaribu biashara hii na hii huwa wanajikutaga wamekutana na biashara ambayo inawapa pesa ambayo hawajawahi kuipata kwenye biashara zote walizowahi kuzifanya tena kwa wepesi sana, na biashara hii ndio biashara ambayo inamuunganiko na watu hawa kiroho ila wao hawajui.

Kwahiyo unakuta kijana huyu kama yuko pale kariakoo ni anauza hadi watu wengine wanasubiri kwanza hadi yeye amalize mzigo huko store.

Kijana anashangaa na hajui haya mambo yametokea wap, na nimekwambia haya mambo ya hatima ni vita na mara nyingi vita hizi huwa zinapiganwa kiroho kwahiyo watu wa kwanza kujua kwamba kijana huyu tayari amejipata yaani anaielekea njia inayokwenda kwenye hatima yake huwa ni watu wenye utaalam na mambo haya ya kiroho.

Sasa hapa unatakiwa ubahatike kukutana na watu ambao wa najua haya mambo ya kiroho ila upande wa nuru utakua salama ila ukikutana na watu ambao wanajua haya mambo ya kiroho ila wapo upande ule wa giza basi hapa vita ndio huwa zinaanza kupiganwa.

Lakini kabla sijakwambia namna ya vita hizi zinavyopiganwa na kuelezea namna watu ambavyo hutumika kuwasaidia watu wengine waweze kufika kwenye hatima zao kwanza nataka tuongee mambo ya kiroho kidogo ili nitakapokuelezea iwe rahisi kunielewa…

Nilikwambia hapo awali kwamba mtu ameumbwa na pande kuu mbili yaani upande wa kiroho na upande ule wa damu na nyama sasa upande wa kiroho huwa nao umegawanyika mara mbili kwa maana kuna upande wa kiroho wa gizani na ule upande wa kiroho wa nuruni.

Sasa roho ya binadamu ni mitetemo na kwenye hii mitetemo huwa inakuja kwa namna tofauti tofauti baina ya binadamu na binadamu na mitetemo hii ndio ambayo tunaita nguvu za asili zilizomo ndani ya mtu.

Hizi nguvu zimegawanyika katika makundi makuu mawili yaani hasi na chanya lakini zinapokuwa ndani ya mtu huwa zinatengeneza makundi ya aina tatu ya watu kwasababu hizi nguvu huwa zote zinakua ndani ya kila mtu yaani huwa haziingii moja moja lakini sifa za watu hao huwa zinatofautiana kulingana na aina ya nguvu iliyojuu kuliko nguvu nyingine.

Kwa maana hiyo basi, kuna watu ambao wanazaliwa wakiwa na nguvu chanya kwa wingi na kiasi kidogo sana cha nguvu hasi, ila pia kuna watu wanazaliwa wakiwa na nguvu hasi kwa wingi na kiasi kidogo cha nguvu chanya lakini pia kuna watu ambao wanazaliwa wakiwa na nguvu hasi zilizo kwenye uzania sawa na nguvu chanya yaani hasi na chanya zinakua ziko hamsini kwa hamsini.

Hawa watu wote wako na sifa zao tofauti tofauti ambazo tutakwenda kuziona hivi punde ila kundi la watu walio na nguvu hasi zilizo kwenye usawa na nguvu chanya ndio huwa tunasema wamefungamana moja kwa moja na dunia kwa maana dunia iko na nguvu mbili ya hasi na chanya kwa maana wewe mwenye nguvu za namna hii unaweza kujiungamanisha na dunia kwenye upande wowote ambao wewe unautaka na ukawa poa tu, kwasababu wewe ni dunia ndani ya dunia.

Sasa tuangalie sifa kwanza za kila mmoja hapo na kadri tunavyoendelea basi utanielewa ni nini namaanisha.

SIFA ZA WATU WENYE NGUVU HASI.​

Sasa unawezaje kuwajua watu waliobeba nguvu hasi kwenye roho zao, watu hawa mara nyingi huwa wanasifa ya kuharibu mambo tena sio kwa bahati mbaya ila ni kwa makusudi kabisa, unapowashirikisha watu hawa kwenye jambo lolote la maendeleo yako binafsi huwa hawafurahii na watafanya juu chini kukuharibia ili ukose au ushindwe kukifanya hiko ulichotaka kukifanya. Ni watu wachonganishi na huwa wanafurahi sana wanapoona wengine wanafarakana ni watu ambao hawapendi amani na wamejawa na chuki pamoja na roho mbaya, ni watu ambao kuchukua uhai wa wengine kwao sio jambo zito na kundi hili ndio huwa lina watu wengi ambao wanasifa za kuwa wachawi na wanaongoza kuwatia watu unajisi.

Watu hawa njia zao za mafanikio wamezifikia kwa kufanya biashara haramu ambazo ni hatari kwa binadamu au wamepata mafanikio yao kupitia nguvu za giza iwe kwa kutoa kafara zakifamilia au za kitaifa ni watu ambao hufanikiwa sana kwenye mambo yao hasa baada ya kwenda kwa waganga wenye elimu na mambo ya giza, na ni watu ambao hawahofii wala kujutia kile wanachokifanya na hawaoni kama kutoa kafara kwaajiri ya pesa ni jambo lisilofaa kwasababu mara nyingi huwa hawaamini katika uwepo wa nguvu kuu za ulimwengu huu yaani nguvu za Mungu kwahiyo hawaamini uwepo wa Mungu ila wengi huwa wanaamini uwepo wa miungu.

Na watu wakatili ambao vitendo vyote hasi ambavyo havifai katika jamii wao wanaongoza kuvifanya huwa wanatoka kwenye kundi hili mara nyingi, kwamfano vitendo vya ubakaji, ulawiti, kumwaga damu na vingine vingi ambavyo vipo kinyume na kanuni na taratibu za dunia wao ndio hujiskia raha sana wakati wanapovifanya. Na walio wengi huwa wanafanikiwa kibiashara licha ya kwamba kwa njia zisizofaa, na ndio hawa ambao huwaaminisha vijana wengi kwamba hakuna mafanikio bila kutumia nguvu za giza au kufanya biashara haramu ambazo huwa ziko kinyume na sheria za kidunia, na vijana wasio jielewa nao hujikuta wanaingia katika mfumo ila wao wanapojaribu hujikuta wakiangukia sehemu mbaya, yaani hawafanikiwi kama vile yule aliyewashawishi alivyofanikiwa na sana sana hujikuta wakiishia mikononi mwa vyombo vya dola na hii ni kwasababu nguvu zilizopo ndani yao hazifanani na kiasili hazijaumbwa kupitia njia hiyo wanayotaka kuipita.

Kumbuka, tabia zote hizo mbaya ambazo huwa zinakua ndani ya watu wengi wenye nguvu hizi hasi huwa ni za asili, lakini asili hii ni rahisi sana kuvunjwa kama mtu mwenye tabia za namna hiyo akiamua kwa dhati kutoka moyoni mwake kwamba anataka kutoka kwenye huo upande, kwasababu nimekwambia hapo juu kwamba watu hawa wanapozaliwa huwa nguvu hasi zinakua kwa wingi kuliko nguvu chanya, sasa anachotakiwa kufanya ni kuhakikisha anapingana na yale yaliyo katika asili yake yaani aende kinyume nayo, na kwa kufanya hivi siku kadri zinavyokwenda atajikuta zile nguvu hasi ambazo zilikua kwa wingi ndani yake zinaanza kupungua na zile nguvu chanya zinaanza kunyanyuka kwa kasi hadi kufikia kwenye kiwango ambacho kinatakiwa na akishafika kwenye hiko kiwango basi moja kwa moja anakua ametoka gizani na kuingia nuruni na kimsingi hakuna mtu ambae anapenda awe kwenye giza na ndio maana kila giza linapoingia huwa wote tunawasha taa kwenye nyumba zetu.

Najua unamjua mtu mmoja iwe kwa kusikia au kwa kuambiwa, ya kwamba alikua ni mtu ambae ameshindikana katika jamii kutokana na tabia zake za kiovu ambazo amekua akizifanya, lakini ghafla mtu huyo huyo anaamua kubadilika na kuanza kuwa mtu mwema kiasi ambacho kinafanya watu wengi waliopata kumjua kwa tabia zake za zamani wanabaki kumshangaa tu, sasa watu wa namna hii wanatokea kwenye kundi hili ila walichoamua kufanya ni kushindana na asili yao ya giza, na kuamsha zile nguvu asili za nuru ambazo zilikua ndani yao kwa kiwango kidogo, na baada ya nguvu hizi kunyanyuka basi watu hawa hujikuta wakiyatenda yale yote ya nuruni.

SIFA ZA WATU WENYE NGUVU CHANYA.​


Watu ambao wamebeba nguvu chanya sifa zao ni za upole, unyenyekevu, watu wanaofuata sheria na ambao huwa ni wenye uoga sana pale wanapojigundua wamevunja sheria za kidunia, watu ambao hawawezi kufanikiwa kupitia makafara yaani hata akienda kwa mtaalam wa mambo ya giza ili ampe dawa ya mafanikio huwa hawezi kufanikiwa, na watu walio kwenye kundi hili kwa wale ambao wamejitahidi kuhudhuria kwa wataalam wa nguvu za giza kadhaa, huwa hawaamini kabisa kwenye masuala ya kiganga na ndio wanaoongoza kuwaona waganga ni matapeli kwa sababu mara zote walizohudhuria kwa wataalam hao hawaku bahatika kufanikiwa, ni watu wanao mcha Mungu sana na huwa wako na imani kubwa juu ya uwepo wa Mungu hata ukimkuta yule anbae sio muudhuriaji mzuri wa kwenye hizi nyumba za ibada ila imani yake juu ya uwepo wa Mungu huwa iko juu sana.

Lakini naomba niliseme hili kwa uwazi bila kuficha kwamba licha ya sifa zote nzuri walizonazo watu wanaotokea kwenye kundi hili ila ni watu ambao wanaongoza kuishi maisha ya umasikini, kwasababu waliowengi wameshindwa kufungua siri zilizopo kwenye ulimwengu wao wa kiroho, ili waweze kuelewa njia za kupita kuelekea kwenye hatima zao, ni waumini wakubwa sana wa amani na ni watu ambao hupenda sana kuwaona watu wengine wakifanikiwa na huwa wanatoa sana misaada ya kuwanyanyua wengine wakati ambapo wanahitajika kufanya hivyo, na wala hawajiskii vibaya wanapomsaidia mtu hadi kufikia mafanikio makubwa hadi kuwashinda wao. Hawa ndio wale ambao wanafuata mambo yote yaliyokatika sheria za kidunia.

Tabia zote hizo nilizoeleza ni zile ambazo zipo kwenye asili yao ingawa zinaweza kubadilika na kuwa kinyume chake hasa kama muhusika akiamua kuruhusu ile nguvu hasi iliyomo ndani yake inyanyuke kwa kiasi kikubwa hadi kuizidi ile nguvu chanya ambayo amezaliwa nayo.

Najua unamjua mtu mmoja ambae awali alikua ni mtu wa ibada sana, mtu ambae ni swala tano, mnyenyekevu na mwenye maadili yanayopendeza kwa jamii, lakini baada ya muda mnashangaa mtu huyu hafanyi tena ibada, ule unyenyekevu unapotea na tabia zake njema zote zinaanza kuwa mbaya na watu wa namna hii huwa wanabadilika kwa haraka wanapojichanganya na watu wenye nguvu hasi kwa wingi, na hii hupelekea wao waweze kujifunza, na ile hali ya kujifunza inapelekea utayari wa kujaribu kufanya, na ule utayari na dhamira ndio hupelekea nguvu hasi iliyomo ndani yao ambayo mwanzo ilikua kwa kiasi kidogo sana iweze kunyanyuka kwa kasi na kuizidi ile nguvu chanya, ndio hapa sasa unakuta mtu anakua na tabia za hovyo hadi wale walio mfundisha wanakua wanamshangaa amepatwa na nini kwasababu hata wao wanakua hawajatarajia kama mtu huyo angeweza kuwa namna ile (hii huwakuta sana watoto hasa wanapokua mashuleni au hata nyumbani wanapojichanganya na watoto wengine ambao nguvu zao hasi ni kubwa kuliko chanya).

SIFA ZA WATU WENYE NGUVU CHANYA ZENYE UKUBWA SAWA NA NGUVU HASI.​


Pia kwa wale ambao wamebeba nguvu hasi na chanya nusu kwa nusu huwa wanakuaga na tabia ambazo hutegemea sana na upande upi utaanza kunyanyuliwa, watu wa namna hii endapo wataanza kuunyanyua upande wao hasi basi wanakua na sifa zote za mtu mwenye hatima iliyo katika upande hasi ila utofauti wao ni kwamba huyu yeye anakua na sifa ya ziada ambayo ni sifa ya huruma, kuna wakati huyu mtu anaweza akawa ni mtu katili sana ambae anaogopwa na kila mtu hapo kijijini au mtaani, ila mtu huyu huyu kuna wakati ukipata nafasi ya kuongea nae basi utajikuta unashangaa tu, kwa jinsi anavyoonesha kuwa na ukarimu wa hali ya juu pamoja na utu ulioambatana na unyenyekevu hali ambayo itakushangaza hadi kufikia kusema kumbe kuna wakati hata shetani huwa anakuaga malaika au kuanza kuhisi labda pengine watu huwa hawamuelewi tu huyo mtu na wanamuogopa kwasababu tu hawajapata nafasi ya kukaa kuongea nae ila ukiwauliza watu wake wa karibu wataishia kukuambia, wewe haumjui huyo mtu, kwahiyo ni heri ukaishia hapo hapo, kwa maana sisi tunaemjua tunaelewa ukatili uliopo ndani yake.

Pia endapo wataanza kuunyanyua ule upande wenye nguvu chanya kwenye hatima zao, basi hawa watu huwa wanakua na sifa zote za mtu aliye na hatima ya kimungu ndani yake kwa maana kwamba, huwa wanakua na unyenyekevu wote na wanajitahidi sana kufuata sheria lakini ni watu ambao huwa wanakuaga na hasira za haraka sana na wanapopandwa na hasira hadi kufikia hatua ya kushindwa kabisa kujizuia, basi hujikuta wakifanya matendo ya ajabu ambayo jamii inayowazunguka kwa kiasi kikubwa haijawahi kutarajia kama kuna siku mtu huyo anaweza akafanya ukatili wa ajabu namna hiyo, hasa ukizingatia unyenyekevu na upole ambao amekua akiwaonesha watu kwa kipindi kirefu, na watu wa namna hii ndio wale ambao huwa wanaitwa wamejivika ngozi ya kondoo kumbe ndani ni chui au simba.

Katika makundi yote matatu kundi ambalo watu wake wako na hasira sana tena zile hasira mbaya na za haraka ni hili kundi na ndio kundi ambalo wakiamua kutafuta utajiri kwa njia ya ushirikina yaani uchawi au nguvu za giza wanafanikiwa, na hata wakiamua kutafuta utajiri kwa njia za kimungu wanafanikiwa sana pia.

Hawa watu huwa mara nyingi hata kwenye mambo ya imani huwa hawaeleweki kwa maana kuna wakati akikaa na mtu akampa shule juu ya uwepo wa Mungu anaamini asilimia mia moja juu ya uwepo wa Mungu, lakini pia akikaa na mtu akampa sababu za kumuaminisha kuwa hakuna Mungu pia huwa anaamini asilimia mia moja kwamba hakuna Mungu, kwa maana nyingine huwa ni watu ambao rahisi sana kuwayumbisha kiimani lakini imani ambayo huwa inakua na nguvu kidogo huwa ni ile ambayo hutegemea upande upi wa nguvu ya kiroho alioanza kuunyanyua, kwa maana ya kwamba kama ataanza kuunyanyua upande hasi basi imani itakayokua na nguvu kwake ni kutokuamini uwepo wa Mungu kuliko kuamini, na endapo ataanza kuunyanyua upande chanya basi imani yake yenye nguvu itakua ni kuamini uwepo wa Mungu huku akiwa hana uhakika asilimia mia moja juu ya hiyo imani yake.

Na kuhusu maswala ya hasira unatakiwa ufahamu tu kwamba, makundi yote haya huwa watu wake wanakua na hasira ila kundi lenye watu wenye hasira za kiwango cha chini sana ni hilo kundi la watu wenye nguvu kubwa chanya na nguvu kidogo sana iliyo katika upande hasi, hawa ndio watu ambao muda wote huwa wanafurahi na hata ukiwakera huwa hawajali wala nini na ni mara chache sana unaweza kufanikiwa kuona hasira za watu hawa ila mara nyingi ukiishi na watu wa namna hii utahisi hawana hasira kabisa.

… kwa sasa wacha niishie hapa ila kwenye post ijayo nitaelezea kidogo juu ya hizi nguvu halafu nitakuhamisha kukurudisha sasa kwenye hizi vita za kiroho zinavyokua na nitaunganisha vizuri ili uweze kuelewa na ndio maana nimekuleta huku kidogo.
HIZO vita za kiroho za Hatma zikoje???
 
KIPANDE CHA NNE.

Sasa ukisoma huu uzi kwa umakini hadi kufikia hapa utaona nimezungumzia vitu viwili tofauti, nimezungumzia hatima lakini pia nimezungumzia nguvu za asili ambazo ziko ndani ya watu.

Sasa hapa nataka niweke uunganifu kidogo ili nisikuchanganye, ni kwamba kwenye hatima ndiko kuliko na nguvu ya umiliki wa fedha na mali na nguvu ya asili ndio nguvu ya ulinzi ambayo itakusaidia kupambana na vita zote zinazoendelea katika ulimwengu wa kiroho.

Kwahiyo mafanikio yanaanza kuonekana punde tu mtu anapoielekea njia ya hatima yake ila sasa shida ya mafanikio ya hivi huwa yanakua hayako stable kwa maana ni rahisi sana kuwekewa unajisi na kurudishwa nyuma na watu wanaojua hii michezo ya kiroho upande wa gizani.

Kumbuka, watu wote waliofanikiwa na wakawa na mafanikio ambayo hayatetereki ni wale ambao wameweza kujiungamanisha na upande wao wa kiroho kwa asilimia 100. Sasa ili uweze kujiungamanisha na upande wako wa kiroho kwa asilimia hizo ni lazima unyanyue nguvu zako za asili punde tu utakapojigundua kwamba tayari umeanza kuiendea ile njia ya hatima yako na madhara ya kutokufanya hivi nitayaelezea hapo chini kidogo.

Lakini kwa sasa nataka nizue taharuki kidogo hapo chini lakini ukisoma wala usiogope kwasababu ni kawaida na ndio asili ya ulimwengu ulivyo.

Kama utakua na kumbukumbu vizuri ni kwamba mwanzo nilikwambia watu wameumbwa kwa nguvu hasi na chanya, ambazo nguvu hasi ni giza na nguvu chanya ni nuru, sasa kutokana na hili unatakiwa uwe na uhakika kwamba hapa duniani kuna watu wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kishetani lakini pia wako watu ambao wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kiungu.

Na kutokana na huu mchanganyiko wa watu kubeba hatima zinazo kinzana ndio hasa hupelekea dunia kuwa uwanja wa vita vya hatima, na hii ni vita mbaya sana kwa maana ni vita ambayo haipiganwi katika ulimwengu wa damu na nyama ila ni vita inayopiganwa kwenye ulimwengu wa kiroho kwahiyo huwezi kuona katika macho haya ya kawaida ila ukipigwa unaweza kuhisi tu hali ya mabadiliko katika mwili wako au maisha yako kwa kuzingatia dalili kadha wa kadha.

Njia pekee ya kushinda hizi vita ni kunyanyua nguvu za asili zilizopo ndani yako na usijiukize how kwa maana nitalijibu hilo swali kwa kadri tunavyoenda.

Wacha niendelee kukupatia sifa za hizi nguvu za asili kama ambavyo nilikuahidi kwenye kipande kilichopita ili ikusaidie kukufungulia codes wakati tunaendelea kutengeneza muunganiko wa kujibu swali la msingi la namna gani dunia ikawa ni uwanja wa vita vya hatima ingawaje hadi sasa umeshajua pande zinazopigana hii vita ni zipi.

Sasa basi, kutokana na utofauti huo wa nguvu za asili pamoja na hatima zilizopo ndani ya mtu na mtu, yakupasa uwe na uhakika kwamba hata kwenye njia zao za kufungua nguvu za asili zilizopo ndani yao huwa ni tofauti na hata njia za mafanikio yao huwa hazifanani, wacha tuone hapa chini kidogo.

UTOFAUTI WA NJIA ZA MAFANIKIO KULINGANA NA NGUVU ZA ASILI ZILIZOMO NDANI YETU.​


Mtu ambae amekuja hapa duniani kwaajiri ya kutimiza hatima iliyo upande hasi mara nyingi huwa ni ngumu sana kufanikiwa kiuchumi endapo atafuata zile njia ambazo mtu aliyebeba hatima iliyo upande chanya anazitekeleza hasa kama moyo na nafsi yake bado hautaki kutoka kwenye huo upande ambao yeye yupo. Na ninaomba kueleweka vizuri hapa sijasema haiwezekani,ila anaweza kufanikiwa kwa kufuata njia hizo endapo yeye mwenyewe ataamua kwa dhati kutoka ndani ya nafsi yake kutoka kwenye huo upande aliopo kwa kunyanyua ile nguvu chanya iliyo kwa kiasi kidogo ndani yake hadi ifikie kiwango cha juu kuizidi ile nguvu yake ya asili ambayo ni hasi, au akaunganishwa na mtu mwenye nguvu chanya yaani mume au mke au hata mtoto aliyemzaa na hapa ataweza kutembelea mgongo wa huyo mkewe au mumewe au mtoto wake nae akafanikiwa kupitia wao.

Hapa namaanisha unakuta mtu ambae hatima iliyomo ndani ya roho yake ni ile ya hasi ila bado hajaanza kuihangaikia ili aweze kuinyanyua apate kufanikiwa kwa maana anaendelea kuteseka bado, lakini ghafla anakuja kupata mwanamke au mwanaume ambae yeye amebeba hatima ya upande chanya ndani ya roho yake na huyu aliyebeba hatima ya upande huu wa chanya akawa ameshaiona njia inayoelekea kwenye hatima yake kwahiyo pesa anayo, na kwakupitia pesa zake anakua na uwezo wa kumsaidia mwenzie na kadri wanavyoshiriki tendo la ndoa anakua anamuambukiza ule usumaku na huyu nae akitoka tu anaona mambo yanafunguka moja kwa moja, na hapa ndio unasikia watu wakisema yule mwanamke yuko na bahati ya kifedha kwa maana nikishiriki nae tendo moja kwa moja nakua nafanikiwa sana kwenye mambo yangu au utasikia watu wakisema fulani amepata ngekewa kwa maana tangu ampate yule mwanaume au mwanamke maisha yake yamebadilika sana kiuchumi (hii ni topic nyingine ambayo sitaizungumza kwenye huu uzi).

Mpenzi msomaji, nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia hapo awali, mtu kugundua njia ielekeayo kwenye hatima yake huwa ni ngumu sana hasa ukishakamatwa na maisha haya yaliyomo kwenye ulimwengu huu wa damu na nyama unajikuta unashindwa kufungua ile nguvu kuu iliyomo ndani mwako hata baada ya kuijua ile njia ielekeayo kwenye hatima yako na hii huwafanya watu wengi washindwe kuwa na muendelezo mzuri wa mafanikio ya kifedha yaani unakuta mtu anaanza vizuri ila kabla hajakaa sawa anajikuta ghafla mambo yamesimama yaani hayaendi tena na hii sio tu kwa watu waliobeba hatima za kiungu peke yao bali ni kwa watu wa hatima zote, ingawaje hawa watu waliobeba hatima za giza huwa ni rahisi sana kuziona njia zinazoelekea kwenye hatima zao na kunyanyua nguvu zao za asili kulinganisha na wale ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao na ndio maana nikakwambia watu wengi waliobeba hatima za kimungu ndio wanaongoza kuwa na maisha ya kimasikini, na kwa mfano huo basi niseme tu kwa asilimia kubwa uchumi wa dunia unashikiliwa sana na watu waliobeba hatima za upande wa giza ndani yao.

Wale watu ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao huwa ni ngumu sana kupata mafanikio kwa kufuata njia zile ambazo wale watu waliobeba hatima za giza huzifuata, na watu hawa nao wanaweza kufanikiwa pale ambapo wataamua kwa dhati ndani ya nafsi na mioyo yao kwamba wanataka kufanikiwa kwa kupitia upande huo, na hapa itawaladhimu wanyanyue zile nguvu hasi ambazo zimo ndani yao kwa uchache na wahakikishe wanazipeleka kwenye kiwango cha juu hadi kuzizidi zile nguvu zao za asili ambazo ni chanya au kama watawapata wenza ambao hatima zao ni za giza au watoto wao wa kuwazaa.

Watu hawa wakisema wafosi kufanikiwa kwa njia za kafara au kufanya biashara zilizo nje ya sheria na kanuni za kidunia yaani biashara zilizopo katika upande hasi huwa wanaishia tu kukamatwa na vyombo vya dola hata kabla hawajafika mbali na wakisema watoe kafara, watatoa kafara sana ila hawatopata mafanikio yoyote hadi pale watakapotumia njia ya kufosi kubadili upande kwa nguvu (ambayo ndio hiyo ya kunyanyua zile nguvu hasi na kuzipunguza nguvu chanya).

Lakini njia hii ya kubadili upande huwa inamadhara sana kwa watu wa kwenye kundi hili ila huwa inafaida sana kwa wale watu wa kundi lile la hasi kwasababu njia hii ya kubadili upande kwa nguvu huwa inapelekea mtu huyu aharibiwe zile nguvu za kiuungu ndani yake na awekewe nguvu za giza na hapa ndio utakuta mtu huyu anafanikiwa, na watu hawa wanapoiendea njia hiyo hasi katika mafanikio huwa ndio wale ambao wanafanikiwa kwa masharti makali, unakuta mtu anakua tajiri ndani ya miaka mitano au mitatu na baada ya hapo anakufa, watu wengi wa namna hii ni wale ambao wameamua kujiroot yaani kuipa uwezo wa ziada ile asilimia ndogo ya nguvu hasi iliyopo ndani yao hadi kufikia kiwango sawa na ile nguvu chanya au kuwa katika kiwango cha juu kabisa kuizidi ile nguvu chanya. Na wengine hufikia hatua ya kuiondoa kabisa ile nguvu chanya na kubaki na nguvu hasi na watu hawa wakifanikiwa kuwa matajiri huwa utajiri wao haudumu kwanza, na pili, kipindi watakapofilisika watafilisika kwa aibu sana na hawataweza tena kusimama maisha yao yote ya hapa duniani, watakua makapuku kiasi cha kukosa hata shilingi mia, watavaa nguo kuu kuu hadi zile zilizoshonelezwa viraka, kwa maana wameiroot nguvu yao yote na wakaiua ile nguvu yao ya asili kwahiyo wanakua hawana hatima tena hapa duniani, kifupi ni watu ambao wanakua wameziharibu roho zao na ndio hawa huwa tunasema roho zao zimepata uharibifu na ndio maana waliowengi huwa waganga wanaamuaga kuwa chukua na kuwafanya misukule, ndio wale nimesema hapo juu wanapata utajiri wa labda wamiaka mitano baada ya hapo unakufa, hapa huendi kwenye ulimwengu wa juu bali unabaki kwa mganga na atakutumikisha kwenye shughuli zake za kichawi.

Kwahiyo ukijiona wewe umeshaenda sana kwa waganga na umeshafanya sana yale yanayofanywa na wengine ili ufanikiwe lakini haufanikiwi tafadhali acha mara moja na utoke kwenye huo upande usije ukajawa na tamaa pamoja na vishawishi hadi kupelekea kufikia hatua ya kuiharibu roho yako, utateseka sana hapa duniani na nnakuhakikishia hakutakua na mganga wala mtu yeyote atakaekua na uwezo wa kulitibu hilo tatizo lako isipokua labda Mungu mwenyewe aamue kukupa nafasi nyingine ukiwa bado ungali hapa duniani au katika kizazi kijacho.

Na kwa wale watu ambao wamebeba nguvu zote katika usawa yaani nguvu chanya asilimia hamsini na nguvu hasi asilimia hamsini huwa wanafanikiwa kivyovyote na hili ndio kundi la watu ambao hawatesekagi kiuchumi wao maisha yao huwa ni ya bahati bahati sana kwa maana ukimpeleka gizani anafanikiwa na ukimpeleka nuruni anafanikiwa pia.

Hawa ndio watu ambao wanauwezo mkubwa wa kuwa manabii wa ukweli na uongo, kwa maana wanauwezo wa kutumia nguvu za giza ili waweze kuwa watu wakubwa sana katika imani za kiroho upande wa nuru na akafanikiwa kwa kiwango kikubwa sana, atafanya miujiza mikubwa na uponyaji ila upande ambao anausimamia ni upande wa giza, hawa ndio wanaongoza kuvuruga au kuwapoteza watu kiimani na kuwashawishi watu waweze kuingia kwenye imani ambazo hazipo kwenye ulimwengu wa nuru hasa wanapoamua kuwa manabii wa uongo.

Ni watu wenye nguvu sana kwenye kila eneo watakalokuwepo, wakisimama kama waharifu basi wanakua ni waharifu wa kimataifa dizaini ya kina Pablo Escoba na wakisimama kwenye upande wa mambo ya kufuata sheria basi wanakua ni watu waliofanikiwa sana upande huo, na ni watu wenye kutetea na kulinda kile walichonacho hata kwa kumwaga damu za watu wengine ambao wanawakosoa au wanapanga mipango ya kuwaharibia, ila pia ni watu wazuri na wenye roho safi kama utakwenda kwa namna ile wao wanataka uende, na watu wa namna hii huwa hawajali kuhusu urafiki kwahiyo ukivuka mipaka huwa hawajiulizi mara mbili kukupoteza.

Kama nilivyosema kwamba manabii wengi uchwara huwa wanaangukia kwenye hili eneo na viongozi wengi magaidi duniani au wale madikteta huwa wanaangukia kwenye eneo hili.

Na viongozi ambao wanatokea kwenye hili kundi huwa wanafanikiwa sana kwasababu huwa wanakua na nguvu, na neno lao huwa ni sheria, kwahiyo kutokana na sifa hiyo hupelekea watu ambao wanahudumu kwenye serikali zao kuwa wasikivu na wanyenyekevu na kubwa zaidi kuwa wanawaogopa kila wanapo tokea.

Na hizi sio sifa ambazo mtu anaweza kuzitengeneza mwenyewe, isipokua hizi ni sifa ambazo zipo kwenye hatima ya mtu, kutokana na kwamba, watu wenye sifa za namna hii kuweza kufanya vizuri kila sehemu watakayo wekwa au kujiweka, basi hatima zao huwa ni kubwa sana, na mara nyingi huwa zinafika hadi ngazi za kidunia.

Kwenye mambo ya kinchi asilimia kubwa ya watu wanaofanya vizuri kwenye mambo ya ulinzi na intelligencia huwa wanatokea kwenye hili kundi, kwasababu ni watu ambao yawezekana wakawa wapole na wenye uadilifu hasa wanapoanza kuinyanyua sehemu chanya ya nguvu iliyomo ndani ya roho zao, ila pia hawahitaji muda kubadilika na kuwa wauwaji ndio maana kwenye vita wakipelekwa ni watu ambao wanakua na uwezo wa kuchinja kunyonga na kulinda pia kitu ambacho mtu mwenye nguvu chanya zilizojitokeza zaidi ya nguvu hasi ndani yake, hawezi kufanya.

Na uzuri wa watu hawa wanakua ni wazuri kwenye maeneo ya ulinzi kwasababu huwa wako na sifa zote mbili katika uwiano ulio sawa kwahiyo huwa wanajua kulinda na kushambulia ila wale walio na sifa ya upande hasi yenye nguvu zaidi ya ile ya upande chanya huwa ni watu ambao hawana sifa nzuri ya kulinda na ndio maana wengi huwa wanaangukia kwenye eneo la uharifu yaani ujambazi au uhasi na kufanya mauaji kwa watu wasio na hatia na wao wala hawajali chochote.

Pia hata madaktari wengi wanatokea kwenye hili eneo hasa wale wanaojihusisha zaidi na mambo ya upasuaji na hata waganga wa kienyeji ambao huwa wanafanya mambo yao kiuhalisia na walio na nguvu za kweli za kiuganga huwa wanatokea kwenye hili eneo.

Najua unamjua mwalimu wenu mmoja ambae yeye akitokea tu huwa wanafunzi wote wanamuogopa na ndio mwalimu maarufu sana hapo shuleni, na ndio mwalimu ambae aliongoza kutungiwa majina mengi ya utani, na walimu wa namna hii huwa wanapewa uongozi hasa kwenye kitengo kile cha nidhamu.

Sasa hao walimu, wengi huwa ni watu ambao wanatokea kwenye hili kundi, na watu wa namna hii sio tu shuleni bali hata nyumbani unakuta akitokea tu, watoto hata wakiwa wanaangalia TV huku wanapiga stori wanatulia kwanza na kila mmoja anajiweka vizuri, na baba akija kukaa hapo sebuleni utaona kila mtu anatafuta namna ya kutoka eneo lile kwa wakati wake mwenyewe.

Na unaweza ukajiuliza kwanini hili eneo huwa linatoa watu wengi wenye uwezo mkubwa kwenye vitu wavifanyavyo, na jibu ni kwamba hili eneo linakuwa na muunganiko wa moja kwa moja na dunia, kwa maana asili ya dunia ni nguvu hasi na chanya sasa ikitokea mtu mmoja akawa na asili ya namna hii yaani ya nguvu hasi na chanya zilizo katika usawa huwa tunasema ni kama dunia iliyo ndani ya mtu, kwahiyo mambo mengi ya kubadili au kuongoza kwenye hii dunia katika mifumo mbalimbali huwa inakua rahisi sana mikononi mwa watu hawa.

Na nikwambie tu watu hawa hawako wengi duniani na wanatokea kwa mara chache sana na endapo wakitokea huwa wanapofanya mambo yao kuwazuia mtatumia nguvu sana na ndio maana waharifu wengi wanaotokea kwenye kundi hili huwa wanasumbua sana dunia, na kibaya zaidi hawa watu huwa wanazaliwa na nguvu asili ya ulimwengu kwahiyo hata kurogeka huwa hawarogeki kizembe au huwa hawarogeki kabisa.

Huwa wanakua na uwezo mkubwa wa kuyaelewa mambo mbalimbali ya ulimwengu na ni watu ambao ukikutana nao ukiwapa kila mada wao wanaichangia vizuri kabisa, ni watu ambao ni rahisi kujifunza mambo mbalimbali na huwa ni kawaida sana hata kuwashuhudia wengi wakijua lugha za makabila au mataifa mbalimbali yaani wengi wanakua wanauwezo wa kuongea lugha nyingi.

Kwenye mahusiano hawa ni watu ambao huwa hawaumizwi kabisa na mambo ya mapenzi kwanza sio watu wanaojal,i kwahiyo hata wakiachwa wala haiwaumi na ni watu ambao hawadumu sana kwenye maswala ya ndoa hasa kama watapata wenza ambao sio waelewa yaani watu hawa huwa wanaongoza kuwa singo na wengine wanaweza wakawa singo hadi uzeeni hasa kama hawatopata watu wanao endana ki sifa.

Hawako romantic na wala hawana huruma kiivyo, kwahiyo inaweza ikatokea umekaa hapo unalia na yeye akawa amekaa zake pembeni anakuangalia tu na wala hana muda wa kukubembeleza, na sifa hii pia ipo kwa watu walio na nguvu hasi zaidi ya nguvu chanya.

Ila ndio kundi hatari sana na ni kundi ambalo linahitaji uangalizi wa kiroho ili kuwasaidia kunyanyua upande wao chanya kwasababu ni kama nilivyokuambia hawa watu mzani wa nguvu zao za asili umebalance kwahiyo imani zao juu ya mambo ya kiroho huwa ni hamsini kwa hamsini ila unapomsaidia kunyanyua upande wake chanya utamsaidia imani ya upande wa nuru ikue kuliko ya upande wa giza ila ukimuacha na akanyanyua upande wake hasi basi atasumbua sana kwenye giza atakaloamua kulitumikia.

Hawa ndio watu wa aina ya kina Sauli kwenye biblia na nadhani unaijua shughuli ya Sauli alipoachwa bila kupewa usaidizi wa kunyanyua upande chanya wa nguvu zake za kiroho na badala yake alinyanyua nguvu hasi na kupelekea kuwa mtu muuaji mkubwa hadi pale Mungu mwenyewe alipomtokea na kumtia upofu, zingatia sana kwenye hilo neno upofu, kwa maana sio upofu wa macho ila ni upofu wa kile alichokua anakiamini na kuoneshwa njia sahihi impasayo kupita na hapo ndipo alipokuwa Paulo, ambae wote tunajua mchango wake katika upande wa dini ya kikristo. Kwahiyo Sauli ambae baadae alikuja kuitwa Paulo ni mfano mzuri wa watu wa namna hii.

Kutokana na ugumu uliopo wa kuweza kumjua mwanao kama yuko kwenye kundi hili au lile, hivyo basi jitahidi sana kuwapeleka watoto wako au kuwahimiza kwenda kwenye mafundisho ya kiimani ya dini yako, haijalishi wewe unaamini au hauamini iwe unahudhuria ibada au hauhudhurii ila kwa kufanya hivyo utamsaidia mtoto ambae anatokea kwenye kundi hili aweze kuinyanyua nguvu chanya iliyopo ndani yake kuliko ile hasi na hapa ndipo utakapomuona mwanao anafanya mambo makubwa katika huu ulimwengu.

… kwa sasa wacha niishie hapa ila katika post inayofuata bado nitabaki hapa hapa kwenye nguvu za asili na nitakuja kukuelezea sasa kwanini nilisema watu waliobeba nguvu chanya au hatima za kiungu huwa wanaongoza kuwa masikini na kwanini uchumi wa dunia unaongozwa na watu waliobeba nguvu hasi yaani wale wenye hatima za kishetani.
 
Mkuu upo vizuri kusema ukweli, la mhimu kuzingatia Sana usituache na arosto!
KIPANDE CHA NNE.

Sasa ukisoma huu uzi kwa umakini hadi kufikia hapa utaona nimezungumzia vitu viwili tofauti, nimezungumzia hatima lakini pia nimezungumzia nguvu za asili ambazo ziko ndani ya watu.

Sasa hapa nataka niweke uunganifu kidogo ili nisikuchanganye, ni kwamba kwenye hatima ndiko kuliko na nguvu ya umiliki wa fedha na mali na nguvu ya asili ndio nguvu ya ulinzi ambayo itakusaidia kupambana na vita zote zinazoendelea katika ulimwengu wa kiroho.

Kwahiyo mafanikio yanaanza kuonekana punde tu mtu anapoielekea njia ya hatima yake ila sasa shida ya mafanikio ya hivi huwa yanakua hayako stable kwa maana ni rahisi sana kuwekewa unajisi na kurudishwa nyuma na watu wanaojua hii michezo ya kiroho upande wa gizani.

Kumbuka, watu wote waliofanikiwa na wakawa na mafanikio ambayo hayatetereki ni wale ambao wameweza kujiungamanisha na upande wao wa kiroho kwa asilimia 100. Sasa ili uweze kujiungamanisha na upande wako wa kiroho kwa asilimia hizo ni lazima unyanyue nguvu zako za asili punde tu utakapojigundua kwamba tayari umeanza kuiendea ile njia ya hatima yako na madhara ya kutokufanya hivi nitayaelezea hapo chini kidogo.

Lakini kwa sasa nataka nizue taharuki kidogo hapo chini lakini ukisoma wala usiogope kwasababu ni kawaida na ndio asili ya ulimwengu ulivyo.

Kama utakua na kumbukumbu vizuri ni kwamba mwanzo nilikwambia watu wameumbwa kwa nguvu hasi na chanya, ambazo nguvu hasi ni giza na nguvu chanya ni nuru, sasa kutokana na hili unatakiwa uwe na uhakika kwamba hapa duniani kuna watu wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kishetani lakini pia wako watu ambao wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kiungu.

Na kutokana na huu mchanganyiko wa watu kubeba hatima zinazo kinzana ndio hasa hupelekea dunia kuwa uwanja wa vita vya hatima, na hii ni vita mbaya sana kwa maana ni vita ambayo haipiganwi katika ulimwengu wa damu na nyama ila ni vita inayopiganwa kwenye ulimwengu wa kiroho kwahiyo huwezi kuona katika macho haya ya kawaida ila ukipigwa unaweza kuhisi tu hali ya mabadiliko katika mwili wako au maisha yako kwa kuzingatia dalili kadha wa kadha.

Njia pekee ya kushinda hizi vita ni kunyanyua nguvu za asili zilizopo ndani yako na usijiukize how kwa maana nitalijibu hilo swali kwa kadri tunavyoenda.

Wacha niendelee kukupatia sifa za hizi nguvu za asili kama ambavyo nilikuahidi kwenye kipande kilichopita ili ikusaidie kukufungulia codes wakati tunaendelea kutengeneza muunganiko wa kujibu swali la msingi la namna gani dunia ikawa ni uwanja wa vita vya hatima ingawaje hadi sasa umeshajua pande zinazopigana hii vita ni zipi.

Sasa basi, kutokana na utofauti huo wa nguvu za asili pamoja na hatima zilizopo ndani ya mtu na mtu, yakupasa uwe na uhakika kwamba hata kwenye njia zao za kufungua nguvu za asili zilizopo ndani yao huwa ni tofauti na hata njia za mafanikio yao huwa hazifanani, wacha tuone hapa chini kidogo.

UTOFAUTI WA NJIA ZA MAFANIKIO KULINGANA NA NGUVU ZA ASILI ZILIZOMO NDANI YETU.​


Mtu ambae amekuja hapa duniani kwaajiri ya kutimiza hatima iliyo upande hasi mara nyingi huwa ni ngumu sana kufanikiwa kiuchumi endapo atafuata zile njia ambazo mtu aliyebeba hatima iliyo upande chanya anazitekeleza hasa kama moyo na nafsi yake bado hautaki kutoka kwenye huo upande ambao yeye yupo. Na ninaomba kueleweka vizuri hapa sijasema haiwezekani,ila anaweza kufanikiwa kwa kufuata njia hizo endapo yeye mwenyewe ataamua kwa dhati kutoka ndani ya nafsi yake kutoka kwenye huo upande aliopo kwa kunyanyua ile nguvu chanya iliyo kwa kiasi kidogo ndani yake hadi ifikie kiwango cha juu kuizidi ile nguvu yake ya asili ambayo ni hasi, au akaunganishwa na mtu mwenye nguvu chanya yaani mume au mke au hata mtoto aliyemzaa na hapa ataweza kutembelea mgongo wa huyo mkewe au mumewe au mtoto wake nae akafanikiwa kupitia wao.

Hapa namaanisha unakuta mtu ambae hatima iliyomo ndani ya roho yake ni ile ya hasi ila bado hajaanza kuihangaikia ili aweze kuinyanyua apate kufanikiwa kwa maana anaendelea kuteseka bado, lakini ghafla anakuja kupata mwanamke au mwanaume ambae yeye amebeba hatima ya upande chanya ndani ya roho yake na huyu aliyebeba hatima ya upande huu wa chanya akawa ameshaiona njia inayoelekea kwenye hatima yake kwahiyo pesa anayo, na kwakupitia pesa zake anakua na uwezo wa kumsaidia mwenzie na kadri wanavyoshiriki tendo la ndoa anakua anamuambukiza ule usumaku na huyu nae akitoka tu anaona mambo yanafunguka moja kwa moja, na hapa ndio unasikia watu wakisema yule mwanamke yuko na bahati ya kifedha kwa maana nikishiriki nae tendo moja kwa moja nakua nafanikiwa sana kwenye mambo yangu au utasikia watu wakisema fulani amepata ngekewa kwa maana tangu ampate yule mwanaume au mwanamke maisha yake yamebadilika sana kiuchumi (hii ni topic nyingine ambayo sitaizungumza kwenye huu uzi).

Mpenzi msomaji, nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia hapo awali, mtu kugundua njia ielekeayo kwenye hatima yake huwa ni ngumu sana hasa ukishakamatwa na maisha haya yaliyomo kwenye ulimwengu huu wa damu na nyama unajikuta unashindwa kufungua ile nguvu kuu iliyomo ndani mwako hata baada ya kuijua ile njia ielekeayo kwenye hatima yako na hii huwafanya watu wengi washindwe kuwa na muendelezo mzuri wa mafanikio ya kifedha yaani unakuta mtu anaanza vizuri ila kabla hajakaa sawa anajikuta ghafla mambo yamesimama yaani hayaendi tena na hii sio tu kwa watu waliobeba hatima za kiungu peke yao bali ni kwa watu wa hatima zote, ingawaje hawa watu waliobeba hatima za giza huwa ni rahisi sana kuziona njia zinazoelekea kwenye hatima zao na kunyanyua nguvu zao za asili kulinganisha na wale ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao na ndio maana nikakwambia watu wengi waliobeba hatima za kimungu ndio wanaongoza kuwa na maisha ya kimasikini, na kwa mfano huo basi niseme tu kwa asilimia kubwa uchumi wa dunia unashikiliwa sana na watu waliobeba hatima za upande wa giza ndani yao.

Wale watu ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao huwa ni ngumu sana kupata mafanikio kwa kufuata njia zile ambazo wale watu waliobeba hatima za giza huzifuata, na watu hawa nao wanaweza kufanikiwa pale ambapo wataamua kwa dhati ndani ya nafsi na mioyo yao kwamba wanataka kufanikiwa kwa kupitia upande huo, na hapa itawaladhimu wanyanyue zile nguvu hasi ambazo zimo ndani yao kwa uchache na wahakikishe wanazipeleka kwenye kiwango cha juu hadi kuzizidi zile nguvu zao za asili ambazo ni chanya au kama watawapata wenza ambao hatima zao ni za giza au watoto wao wa kuwazaa.

Watu hawa wakisema wafosi kufanikiwa kwa njia za kafara au kufanya biashara zilizo nje ya sheria na kanuni za kidunia yaani biashara zilizopo katika upande hasi huwa wanaishia tu kukamatwa na vyombo vya dola hata kabla hawajafika mbali na wakisema watoe kafara, watatoa kafara sana ila hawatopata mafanikio yoyote hadi pale watakapotumia njia ya kufosi kubadili upande kwa nguvu (ambayo ndio hiyo ya kunyanyua zile nguvu hasi na kuzipunguza nguvu chanya).

Lakini njia hii ya kubadili upande huwa inamadhara sana kwa watu wa kwenye kundi hili ila huwa inafaida sana kwa wale watu wa kundi lile la hasi kwasababu njia hii ya kubadili upande kwa nguvu huwa inapelekea mtu huyu aharibiwe zile nguvu za kiuungu ndani yake na awekewe nguvu za giza na hapa ndio utakuta mtu huyu anafanikiwa, na watu hawa wanapoiendea njia hiyo hasi katika mafanikio huwa ndio wale ambao wanafanikiwa kwa masharti makali, unakuta mtu anakua tajiri ndani ya miaka mitano au mitatu na baada ya hapo anakufa, watu wengi wa namna hii ni wale ambao wameamua kujiroot yaani kuipa uwezo wa ziada ile asilimia ndogo ya nguvu hasi iliyopo ndani yao hadi kufikia kiwango sawa na ile nguvu chanya au kuwa katika kiwango cha juu kabisa kuizidi ile nguvu chanya. Na wengine hufikia hatua ya kuiondoa kabisa ile nguvu chanya na kubaki na nguvu hasi na watu hawa wakifanikiwa kuwa matajiri huwa utajiri wao haudumu kwanza, na pili, kipindi watakapofilisika watafilisika kwa aibu sana na hawataweza tena kusimama maisha yao yote ya hapa duniani, watakua makapuku kiasi cha kukosa hata shilingi mia, watavaa nguo kuu kuu hadi zile zilizoshonelezwa viraka, kwa maana wameiroot nguvu yao yote na wakaiua ile nguvu yao ya asili kwahiyo wanakua hawana hatima tena hapa duniani, kifupi ni watu ambao wanakua wameziharibu roho zao na ndio hawa huwa tunasema roho zao zimepata uharibifu na ndio maana waliowengi huwa waganga wanaamuaga kuwa chukua na kuwafanya misukule, ndio wale nimesema hapo juu wanapata utajiri wa labda wamiaka mitano baada ya hapo unakufa, hapa huendi kwenye ulimwengu wa juu bali unabaki kwa mganga na atakutumikisha kwenye shughuli zake za kichawi.

Kwahiyo ukijiona wewe umeshaenda sana kwa waganga na umeshafanya sana yale yanayofanywa na wengine ili ufanikiwe lakini haufanikiwi tafadhali acha mara moja na utoke kwenye huo upande usije ukajawa na tamaa pamoja na vishawishi hadi kupelekea kufikia hatua ya kuiharibu roho yako, utateseka sana hapa duniani na nnakuhakikishia hakutakua na mganga wala mtu yeyote atakaekua na uwezo wa kulitibu hilo tatizo lako isipokua labda Mungu mwenyewe aamue kukupa nafasi nyingine ukiwa bado ungali hapa duniani au katika kizazi kijacho.

Na kwa wale watu ambao wamebeba nguvu zote katika usawa yaani nguvu chanya asilimia hamsini na nguvu hasi asilimia hamsini huwa wanafanikiwa kivyovyote na hili ndio kundi la watu ambao hawatesekagi kiuchumi wao maisha yao huwa ni ya bahati bahati sana kwa maana ukimpeleka gizani anafanikiwa na ukimpeleka nuruni anafanikiwa pia.

Hawa ndio watu ambao wanauwezo mkubwa wa kuwa manabii wa ukweli na uongo, kwa maana wanauwezo wa kutumia nguvu za giza ili waweze kuwa watu wakubwa sana katika imani za kiroho upande wa nuru na akafanikiwa kwa kiwango kikubwa sana, atafanya miujiza mikubwa na uponyaji ila upande ambao anausimamia ni upande wa giza, hawa ndio wanaongoza kuvuruga au kuwapoteza watu kiimani na kuwashawishi watu waweze kuingia kwenye imani ambazo hazipo kwenye ulimwengu wa nuru hasa wanapoamua kuwa manabii wa uongo.

Ni watu wenye nguvu sana kwenye kila eneo watakalokuwepo, wakisimama kama waharifu basi wanakua ni waharifu wa kimataifa dizaini ya kina Pablo Escoba na wakisimama kwenye upande wa mambo ya kufuata sheria basi wanakua ni watu waliofanikiwa sana upande huo, na ni watu wenye kutetea na kulinda kile walichonacho hata kwa kumwaga damu za watu wengine ambao wanawakosoa au wanapanga mipango ya kuwaharibia, ila pia ni watu wazuri na wenye roho safi kama utakwenda kwa namna ile wao wanataka uende, na watu wa namna hii huwa hawajali kuhusu urafiki kwahiyo ukivuka mipaka huwa hawajiulizi mara mbili kukupoteza.

Kama nilivyosema kwamba manabii wengi uchwara huwa wanaangukia kwenye hili eneo na viongozi wengi magaidi duniani au wale madikteta huwa wanaangukia kwenye eneo hili.

Na viongozi ambao wanatokea kwenye hili kundi huwa wanafanikiwa sana kwasababu huwa wanakua na nguvu, na neno lao huwa ni sheria, kwahiyo kutokana na sifa hiyo hupelekea watu ambao wanahudumu kwenye serikali zao kuwa wasikivu na wanyenyekevu na kubwa zaidi kuwa wanawaogopa kila wanapo tokea.

Na hizi sio sifa ambazo mtu anaweza kuzitengeneza mwenyewe, isipokua hizi ni sifa ambazo zipo kwenye hatima ya mtu, kutokana na kwamba, watu wenye sifa za namna hii kuweza kufanya vizuri kila sehemu watakayo wekwa au kujiweka, basi hatima zao huwa ni kubwa sana, na mara nyingi huwa zinafika hadi ngazi za kidunia.

Kwenye mambo ya kinchi asilimia kubwa ya watu wanaofanya vizuri kwenye mambo ya ulinzi na intelligencia huwa wanatokea kwenye hili kundi, kwasababu ni watu ambao yawezekana wakawa wapole na wenye uadilifu hasa wanapoanza kuinyanyua sehemu chanya ya nguvu iliyomo ndani ya roho zao, ila pia hawahitaji muda kubadilika na kuwa wauwaji ndio maana kwenye vita wakipelekwa ni watu ambao wanakua na uwezo wa kuchinja kunyonga na kulinda pia kitu ambacho mtu mwenye nguvu chanya zilizojitokeza zaidi ya nguvu hasi ndani yake, hawezi kufanya.

Na uzuri wa watu hawa wanakua ni wazuri kwenye maeneo ya ulinzi kwasababu huwa wako na sifa zote mbili katika uwiano ulio sawa kwahiyo huwa wanajua kulinda na kushambulia ila wale walio na sifa ya upande hasi yenye nguvu zaidi ya ile ya upande chanya huwa ni watu ambao hawana sifa nzuri ya kulinda na ndio maana wengi huwa wanaangukia kwenye eneo la uharifu yaani ujambazi au uhasi na kufanya mauaji kwa watu wasio na hatia na wao wala hawajali chochote.

Pia hata madaktari wengi wanatokea kwenye hili eneo hasa wale wanaojihusisha zaidi na mambo ya upasuaji na hata waganga wa kienyeji ambao huwa wanafanya mambo yao kiuhalisia na walio na nguvu za kweli za kiuganga huwa wanatokea kwenye hili eneo.

Najua unamjua mwalimu wenu mmoja ambae yeye akitokea tu huwa wanafunzi wote wanamuogopa na ndio mwalimu maarufu sana hapo shuleni, na ndio mwalimu ambae aliongoza kutungiwa majina mengi ya utani, na walimu wa namna hii huwa wanapewa uongozi hasa kwenye kitengo kile cha nidhamu.

Sasa hao walimu, wengi huwa ni watu ambao wanatokea kwenye hili kundi, na watu wa namna hii sio tu shuleni bali hata nyumbani unakuta akitokea tu, watoto hata wakiwa wanaangalia TV huku wanapiga stori wanatulia kwanza na kila mmoja anajiweka vizuri, na baba akija kukaa hapo sebuleni utaona kila mtu anatafuta namna ya kutoka eneo lile kwa wakati wake mwenyewe.

Na unaweza ukajiuliza kwanini hili eneo huwa linatoa watu wengi wenye uwezo mkubwa kwenye vitu wavifanyavyo, na jibu ni kwamba hili eneo linakuwa na muunganiko wa moja kwa moja na dunia, kwa maana asili ya dunia ni nguvu hasi na chanya sasa ikitokea mtu mmoja akawa na asili ya namna hii yaani ya nguvu hasi na chanya zilizo katika usawa huwa tunasema ni kama dunia iliyo ndani ya mtu, kwahiyo mambo mengi ya kubadili au kuongoza kwenye hii dunia katika mifumo mbalimbali huwa inakua rahisi sana mikononi mwa watu hawa.

Na nikwambie tu watu hawa hawako wengi duniani na wanatokea kwa mara chache sana na endapo wakitokea huwa wanapofanya mambo yao kuwazuia mtatumia nguvu sana na ndio maana waharifu wengi wanaotokea kwenye kundi hili huwa wanasumbua sana dunia, na kibaya zaidi hawa watu huwa wanazaliwa na nguvu asili ya ulimwengu kwahiyo hata kurogeka huwa hawarogeki kizembe au huwa hawarogeki kabisa.

Huwa wanakua na uwezo mkubwa wa kuyaelewa mambo mbalimbali ya ulimwengu na ni watu ambao ukikutana nao ukiwapa kila mada wao wanaichangia vizuri kabisa, ni watu ambao ni rahisi kujifunza mambo mbalimbali na huwa ni kawaida sana hata kuwashuhudia wengi wakijua lugha za makabila au mataifa mbalimbali yaani wengi wanakua wanauwezo wa kuongea lugha nyingi.

Kwenye mahusiano hawa ni watu ambao huwa hawaumizwi kabisa na mambo ya mapenzi kwanza sio watu wanaojal,i kwahiyo hata wakiachwa wala haiwaumi na ni watu ambao hawadumu sana kwenye maswala ya ndoa hasa kama watapata wenza ambao sio waelewa yaani watu hawa huwa wanaongoza kuwa singo na wengine wanaweza wakawa singo hadi uzeeni hasa kama hawatopata watu wanao endana ki sifa.

Hawako romantic na wala hawana huruma kiivyo, kwahiyo inaweza ikatokea umekaa hapo unalia na yeye akawa amekaa zake pembeni anakuangalia tu na wala hana muda wa kukubembeleza, na sifa hii pia ipo kwa watu walio na nguvu hasi zaidi ya nguvu chanya.

Ila ndio kundi hatari sana na ni kundi ambalo linahitaji uangalizi wa kiroho ili kuwasaidia kunyanyua upande wao chanya kwasababu ni kama nilivyokuambia hawa watu mzani wa nguvu zao za asili umebalance kwahiyo imani zao juu ya mambo ya kiroho huwa ni hamsini kwa hamsini ila unapomsaidia kunyanyua upande wake chanya utamsaidia imani ya upande wa nuru ikue kuliko ya upande wa giza ila ukimuacha na akanyanyua upande wake hasi basi atasumbua sana kwenye giza atakaloamua kulitumikia.

Hawa ndio watu wa aina ya kina Sauli kwenye biblia na nadhani unaijua shughuli ya Sauli alipoachwa bila kupewa usaidizi wa kunyanyua upande chanya wa nguvu zake za kiroho na badala yake alinyanyua nguvu hasi na kupelekea kuwa mtu muuaji mkubwa hadi pale Mungu mwenyewe alipomtokea na kumtia upofu, zingatia sana kwenye hilo neno upofu, kwa maana sio upofu wa macho ila ni upofu wa kile alichokua anakiamini na kuoneshwa njia sahihi impasayo kupita na hapo ndipo alipokuwa Paulo, ambae wote tunajua mchango wake katika upande wa dini ya kikristo. Kwahiyo Sauli ambae baadae alikuja kuitwa Paulo ni mfano mzuri wa watu wa namna hii.

Kutokana na ugumu uliopo wa kuweza kumjua mwanao kama yuko kwenye kundi hili au lile, hivyo basi jitahidi sana kuwapeleka watoto wako au kuwahimiza kwenda kwenye mafundisho ya kiimani ya dini yako, haijalishi wewe unaamini au hauamini iwe unahudhuria ibada au hauhudhurii ila kwa kufanya hivyo utamsaidia mtoto ambae anatokea kwenye kundi hili aweze kuinyanyua nguvu chanya iliyopo ndani yake kuliko ile hasi na hapa ndipo utakapomuona mwanao anafanya mambo makubwa katika huu ulimwengu.

… kwa sasa wacha niishie hapa ila katika post inayofuata bado nitabaki hapa hapa kwenye nguvu za asili na nitakuja kukuelezea sasa kwanini nilisema watu waliobeba nguvu chanya au hatima za kiungu huwa wanaongoza kuwa masikini na kwanini uchumi wa dunia unaongozwa na watu waliobeba nguvu hasi yaani wale wenye hatima za kishetani.
 
KIPANDE CHA NNE.

Sasa ukisoma huu uzi kwa umakini hadi kufikia hapa utaona nimezungumzia vitu viwili tofauti, nimezungumzia hatima lakini pia nimezungumzia nguvu za asili ambazo ziko ndani ya watu.

Sasa hapa nataka niweke uunganifu kidogo ili nisikuchanganye, ni kwamba kwenye hatima ndiko kuliko na nguvu ya umiliki wa fedha na mali na nguvu ya asili ndio nguvu ya ulinzi ambayo itakusaidia kupambana na vita zote zinazoendelea katika ulimwengu wa kiroho.

Kwahiyo mafanikio yanaanza kuonekana punde tu mtu anapoielekea njia ya hatima yake ila sasa shida ya mafanikio ya hivi huwa yanakua hayako stable kwa maana ni rahisi sana kuwekewa unajisi na kurudishwa nyuma na watu wanaojua hii michezo ya kiroho upande wa gizani.

Kumbuka, watu wote waliofanikiwa na wakawa na mafanikio ambayo hayatetereki ni wale ambao wameweza kujiungamanisha na upande wao wa kiroho kwa asilimia 100. Sasa ili uweze kujiungamanisha na upande wako wa kiroho kwa asilimia hizo ni lazima unyanyue nguvu zako za asili punde tu utakapojigundua kwamba tayari umeanza kuiendea ile njia ya hatima yako na madhara ya kutokufanya hivi nitayaelezea hapo chini kidogo.

Lakini kwa sasa nataka nizue taharuki kidogo hapo chini lakini ukisoma wala usiogope kwasababu ni kawaida na ndio asili ya ulimwengu ulivyo.

Kama utakua na kumbukumbu vizuri ni kwamba mwanzo nilikwambia watu wameumbwa kwa nguvu hasi na chanya, ambazo nguvu hasi ni giza na nguvu chanya ni nuru, sasa kutokana na hili unatakiwa uwe na uhakika kwamba hapa duniani kuna watu wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kishetani lakini pia wako watu ambao wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kiungu.

Na kutokana na huu mchanganyiko wa watu kubeba hatima zinazo kinzana ndio hasa hupelekea dunia kuwa uwanja wa vita vya hatima, na hii ni vita mbaya sana kwa maana ni vita ambayo haipiganwi katika ulimwengu wa damu na nyama ila ni vita inayopiganwa kwenye ulimwengu wa kiroho kwahiyo huwezi kuona katika macho haya ya kawaida ila ukipigwa unaweza kuhisi tu hali ya mabadiliko katika mwili wako au maisha yako kwa kuzingatia dalili kadha wa kadha.

Njia pekee ya kushinda hizi vita ni kunyanyua nguvu za asili zilizopo ndani yako na usijiukize how kwa maana nitalijibu hilo swali kwa kadri tunavyoenda.

Wacha niendelee kukupatia sifa za hizi nguvu za asili kama ambavyo nilikuahidi kwenye kipande kilichopita ili ikusaidie kukufungulia codes wakati tunaendelea kutengeneza muunganiko wa kujibu swali la msingi la namna gani dunia ikawa ni uwanja wa vita vya hatima ingawaje hadi sasa umeshajua pande zinazopigana hii vita ni zipi.

Sasa basi, kutokana na utofauti huo wa nguvu za asili pamoja na hatima zilizopo ndani ya mtu na mtu, yakupasa uwe na uhakika kwamba hata kwenye njia zao za kufungua nguvu za asili zilizopo ndani yao huwa ni tofauti na hata njia za mafanikio yao huwa hazifanani, wacha tuone hapa chini kidogo.

UTOFAUTI WA NJIA ZA MAFANIKIO KULINGANA NA NGUVU ZA ASILI ZILIZOMO NDANI YETU.​


Mtu ambae amekuja hapa duniani kwaajiri ya kutimiza hatima iliyo upande hasi mara nyingi huwa ni ngumu sana kufanikiwa kiuchumi endapo atafuata zile njia ambazo mtu aliyebeba hatima iliyo upande chanya anazitekeleza hasa kama moyo na nafsi yake bado hautaki kutoka kwenye huo upande ambao yeye yupo. Na ninaomba kueleweka vizuri hapa sijasema haiwezekani,ila anaweza kufanikiwa kwa kufuata njia hizo endapo yeye mwenyewe ataamua kwa dhati kutoka ndani ya nafsi yake kutoka kwenye huo upande aliopo kwa kunyanyua ile nguvu chanya iliyo kwa kiasi kidogo ndani yake hadi ifikie kiwango cha juu kuizidi ile nguvu yake ya asili ambayo ni hasi, au akaunganishwa na mtu mwenye nguvu chanya yaani mume au mke au hata mtoto aliyemzaa na hapa ataweza kutembelea mgongo wa huyo mkewe au mumewe au mtoto wake nae akafanikiwa kupitia wao.

Hapa namaanisha unakuta mtu ambae hatima iliyomo ndani ya roho yake ni ile ya hasi ila bado hajaanza kuihangaikia ili aweze kuinyanyua apate kufanikiwa kwa maana anaendelea kuteseka bado, lakini ghafla anakuja kupata mwanamke au mwanaume ambae yeye amebeba hatima ya upande chanya ndani ya roho yake na huyu aliyebeba hatima ya upande huu wa chanya akawa ameshaiona njia inayoelekea kwenye hatima yake kwahiyo pesa anayo, na kwakupitia pesa zake anakua na uwezo wa kumsaidia mwenzie na kadri wanavyoshiriki tendo la ndoa anakua anamuambukiza ule usumaku na huyu nae akitoka tu anaona mambo yanafunguka moja kwa moja, na hapa ndio unasikia watu wakisema yule mwanamke yuko na bahati ya kifedha kwa maana nikishiriki nae tendo moja kwa moja nakua nafanikiwa sana kwenye mambo yangu au utasikia watu wakisema fulani amepata ngekewa kwa maana tangu ampate yule mwanaume au mwanamke maisha yake yamebadilika sana kiuchumi (hii ni topic nyingine ambayo sitaizungumza kwenye huu uzi).

Mpenzi msomaji, nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia hapo awali, mtu kugundua njia ielekeayo kwenye hatima yake huwa ni ngumu sana hasa ukishakamatwa na maisha haya yaliyomo kwenye ulimwengu huu wa damu na nyama unajikuta unashindwa kufungua ile nguvu kuu iliyomo ndani mwako hata baada ya kuijua ile njia ielekeayo kwenye hatima yako na hii huwafanya watu wengi washindwe kuwa na muendelezo mzuri wa mafanikio ya kifedha yaani unakuta mtu anaanza vizuri ila kabla hajakaa sawa anajikuta ghafla mambo yamesimama yaani hayaendi tena na hii sio tu kwa watu waliobeba hatima za kiungu peke yao bali ni kwa watu wa hatima zote, ingawaje hawa watu waliobeba hatima za giza huwa ni rahisi sana kuziona njia zinazoelekea kwenye hatima zao na kunyanyua nguvu zao za asili kulinganisha na wale ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao na ndio maana nikakwambia watu wengi waliobeba hatima za kimungu ndio wanaongoza kuwa na maisha ya kimasikini, na kwa mfano huo basi niseme tu kwa asilimia kubwa uchumi wa dunia unashikiliwa sana na watu waliobeba hatima za upande wa giza ndani yao.

Wale watu ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao huwa ni ngumu sana kupata mafanikio kwa kufuata njia zile ambazo wale watu waliobeba hatima za giza huzifuata, na watu hawa nao wanaweza kufanikiwa pale ambapo wataamua kwa dhati ndani ya nafsi na mioyo yao kwamba wanataka kufanikiwa kwa kupitia upande huo, na hapa itawaladhimu wanyanyue zile nguvu hasi ambazo zimo ndani yao kwa uchache na wahakikishe wanazipeleka kwenye kiwango cha juu hadi kuzizidi zile nguvu zao za asili ambazo ni chanya au kama watawapata wenza ambao hatima zao ni za giza au watoto wao wa kuwazaa.

Watu hawa wakisema wafosi kufanikiwa kwa njia za kafara au kufanya biashara zilizo nje ya sheria na kanuni za kidunia yaani biashara zilizopo katika upande hasi huwa wanaishia tu kukamatwa na vyombo vya dola hata kabla hawajafika mbali na wakisema watoe kafara, watatoa kafara sana ila hawatopata mafanikio yoyote hadi pale watakapotumia njia ya kufosi kubadili upande kwa nguvu (ambayo ndio hiyo ya kunyanyua zile nguvu hasi na kuzipunguza nguvu chanya).

Lakini njia hii ya kubadili upande huwa inamadhara sana kwa watu wa kwenye kundi hili ila huwa inafaida sana kwa wale watu wa kundi lile la hasi kwasababu njia hii ya kubadili upande kwa nguvu huwa inapelekea mtu huyu aharibiwe zile nguvu za kiuungu ndani yake na awekewe nguvu za giza na hapa ndio utakuta mtu huyu anafanikiwa, na watu hawa wanapoiendea njia hiyo hasi katika mafanikio huwa ndio wale ambao wanafanikiwa kwa masharti makali, unakuta mtu anakua tajiri ndani ya miaka mitano au mitatu na baada ya hapo anakufa, watu wengi wa namna hii ni wale ambao wameamua kujiroot yaani kuipa uwezo wa ziada ile asilimia ndogo ya nguvu hasi iliyopo ndani yao hadi kufikia kiwango sawa na ile nguvu chanya au kuwa katika kiwango cha juu kabisa kuizidi ile nguvu chanya. Na wengine hufikia hatua ya kuiondoa kabisa ile nguvu chanya na kubaki na nguvu hasi na watu hawa wakifanikiwa kuwa matajiri huwa utajiri wao haudumu kwanza, na pili, kipindi watakapofilisika watafilisika kwa aibu sana na hawataweza tena kusimama maisha yao yote ya hapa duniani, watakua makapuku kiasi cha kukosa hata shilingi mia, watavaa nguo kuu kuu hadi zile zilizoshonelezwa viraka, kwa maana wameiroot nguvu yao yote na wakaiua ile nguvu yao ya asili kwahiyo wanakua hawana hatima tena hapa duniani, kifupi ni watu ambao wanakua wameziharibu roho zao na ndio hawa huwa tunasema roho zao zimepata uharibifu na ndio maana waliowengi huwa waganga wanaamuaga kuwa chukua na kuwafanya misukule, ndio wale nimesema hapo juu wanapata utajiri wa labda wamiaka mitano baada ya hapo unakufa, hapa huendi kwenye ulimwengu wa juu bali unabaki kwa mganga na atakutumikisha kwenye shughuli zake za kichawi.

Kwahiyo ukijiona wewe umeshaenda sana kwa waganga na umeshafanya sana yale yanayofanywa na wengine ili ufanikiwe lakini haufanikiwi tafadhali acha mara moja na utoke kwenye huo upande usije ukajawa na tamaa pamoja na vishawishi hadi kupelekea kufikia hatua ya kuiharibu roho yako, utateseka sana hapa duniani na nnakuhakikishia hakutakua na mganga wala mtu yeyote atakaekua na uwezo wa kulitibu hilo tatizo lako isipokua labda Mungu mwenyewe aamue kukupa nafasi nyingine ukiwa bado ungali hapa duniani au katika kizazi kijacho.

Na kwa wale watu ambao wamebeba nguvu zote katika usawa yaani nguvu chanya asilimia hamsini na nguvu hasi asilimia hamsini huwa wanafanikiwa kivyovyote na hili ndio kundi la watu ambao hawatesekagi kiuchumi wao maisha yao huwa ni ya bahati bahati sana kwa maana ukimpeleka gizani anafanikiwa na ukimpeleka nuruni anafanikiwa pia.

Hawa ndio watu ambao wanauwezo mkubwa wa kuwa manabii wa ukweli na uongo, kwa maana wanauwezo wa kutumia nguvu za giza ili waweze kuwa watu wakubwa sana katika imani za kiroho upande wa nuru na akafanikiwa kwa kiwango kikubwa sana, atafanya miujiza mikubwa na uponyaji ila upande ambao anausimamia ni upande wa giza, hawa ndio wanaongoza kuvuruga au kuwapoteza watu kiimani na kuwashawishi watu waweze kuingia kwenye imani ambazo hazipo kwenye ulimwengu wa nuru hasa wanapoamua kuwa manabii wa uongo.

Ni watu wenye nguvu sana kwenye kila eneo watakalokuwepo, wakisimama kama waharifu basi wanakua ni waharifu wa kimataifa dizaini ya kina Pablo Escoba na wakisimama kwenye upande wa mambo ya kufuata sheria basi wanakua ni watu waliofanikiwa sana upande huo, na ni watu wenye kutetea na kulinda kile walichonacho hata kwa kumwaga damu za watu wengine ambao wanawakosoa au wanapanga mipango ya kuwaharibia, ila pia ni watu wazuri na wenye roho safi kama utakwenda kwa namna ile wao wanataka uende, na watu wa namna hii huwa hawajali kuhusu urafiki kwahiyo ukivuka mipaka huwa hawajiulizi mara mbili kukupoteza.

Kama nilivyosema kwamba manabii wengi uchwara huwa wanaangukia kwenye hili eneo na viongozi wengi magaidi duniani au wale madikteta huwa wanaangukia kwenye eneo hili.

Na viongozi ambao wanatokea kwenye hili kundi huwa wanafanikiwa sana kwasababu huwa wanakua na nguvu, na neno lao huwa ni sheria, kwahiyo kutokana na sifa hiyo hupelekea watu ambao wanahudumu kwenye serikali zao kuwa wasikivu na wanyenyekevu na kubwa zaidi kuwa wanawaogopa kila wanapo tokea.

Na hizi sio sifa ambazo mtu anaweza kuzitengeneza mwenyewe, isipokua hizi ni sifa ambazo zipo kwenye hatima ya mtu, kutokana na kwamba, watu wenye sifa za namna hii kuweza kufanya vizuri kila sehemu watakayo wekwa au kujiweka, basi hatima zao huwa ni kubwa sana, na mara nyingi huwa zinafika hadi ngazi za kidunia.

Kwenye mambo ya kinchi asilimia kubwa ya watu wanaofanya vizuri kwenye mambo ya ulinzi na intelligencia huwa wanatokea kwenye hili kundi, kwasababu ni watu ambao yawezekana wakawa wapole na wenye uadilifu hasa wanapoanza kuinyanyua sehemu chanya ya nguvu iliyomo ndani ya roho zao, ila pia hawahitaji muda kubadilika na kuwa wauwaji ndio maana kwenye vita wakipelekwa ni watu ambao wanakua na uwezo wa kuchinja kunyonga na kulinda pia kitu ambacho mtu mwenye nguvu chanya zilizojitokeza zaidi ya nguvu hasi ndani yake, hawezi kufanya.

Na uzuri wa watu hawa wanakua ni wazuri kwenye maeneo ya ulinzi kwasababu huwa wako na sifa zote mbili katika uwiano ulio sawa kwahiyo huwa wanajua kulinda na kushambulia ila wale walio na sifa ya upande hasi yenye nguvu zaidi ya ile ya upande chanya huwa ni watu ambao hawana sifa nzuri ya kulinda na ndio maana wengi huwa wanaangukia kwenye eneo la uharifu yaani ujambazi au uhasi na kufanya mauaji kwa watu wasio na hatia na wao wala hawajali chochote.

Pia hata madaktari wengi wanatokea kwenye hili eneo hasa wale wanaojihusisha zaidi na mambo ya upasuaji na hata waganga wa kienyeji ambao huwa wanafanya mambo yao kiuhalisia na walio na nguvu za kweli za kiuganga huwa wanatokea kwenye hili eneo.

Najua unamjua mwalimu wenu mmoja ambae yeye akitokea tu huwa wanafunzi wote wanamuogopa na ndio mwalimu maarufu sana hapo shuleni, na ndio mwalimu ambae aliongoza kutungiwa majina mengi ya utani, na walimu wa namna hii huwa wanapewa uongozi hasa kwenye kitengo kile cha nidhamu.

Sasa hao walimu, wengi huwa ni watu ambao wanatokea kwenye hili kundi, na watu wa namna hii sio tu shuleni bali hata nyumbani unakuta akitokea tu, watoto hata wakiwa wanaangalia TV huku wanapiga stori wanatulia kwanza na kila mmoja anajiweka vizuri, na baba akija kukaa hapo sebuleni utaona kila mtu anatafuta namna ya kutoka eneo lile kwa wakati wake mwenyewe.

Na unaweza ukajiuliza kwanini hili eneo huwa linatoa watu wengi wenye uwezo mkubwa kwenye vitu wavifanyavyo, na jibu ni kwamba hili eneo linakuwa na muunganiko wa moja kwa moja na dunia, kwa maana asili ya dunia ni nguvu hasi na chanya sasa ikitokea mtu mmoja akawa na asili ya namna hii yaani ya nguvu hasi na chanya zilizo katika usawa huwa tunasema ni kama dunia iliyo ndani ya mtu, kwahiyo mambo mengi ya kubadili au kuongoza kwenye hii dunia katika mifumo mbalimbali huwa inakua rahisi sana mikononi mwa watu hawa.

Na nikwambie tu watu hawa hawako wengi duniani na wanatokea kwa mara chache sana na endapo wakitokea huwa wanapofanya mambo yao kuwazuia mtatumia nguvu sana na ndio maana waharifu wengi wanaotokea kwenye kundi hili huwa wanasumbua sana dunia, na kibaya zaidi hawa watu huwa wanazaliwa na nguvu asili ya ulimwengu kwahiyo hata kurogeka huwa hawarogeki kizembe au huwa hawarogeki kabisa.

Huwa wanakua na uwezo mkubwa wa kuyaelewa mambo mbalimbali ya ulimwengu na ni watu ambao ukikutana nao ukiwapa kila mada wao wanaichangia vizuri kabisa, ni watu ambao ni rahisi kujifunza mambo mbalimbali na huwa ni kawaida sana hata kuwashuhudia wengi wakijua lugha za makabila au mataifa mbalimbali yaani wengi wanakua wanauwezo wa kuongea lugha nyingi.

Kwenye mahusiano hawa ni watu ambao huwa hawaumizwi kabisa na mambo ya mapenzi kwanza sio watu wanaojal,i kwahiyo hata wakiachwa wala haiwaumi na ni watu ambao hawadumu sana kwenye maswala ya ndoa hasa kama watapata wenza ambao sio waelewa yaani watu hawa huwa wanaongoza kuwa singo na wengine wanaweza wakawa singo hadi uzeeni hasa kama hawatopata watu wanao endana ki sifa.

Hawako romantic na wala hawana huruma kiivyo, kwahiyo inaweza ikatokea umekaa hapo unalia na yeye akawa amekaa zake pembeni anakuangalia tu na wala hana muda wa kukubembeleza, na sifa hii pia ipo kwa watu walio na nguvu hasi zaidi ya nguvu chanya.

Ila ndio kundi hatari sana na ni kundi ambalo linahitaji uangalizi wa kiroho ili kuwasaidia kunyanyua upande wao chanya kwasababu ni kama nilivyokuambia hawa watu mzani wa nguvu zao za asili umebalance kwahiyo imani zao juu ya mambo ya kiroho huwa ni hamsini kwa hamsini ila unapomsaidia kunyanyua upande wake chanya utamsaidia imani ya upande wa nuru ikue kuliko ya upande wa giza ila ukimuacha na akanyanyua upande wake hasi basi atasumbua sana kwenye giza atakaloamua kulitumikia.

Hawa ndio watu wa aina ya kina Sauli kwenye biblia na nadhani unaijua shughuli ya Sauli alipoachwa bila kupewa usaidizi wa kunyanyua upande chanya wa nguvu zake za kiroho na badala yake alinyanyua nguvu hasi na kupelekea kuwa mtu muuaji mkubwa hadi pale Mungu mwenyewe alipomtokea na kumtia upofu, zingatia sana kwenye hilo neno upofu, kwa maana sio upofu wa macho ila ni upofu wa kile alichokua anakiamini na kuoneshwa njia sahihi impasayo kupita na hapo ndipo alipokuwa Paulo, ambae wote tunajua mchango wake katika upande wa dini ya kikristo. Kwahiyo Sauli ambae baadae alikuja kuitwa Paulo ni mfano mzuri wa watu wa namna hii.

Kutokana na ugumu uliopo wa kuweza kumjua mwanao kama yuko kwenye kundi hili au lile, hivyo basi jitahidi sana kuwapeleka watoto wako au kuwahimiza kwenda kwenye mafundisho ya kiimani ya dini yako, haijalishi wewe unaamini au hauamini iwe unahudhuria ibada au hauhudhurii ila kwa kufanya hivyo utamsaidia mtoto ambae anatokea kwenye kundi hili aweze kuinyanyua nguvu chanya iliyopo ndani yake kuliko ile hasi na hapa ndipo utakapomuona mwanao anafanya mambo makubwa katika huu ulimwengu.

… kwa sasa wacha niishie hapa ila katika post inayofuata bado nitabaki hapa hapa kwenye nguvu za asili na nitakuja kukuelezea sasa kwanini nilisema watu waliobeba nguvu chanya au hatima za kiungu huwa wanaongoza kuwa masikini na kwanini uchumi wa dunia unaongozwa na watu waliobeba nguvu hasi yaani wale wenye hatima za kishetani.
NAOMBA ufafanuzi hapo kwenye Mahusianomwanaume mwenye chanya anaweza kumpa nguvu za uchanya mwanamke mwenye asili za HASI na je hizo hazi za mwanamke zinaenda wapi , je na yeye HASI zake haziendi Kwa mwanaume au zinapotelea wapi?
Tunaona chanya zinaenda Kwa mwenye HASI na yule mwenye HASI muda huo anapiipokea chanya zakwake HASI zinaenda Kwa mwenye chanya au vipi au hizo HASI zinapotea wapi???
 
KIPANDE CHA NNE.

Sasa ukisoma huu uzi kwa umakini hadi kufikia hapa utaona nimezungumzia vitu viwili tofauti, nimezungumzia hatima lakini pia nimezungumzia nguvu za asili ambazo ziko ndani ya watu.

Sasa hapa nataka niweke uunganifu kidogo ili nisikuchanganye, ni kwamba kwenye hatima ndiko kuliko na nguvu ya umiliki wa fedha na mali na nguvu ya asili ndio nguvu ya ulinzi ambayo itakusaidia kupambana na vita zote zinazoendelea katika ulimwengu wa kiroho.

Kwahiyo mafanikio yanaanza kuonekana punde tu mtu anapoielekea njia ya hatima yake ila sasa shida ya mafanikio ya hivi huwa yanakua hayako stable kwa maana ni rahisi sana kuwekewa unajisi na kurudishwa nyuma na watu wanaojua hii michezo ya kiroho upande wa gizani.

Kumbuka, watu wote waliofanikiwa na wakawa na mafanikio ambayo hayatetereki ni wale ambao wameweza kujiungamanisha na upande wao wa kiroho kwa asilimia 100. Sasa ili uweze kujiungamanisha na upande wako wa kiroho kwa asilimia hizo ni lazima unyanyue nguvu zako za asili punde tu utakapojigundua kwamba tayari umeanza kuiendea ile njia ya hatima yako na madhara ya kutokufanya hivi nitayaelezea hapo chini kidogo.

Lakini kwa sasa nataka nizue taharuki kidogo hapo chini lakini ukisoma wala usiogope kwasababu ni kawaida na ndio asili ya ulimwengu ulivyo.

Kama utakua na kumbukumbu vizuri ni kwamba mwanzo nilikwambia watu wameumbwa kwa nguvu hasi na chanya, ambazo nguvu hasi ni giza na nguvu chanya ni nuru, sasa kutokana na hili unatakiwa uwe na uhakika kwamba hapa duniani kuna watu wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kishetani lakini pia wako watu ambao wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kiungu.

Na kutokana na huu mchanganyiko wa watu kubeba hatima zinazo kinzana ndio hasa hupelekea dunia kuwa uwanja wa vita vya hatima, na hii ni vita mbaya sana kwa maana ni vita ambayo haipiganwi katika ulimwengu wa damu na nyama ila ni vita inayopiganwa kwenye ulimwengu wa kiroho kwahiyo huwezi kuona katika macho haya ya kawaida ila ukipigwa unaweza kuhisi tu hali ya mabadiliko katika mwili wako au maisha yako kwa kuzingatia dalili kadha wa kadha.

Njia pekee ya kushinda hizi vita ni kunyanyua nguvu za asili zilizopo ndani yako na usijiukize how kwa maana nitalijibu hilo swali kwa kadri tunavyoenda.

Wacha niendelee kukupatia sifa za hizi nguvu za asili kama ambavyo nilikuahidi kwenye kipande kilichopita ili ikusaidie kukufungulia codes wakati tunaendelea kutengeneza muunganiko wa kujibu swali la msingi la namna gani dunia ikawa ni uwanja wa vita vya hatima ingawaje hadi sasa umeshajua pande zinazopigana hii vita ni zipi.

Sasa basi, kutokana na utofauti huo wa nguvu za asili pamoja na hatima zilizopo ndani ya mtu na mtu, yakupasa uwe na uhakika kwamba hata kwenye njia zao za kufungua nguvu za asili zilizopo ndani yao huwa ni tofauti na hata njia za mafanikio yao huwa hazifanani, wacha tuone hapa chini kidogo.

UTOFAUTI WA NJIA ZA MAFANIKIO KULINGANA NA NGUVU ZA ASILI ZILIZOMO NDANI YETU.​


Mtu ambae amekuja hapa duniani kwaajiri ya kutimiza hatima iliyo upande hasi mara nyingi huwa ni ngumu sana kufanikiwa kiuchumi endapo atafuata zile njia ambazo mtu aliyebeba hatima iliyo upande chanya anazitekeleza hasa kama moyo na nafsi yake bado hautaki kutoka kwenye huo upande ambao yeye yupo. Na ninaomba kueleweka vizuri hapa sijasema haiwezekani,ila anaweza kufanikiwa kwa kufuata njia hizo endapo yeye mwenyewe ataamua kwa dhati kutoka ndani ya nafsi yake kutoka kwenye huo upande aliopo kwa kunyanyua ile nguvu chanya iliyo kwa kiasi kidogo ndani yake hadi ifikie kiwango cha juu kuizidi ile nguvu yake ya asili ambayo ni hasi, au akaunganishwa na mtu mwenye nguvu chanya yaani mume au mke au hata mtoto aliyemzaa na hapa ataweza kutembelea mgongo wa huyo mkewe au mumewe au mtoto wake nae akafanikiwa kupitia wao.

Hapa namaanisha unakuta mtu ambae hatima iliyomo ndani ya roho yake ni ile ya hasi ila bado hajaanza kuihangaikia ili aweze kuinyanyua apate kufanikiwa kwa maana anaendelea kuteseka bado, lakini ghafla anakuja kupata mwanamke au mwanaume ambae yeye amebeba hatima ya upande chanya ndani ya roho yake na huyu aliyebeba hatima ya upande huu wa chanya akawa ameshaiona njia inayoelekea kwenye hatima yake kwahiyo pesa anayo, na kwakupitia pesa zake anakua na uwezo wa kumsaidia mwenzie na kadri wanavyoshiriki tendo la ndoa anakua anamuambukiza ule usumaku na huyu nae akitoka tu anaona mambo yanafunguka moja kwa moja, na hapa ndio unasikia watu wakisema yule mwanamke yuko na bahati ya kifedha kwa maana nikishiriki nae tendo moja kwa moja nakua nafanikiwa sana kwenye mambo yangu au utasikia watu wakisema fulani amepata ngekewa kwa maana tangu ampate yule mwanaume au mwanamke maisha yake yamebadilika sana kiuchumi (hii ni topic nyingine ambayo sitaizungumza kwenye huu uzi).

Mpenzi msomaji, nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia hapo awali, mtu kugundua njia ielekeayo kwenye hatima yake huwa ni ngumu sana hasa ukishakamatwa na maisha haya yaliyomo kwenye ulimwengu huu wa damu na nyama unajikuta unashindwa kufungua ile nguvu kuu iliyomo ndani mwako hata baada ya kuijua ile njia ielekeayo kwenye hatima yako na hii huwafanya watu wengi washindwe kuwa na muendelezo mzuri wa mafanikio ya kifedha yaani unakuta mtu anaanza vizuri ila kabla hajakaa sawa anajikuta ghafla mambo yamesimama yaani hayaendi tena na hii sio tu kwa watu waliobeba hatima za kiungu peke yao bali ni kwa watu wa hatima zote, ingawaje hawa watu waliobeba hatima za giza huwa ni rahisi sana kuziona njia zinazoelekea kwenye hatima zao na kunyanyua nguvu zao za asili kulinganisha na wale ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao na ndio maana nikakwambia watu wengi waliobeba hatima za kimungu ndio wanaongoza kuwa na maisha ya kimasikini, na kwa mfano huo basi niseme tu kwa asilimia kubwa uchumi wa dunia unashikiliwa sana na watu waliobeba hatima za upande wa giza ndani yao.

Wale watu ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao huwa ni ngumu sana kupata mafanikio kwa kufuata njia zile ambazo wale watu waliobeba hatima za giza huzifuata, na watu hawa nao wanaweza kufanikiwa pale ambapo wataamua kwa dhati ndani ya nafsi na mioyo yao kwamba wanataka kufanikiwa kwa kupitia upande huo, na hapa itawaladhimu wanyanyue zile nguvu hasi ambazo zimo ndani yao kwa uchache na wahakikishe wanazipeleka kwenye kiwango cha juu hadi kuzizidi zile nguvu zao za asili ambazo ni chanya au kama watawapata wenza ambao hatima zao ni za giza au watoto wao wa kuwazaa.

Watu hawa wakisema wafosi kufanikiwa kwa njia za kafara au kufanya biashara zilizo nje ya sheria na kanuni za kidunia yaani biashara zilizopo katika upande hasi huwa wanaishia tu kukamatwa na vyombo vya dola hata kabla hawajafika mbali na wakisema watoe kafara, watatoa kafara sana ila hawatopata mafanikio yoyote hadi pale watakapotumia njia ya kufosi kubadili upande kwa nguvu (ambayo ndio hiyo ya kunyanyua zile nguvu hasi na kuzipunguza nguvu chanya).

Lakini njia hii ya kubadili upande huwa inamadhara sana kwa watu wa kwenye kundi hili ila huwa inafaida sana kwa wale watu wa kundi lile la hasi kwasababu njia hii ya kubadili upande kwa nguvu huwa inapelekea mtu huyu aharibiwe zile nguvu za kiuungu ndani yake na awekewe nguvu za giza na hapa ndio utakuta mtu huyu anafanikiwa, na watu hawa wanapoiendea njia hiyo hasi katika mafanikio huwa ndio wale ambao wanafanikiwa kwa masharti makali, unakuta mtu anakua tajiri ndani ya miaka mitano au mitatu na baada ya hapo anakufa, watu wengi wa namna hii ni wale ambao wameamua kujiroot yaani kuipa uwezo wa ziada ile asilimia ndogo ya nguvu hasi iliyopo ndani yao hadi kufikia kiwango sawa na ile nguvu chanya au kuwa katika kiwango cha juu kabisa kuizidi ile nguvu chanya. Na wengine hufikia hatua ya kuiondoa kabisa ile nguvu chanya na kubaki na nguvu hasi na watu hawa wakifanikiwa kuwa matajiri huwa utajiri wao haudumu kwanza, na pili, kipindi watakapofilisika watafilisika kwa aibu sana na hawataweza tena kusimama maisha yao yote ya hapa duniani, watakua makapuku kiasi cha kukosa hata shilingi mia, watavaa nguo kuu kuu hadi zile zilizoshonelezwa viraka, kwa maana wameiroot nguvu yao yote na wakaiua ile nguvu yao ya asili kwahiyo wanakua hawana hatima tena hapa duniani, kifupi ni watu ambao wanakua wameziharibu roho zao na ndio hawa huwa tunasema roho zao zimepata uharibifu na ndio maana waliowengi huwa waganga wanaamuaga kuwa chukua na kuwafanya misukule, ndio wale nimesema hapo juu wanapata utajiri wa labda wamiaka mitano baada ya hapo unakufa, hapa huendi kwenye ulimwengu wa juu bali unabaki kwa mganga na atakutumikisha kwenye shughuli zake za kichawi.

Kwahiyo ukijiona wewe umeshaenda sana kwa waganga na umeshafanya sana yale yanayofanywa na wengine ili ufanikiwe lakini haufanikiwi tafadhali acha mara moja na utoke kwenye huo upande usije ukajawa na tamaa pamoja na vishawishi hadi kupelekea kufikia hatua ya kuiharibu roho yako, utateseka sana hapa duniani na nnakuhakikishia hakutakua na mganga wala mtu yeyote atakaekua na uwezo wa kulitibu hilo tatizo lako isipokua labda Mungu mwenyewe aamue kukupa nafasi nyingine ukiwa bado ungali hapa duniani au katika kizazi kijacho.

Na kwa wale watu ambao wamebeba nguvu zote katika usawa yaani nguvu chanya asilimia hamsini na nguvu hasi asilimia hamsini huwa wanafanikiwa kivyovyote na hili ndio kundi la watu ambao hawatesekagi kiuchumi wao maisha yao huwa ni ya bahati bahati sana kwa maana ukimpeleka gizani anafanikiwa na ukimpeleka nuruni anafanikiwa pia.

Hawa ndio watu ambao wanauwezo mkubwa wa kuwa manabii wa ukweli na uongo, kwa maana wanauwezo wa kutumia nguvu za giza ili waweze kuwa watu wakubwa sana katika imani za kiroho upande wa nuru na akafanikiwa kwa kiwango kikubwa sana, atafanya miujiza mikubwa na uponyaji ila upande ambao anausimamia ni upande wa giza, hawa ndio wanaongoza kuvuruga au kuwapoteza watu kiimani na kuwashawishi watu waweze kuingia kwenye imani ambazo hazipo kwenye ulimwengu wa nuru hasa wanapoamua kuwa manabii wa uongo.

Ni watu wenye nguvu sana kwenye kila eneo watakalokuwepo, wakisimama kama waharifu basi wanakua ni waharifu wa kimataifa dizaini ya kina Pablo Escoba na wakisimama kwenye upande wa mambo ya kufuata sheria basi wanakua ni watu waliofanikiwa sana upande huo, na ni watu wenye kutetea na kulinda kile walichonacho hata kwa kumwaga damu za watu wengine ambao wanawakosoa au wanapanga mipango ya kuwaharibia, ila pia ni watu wazuri na wenye roho safi kama utakwenda kwa namna ile wao wanataka uende, na watu wa namna hii huwa hawajali kuhusu urafiki kwahiyo ukivuka mipaka huwa hawajiulizi mara mbili kukupoteza.

Kama nilivyosema kwamba manabii wengi uchwara huwa wanaangukia kwenye hili eneo na viongozi wengi magaidi duniani au wale madikteta huwa wanaangukia kwenye eneo hili.

Na viongozi ambao wanatokea kwenye hili kundi huwa wanafanikiwa sana kwasababu huwa wanakua na nguvu, na neno lao huwa ni sheria, kwahiyo kutokana na sifa hiyo hupelekea watu ambao wanahudumu kwenye serikali zao kuwa wasikivu na wanyenyekevu na kubwa zaidi kuwa wanawaogopa kila wanapo tokea.

Na hizi sio sifa ambazo mtu anaweza kuzitengeneza mwenyewe, isipokua hizi ni sifa ambazo zipo kwenye hatima ya mtu, kutokana na kwamba, watu wenye sifa za namna hii kuweza kufanya vizuri kila sehemu watakayo wekwa au kujiweka, basi hatima zao huwa ni kubwa sana, na mara nyingi huwa zinafika hadi ngazi za kidunia.

Kwenye mambo ya kinchi asilimia kubwa ya watu wanaofanya vizuri kwenye mambo ya ulinzi na intelligencia huwa wanatokea kwenye hili kundi, kwasababu ni watu ambao yawezekana wakawa wapole na wenye uadilifu hasa wanapoanza kuinyanyua sehemu chanya ya nguvu iliyomo ndani ya roho zao, ila pia hawahitaji muda kubadilika na kuwa wauwaji ndio maana kwenye vita wakipelekwa ni watu ambao wanakua na uwezo wa kuchinja kunyonga na kulinda pia kitu ambacho mtu mwenye nguvu chanya zilizojitokeza zaidi ya nguvu hasi ndani yake, hawezi kufanya.

Na uzuri wa watu hawa wanakua ni wazuri kwenye maeneo ya ulinzi kwasababu huwa wako na sifa zote mbili katika uwiano ulio sawa kwahiyo huwa wanajua kulinda na kushambulia ila wale walio na sifa ya upande hasi yenye nguvu zaidi ya ile ya upande chanya huwa ni watu ambao hawana sifa nzuri ya kulinda na ndio maana wengi huwa wanaangukia kwenye eneo la uharifu yaani ujambazi au uhasi na kufanya mauaji kwa watu wasio na hatia na wao wala hawajali chochote.

Pia hata madaktari wengi wanatokea kwenye hili eneo hasa wale wanaojihusisha zaidi na mambo ya upasuaji na hata waganga wa kienyeji ambao huwa wanafanya mambo yao kiuhalisia na walio na nguvu za kweli za kiuganga huwa wanatokea kwenye hili eneo.

Najua unamjua mwalimu wenu mmoja ambae yeye akitokea tu huwa wanafunzi wote wanamuogopa na ndio mwalimu maarufu sana hapo shuleni, na ndio mwalimu ambae aliongoza kutungiwa majina mengi ya utani, na walimu wa namna hii huwa wanapewa uongozi hasa kwenye kitengo kile cha nidhamu.

Sasa hao walimu, wengi huwa ni watu ambao wanatokea kwenye hili kundi, na watu wa namna hii sio tu shuleni bali hata nyumbani unakuta akitokea tu, watoto hata wakiwa wanaangalia TV huku wanapiga stori wanatulia kwanza na kila mmoja anajiweka vizuri, na baba akija kukaa hapo sebuleni utaona kila mtu anatafuta namna ya kutoka eneo lile kwa wakati wake mwenyewe.

Na unaweza ukajiuliza kwanini hili eneo huwa linatoa watu wengi wenye uwezo mkubwa kwenye vitu wavifanyavyo, na jibu ni kwamba hili eneo linakuwa na muunganiko wa moja kwa moja na dunia, kwa maana asili ya dunia ni nguvu hasi na chanya sasa ikitokea mtu mmoja akawa na asili ya namna hii yaani ya nguvu hasi na chanya zilizo katika usawa huwa tunasema ni kama dunia iliyo ndani ya mtu, kwahiyo mambo mengi ya kubadili au kuongoza kwenye hii dunia katika mifumo mbalimbali huwa inakua rahisi sana mikononi mwa watu hawa.

Na nikwambie tu watu hawa hawako wengi duniani na wanatokea kwa mara chache sana na endapo wakitokea huwa wanapofanya mambo yao kuwazuia mtatumia nguvu sana na ndio maana waharifu wengi wanaotokea kwenye kundi hili huwa wanasumbua sana dunia, na kibaya zaidi hawa watu huwa wanazaliwa na nguvu asili ya ulimwengu kwahiyo hata kurogeka huwa hawarogeki kizembe au huwa hawarogeki kabisa.

Huwa wanakua na uwezo mkubwa wa kuyaelewa mambo mbalimbali ya ulimwengu na ni watu ambao ukikutana nao ukiwapa kila mada wao wanaichangia vizuri kabisa, ni watu ambao ni rahisi kujifunza mambo mbalimbali na huwa ni kawaida sana hata kuwashuhudia wengi wakijua lugha za makabila au mataifa mbalimbali yaani wengi wanakua wanauwezo wa kuongea lugha nyingi.

Kwenye mahusiano hawa ni watu ambao huwa hawaumizwi kabisa na mambo ya mapenzi kwanza sio watu wanaojal,i kwahiyo hata wakiachwa wala haiwaumi na ni watu ambao hawadumu sana kwenye maswala ya ndoa hasa kama watapata wenza ambao sio waelewa yaani watu hawa huwa wanaongoza kuwa singo na wengine wanaweza wakawa singo hadi uzeeni hasa kama hawatopata watu wanao endana ki sifa.

Hawako romantic na wala hawana huruma kiivyo, kwahiyo inaweza ikatokea umekaa hapo unalia na yeye akawa amekaa zake pembeni anakuangalia tu na wala hana muda wa kukubembeleza, na sifa hii pia ipo kwa watu walio na nguvu hasi zaidi ya nguvu chanya.

Ila ndio kundi hatari sana na ni kundi ambalo linahitaji uangalizi wa kiroho ili kuwasaidia kunyanyua upande wao chanya kwasababu ni kama nilivyokuambia hawa watu mzani wa nguvu zao za asili umebalance kwahiyo imani zao juu ya mambo ya kiroho huwa ni hamsini kwa hamsini ila unapomsaidia kunyanyua upande wake chanya utamsaidia imani ya upande wa nuru ikue kuliko ya upande wa giza ila ukimuacha na akanyanyua upande wake hasi basi atasumbua sana kwenye giza atakaloamua kulitumikia.

Hawa ndio watu wa aina ya kina Sauli kwenye biblia na nadhani unaijua shughuli ya Sauli alipoachwa bila kupewa usaidizi wa kunyanyua upande chanya wa nguvu zake za kiroho na badala yake alinyanyua nguvu hasi na kupelekea kuwa mtu muuaji mkubwa hadi pale Mungu mwenyewe alipomtokea na kumtia upofu, zingatia sana kwenye hilo neno upofu, kwa maana sio upofu wa macho ila ni upofu wa kile alichokua anakiamini na kuoneshwa njia sahihi impasayo kupita na hapo ndipo alipokuwa Paulo, ambae wote tunajua mchango wake katika upande wa dini ya kikristo. Kwahiyo Sauli ambae baadae alikuja kuitwa Paulo ni mfano mzuri wa watu wa namna hii.

Kutokana na ugumu uliopo wa kuweza kumjua mwanao kama yuko kwenye kundi hili au lile, hivyo basi jitahidi sana kuwapeleka watoto wako au kuwahimiza kwenda kwenye mafundisho ya kiimani ya dini yako, haijalishi wewe unaamini au hauamini iwe unahudhuria ibada au hauhudhurii ila kwa kufanya hivyo utamsaidia mtoto ambae anatokea kwenye kundi hili aweze kuinyanyua nguvu chanya iliyopo ndani yake kuliko ile hasi na hapa ndipo utakapomuona mwanao anafanya mambo makubwa katika huu ulimwengu.

… kwa sasa wacha niishie hapa ila katika post inayofuata bado nitabaki hapa hapa kwenye nguvu za asili na nitakuja kukuelezea sasa kwanini nilisema watu waliobeba nguvu chanya au hatima za kiungu huwa wanaongoza kuwa masikini na kwanini uchumi wa dunia unaongozwa na watu waliobeba nguvu hasi yaani wale wenye hatima za kishetani.
Tunaomba muendelezo,

Na kingine,

NAOMBA ufafanuzi ,uliposema mtu anapo Anza kujitambua njia ya Hatma yake Ili aipite vema, anaitaji kuongezea kiwango chake Cha kiroho ,


Hapo ungetilia mkazo,
Hatma na kiwango Cha kiroho vinauhusiano Gani,

KUSUDI la mtu kuwepo linaweza kuibiwa, KUSUDI la mtu kuwepo ni mpaka awe wa kiroho ndio linatimia au vipi,
 
KIPANDE CHA NNE.

Sasa ukisoma huu uzi kwa umakini hadi kufikia hapa utaona nimezungumzia vitu viwili tofauti, nimezungumzia hatima lakini pia nimezungumzia nguvu za asili ambazo ziko ndani ya watu.

Sasa hapa nataka niweke uunganifu kidogo ili nisikuchanganye, ni kwamba kwenye hatima ndiko kuliko na nguvu ya umiliki wa fedha na mali na nguvu ya asili ndio nguvu ya ulinzi ambayo itakusaidia kupambana na vita zote zinazoendelea katika ulimwengu wa kiroho.

Kwahiyo mafanikio yanaanza kuonekana punde tu mtu anapoielekea njia ya hatima yake ila sasa shida ya mafanikio ya hivi huwa yanakua hayako stable kwa maana ni rahisi sana kuwekewa unajisi na kurudishwa nyuma na watu wanaojua hii michezo ya kiroho upande wa gizani.

Kumbuka, watu wote waliofanikiwa na wakawa na mafanikio ambayo hayatetereki ni wale ambao wameweza kujiungamanisha na upande wao wa kiroho kwa asilimia 100. Sasa ili uweze kujiungamanisha na upande wako wa kiroho kwa asilimia hizo ni lazima unyanyue nguvu zako za asili punde tu utakapojigundua kwamba tayari umeanza kuiendea ile njia ya hatima yako na madhara ya kutokufanya hivi nitayaelezea hapo chini kidogo.

Lakini kwa sasa nataka nizue taharuki kidogo hapo chini lakini ukisoma wala usiogope kwasababu ni kawaida na ndio asili ya ulimwengu ulivyo.

Kama utakua na kumbukumbu vizuri ni kwamba mwanzo nilikwambia watu wameumbwa kwa nguvu hasi na chanya, ambazo nguvu hasi ni giza na nguvu chanya ni nuru, sasa kutokana na hili unatakiwa uwe na uhakika kwamba hapa duniani kuna watu wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kishetani lakini pia wako watu ambao wamezaliwa wakiwa wamebeba hatima za kiungu.

Na kutokana na huu mchanganyiko wa watu kubeba hatima zinazo kinzana ndio hasa hupelekea dunia kuwa uwanja wa vita vya hatima, na hii ni vita mbaya sana kwa maana ni vita ambayo haipiganwi katika ulimwengu wa damu na nyama ila ni vita inayopiganwa kwenye ulimwengu wa kiroho kwahiyo huwezi kuona katika macho haya ya kawaida ila ukipigwa unaweza kuhisi tu hali ya mabadiliko katika mwili wako au maisha yako kwa kuzingatia dalili kadha wa kadha.

Njia pekee ya kushinda hizi vita ni kunyanyua nguvu za asili zilizopo ndani yako na usijiukize how kwa maana nitalijibu hilo swali kwa kadri tunavyoenda.

Wacha niendelee kukupatia sifa za hizi nguvu za asili kama ambavyo nilikuahidi kwenye kipande kilichopita ili ikusaidie kukufungulia codes wakati tunaendelea kutengeneza muunganiko wa kujibu swali la msingi la namna gani dunia ikawa ni uwanja wa vita vya hatima ingawaje hadi sasa umeshajua pande zinazopigana hii vita ni zipi.

Sasa basi, kutokana na utofauti huo wa nguvu za asili pamoja na hatima zilizopo ndani ya mtu na mtu, yakupasa uwe na uhakika kwamba hata kwenye njia zao za kufungua nguvu za asili zilizopo ndani yao huwa ni tofauti na hata njia za mafanikio yao huwa hazifanani, wacha tuone hapa chini kidogo.

UTOFAUTI WA NJIA ZA MAFANIKIO KULINGANA NA NGUVU ZA ASILI ZILIZOMO NDANI YETU.​


Mtu ambae amekuja hapa duniani kwaajiri ya kutimiza hatima iliyo upande hasi mara nyingi huwa ni ngumu sana kufanikiwa kiuchumi endapo atafuata zile njia ambazo mtu aliyebeba hatima iliyo upande chanya anazitekeleza hasa kama moyo na nafsi yake bado hautaki kutoka kwenye huo upande ambao yeye yupo. Na ninaomba kueleweka vizuri hapa sijasema haiwezekani,ila anaweza kufanikiwa kwa kufuata njia hizo endapo yeye mwenyewe ataamua kwa dhati kutoka ndani ya nafsi yake kutoka kwenye huo upande aliopo kwa kunyanyua ile nguvu chanya iliyo kwa kiasi kidogo ndani yake hadi ifikie kiwango cha juu kuizidi ile nguvu yake ya asili ambayo ni hasi, au akaunganishwa na mtu mwenye nguvu chanya yaani mume au mke au hata mtoto aliyemzaa na hapa ataweza kutembelea mgongo wa huyo mkewe au mumewe au mtoto wake nae akafanikiwa kupitia wao.

Hapa namaanisha unakuta mtu ambae hatima iliyomo ndani ya roho yake ni ile ya hasi ila bado hajaanza kuihangaikia ili aweze kuinyanyua apate kufanikiwa kwa maana anaendelea kuteseka bado, lakini ghafla anakuja kupata mwanamke au mwanaume ambae yeye amebeba hatima ya upande chanya ndani ya roho yake na huyu aliyebeba hatima ya upande huu wa chanya akawa ameshaiona njia inayoelekea kwenye hatima yake kwahiyo pesa anayo, na kwakupitia pesa zake anakua na uwezo wa kumsaidia mwenzie na kadri wanavyoshiriki tendo la ndoa anakua anamuambukiza ule usumaku na huyu nae akitoka tu anaona mambo yanafunguka moja kwa moja, na hapa ndio unasikia watu wakisema yule mwanamke yuko na bahati ya kifedha kwa maana nikishiriki nae tendo moja kwa moja nakua nafanikiwa sana kwenye mambo yangu au utasikia watu wakisema fulani amepata ngekewa kwa maana tangu ampate yule mwanaume au mwanamke maisha yake yamebadilika sana kiuchumi (hii ni topic nyingine ambayo sitaizungumza kwenye huu uzi).

Mpenzi msomaji, nadhani unakumbuka kwamba nilikwambia hapo awali, mtu kugundua njia ielekeayo kwenye hatima yake huwa ni ngumu sana hasa ukishakamatwa na maisha haya yaliyomo kwenye ulimwengu huu wa damu na nyama unajikuta unashindwa kufungua ile nguvu kuu iliyomo ndani mwako hata baada ya kuijua ile njia ielekeayo kwenye hatima yako na hii huwafanya watu wengi washindwe kuwa na muendelezo mzuri wa mafanikio ya kifedha yaani unakuta mtu anaanza vizuri ila kabla hajakaa sawa anajikuta ghafla mambo yamesimama yaani hayaendi tena na hii sio tu kwa watu waliobeba hatima za kiungu peke yao bali ni kwa watu wa hatima zote, ingawaje hawa watu waliobeba hatima za giza huwa ni rahisi sana kuziona njia zinazoelekea kwenye hatima zao na kunyanyua nguvu zao za asili kulinganisha na wale ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao na ndio maana nikakwambia watu wengi waliobeba hatima za kimungu ndio wanaongoza kuwa na maisha ya kimasikini, na kwa mfano huo basi niseme tu kwa asilimia kubwa uchumi wa dunia unashikiliwa sana na watu waliobeba hatima za upande wa giza ndani yao.

Wale watu ambao wamebeba hatima za kimungu ndani yao huwa ni ngumu sana kupata mafanikio kwa kufuata njia zile ambazo wale watu waliobeba hatima za giza huzifuata, na watu hawa nao wanaweza kufanikiwa pale ambapo wataamua kwa dhati ndani ya nafsi na mioyo yao kwamba wanataka kufanikiwa kwa kupitia upande huo, na hapa itawaladhimu wanyanyue zile nguvu hasi ambazo zimo ndani yao kwa uchache na wahakikishe wanazipeleka kwenye kiwango cha juu hadi kuzizidi zile nguvu zao za asili ambazo ni chanya au kama watawapata wenza ambao hatima zao ni za giza au watoto wao wa kuwazaa.

Watu hawa wakisema wafosi kufanikiwa kwa njia za kafara au kufanya biashara zilizo nje ya sheria na kanuni za kidunia yaani biashara zilizopo katika upande hasi huwa wanaishia tu kukamatwa na vyombo vya dola hata kabla hawajafika mbali na wakisema watoe kafara, watatoa kafara sana ila hawatopata mafanikio yoyote hadi pale watakapotumia njia ya kufosi kubadili upande kwa nguvu (ambayo ndio hiyo ya kunyanyua zile nguvu hasi na kuzipunguza nguvu chanya).

Lakini njia hii ya kubadili upande huwa inamadhara sana kwa watu wa kwenye kundi hili ila huwa inafaida sana kwa wale watu wa kundi lile la hasi kwasababu njia hii ya kubadili upande kwa nguvu huwa inapelekea mtu huyu aharibiwe zile nguvu za kiuungu ndani yake na awekewe nguvu za giza na hapa ndio utakuta mtu huyu anafanikiwa, na watu hawa wanapoiendea njia hiyo hasi katika mafanikio huwa ndio wale ambao wanafanikiwa kwa masharti makali, unakuta mtu anakua tajiri ndani ya miaka mitano au mitatu na baada ya hapo anakufa, watu wengi wa namna hii ni wale ambao wameamua kujiroot yaani kuipa uwezo wa ziada ile asilimia ndogo ya nguvu hasi iliyopo ndani yao hadi kufikia kiwango sawa na ile nguvu chanya au kuwa katika kiwango cha juu kabisa kuizidi ile nguvu chanya. Na wengine hufikia hatua ya kuiondoa kabisa ile nguvu chanya na kubaki na nguvu hasi na watu hawa wakifanikiwa kuwa matajiri huwa utajiri wao haudumu kwanza, na pili, kipindi watakapofilisika watafilisika kwa aibu sana na hawataweza tena kusimama maisha yao yote ya hapa duniani, watakua makapuku kiasi cha kukosa hata shilingi mia, watavaa nguo kuu kuu hadi zile zilizoshonelezwa viraka, kwa maana wameiroot nguvu yao yote na wakaiua ile nguvu yao ya asili kwahiyo wanakua hawana hatima tena hapa duniani, kifupi ni watu ambao wanakua wameziharibu roho zao na ndio hawa huwa tunasema roho zao zimepata uharibifu na ndio maana waliowengi huwa waganga wanaamuaga kuwa chukua na kuwafanya misukule, ndio wale nimesema hapo juu wanapata utajiri wa labda wamiaka mitano baada ya hapo unakufa, hapa huendi kwenye ulimwengu wa juu bali unabaki kwa mganga na atakutumikisha kwenye shughuli zake za kichawi.

Kwahiyo ukijiona wewe umeshaenda sana kwa waganga na umeshafanya sana yale yanayofanywa na wengine ili ufanikiwe lakini haufanikiwi tafadhali acha mara moja na utoke kwenye huo upande usije ukajawa na tamaa pamoja na vishawishi hadi kupelekea kufikia hatua ya kuiharibu roho yako, utateseka sana hapa duniani na nnakuhakikishia hakutakua na mganga wala mtu yeyote atakaekua na uwezo wa kulitibu hilo tatizo lako isipokua labda Mungu mwenyewe aamue kukupa nafasi nyingine ukiwa bado ungali hapa duniani au katika kizazi kijacho.

Na kwa wale watu ambao wamebeba nguvu zote katika usawa yaani nguvu chanya asilimia hamsini na nguvu hasi asilimia hamsini huwa wanafanikiwa kivyovyote na hili ndio kundi la watu ambao hawatesekagi kiuchumi wao maisha yao huwa ni ya bahati bahati sana kwa maana ukimpeleka gizani anafanikiwa na ukimpeleka nuruni anafanikiwa pia.

Hawa ndio watu ambao wanauwezo mkubwa wa kuwa manabii wa ukweli na uongo, kwa maana wanauwezo wa kutumia nguvu za giza ili waweze kuwa watu wakubwa sana katika imani za kiroho upande wa nuru na akafanikiwa kwa kiwango kikubwa sana, atafanya miujiza mikubwa na uponyaji ila upande ambao anausimamia ni upande wa giza, hawa ndio wanaongoza kuvuruga au kuwapoteza watu kiimani na kuwashawishi watu waweze kuingia kwenye imani ambazo hazipo kwenye ulimwengu wa nuru hasa wanapoamua kuwa manabii wa uongo.

Ni watu wenye nguvu sana kwenye kila eneo watakalokuwepo, wakisimama kama waharifu basi wanakua ni waharifu wa kimataifa dizaini ya kina Pablo Escoba na wakisimama kwenye upande wa mambo ya kufuata sheria basi wanakua ni watu waliofanikiwa sana upande huo, na ni watu wenye kutetea na kulinda kile walichonacho hata kwa kumwaga damu za watu wengine ambao wanawakosoa au wanapanga mipango ya kuwaharibia, ila pia ni watu wazuri na wenye roho safi kama utakwenda kwa namna ile wao wanataka uende, na watu wa namna hii huwa hawajali kuhusu urafiki kwahiyo ukivuka mipaka huwa hawajiulizi mara mbili kukupoteza.

Kama nilivyosema kwamba manabii wengi uchwara huwa wanaangukia kwenye hili eneo na viongozi wengi magaidi duniani au wale madikteta huwa wanaangukia kwenye eneo hili.

Na viongozi ambao wanatokea kwenye hili kundi huwa wanafanikiwa sana kwasababu huwa wanakua na nguvu, na neno lao huwa ni sheria, kwahiyo kutokana na sifa hiyo hupelekea watu ambao wanahudumu kwenye serikali zao kuwa wasikivu na wanyenyekevu na kubwa zaidi kuwa wanawaogopa kila wanapo tokea.

Na hizi sio sifa ambazo mtu anaweza kuzitengeneza mwenyewe, isipokua hizi ni sifa ambazo zipo kwenye hatima ya mtu, kutokana na kwamba, watu wenye sifa za namna hii kuweza kufanya vizuri kila sehemu watakayo wekwa au kujiweka, basi hatima zao huwa ni kubwa sana, na mara nyingi huwa zinafika hadi ngazi za kidunia.

Kwenye mambo ya kinchi asilimia kubwa ya watu wanaofanya vizuri kwenye mambo ya ulinzi na intelligencia huwa wanatokea kwenye hili kundi, kwasababu ni watu ambao yawezekana wakawa wapole na wenye uadilifu hasa wanapoanza kuinyanyua sehemu chanya ya nguvu iliyomo ndani ya roho zao, ila pia hawahitaji muda kubadilika na kuwa wauwaji ndio maana kwenye vita wakipelekwa ni watu ambao wanakua na uwezo wa kuchinja kunyonga na kulinda pia kitu ambacho mtu mwenye nguvu chanya zilizojitokeza zaidi ya nguvu hasi ndani yake, hawezi kufanya.

Na uzuri wa watu hawa wanakua ni wazuri kwenye maeneo ya ulinzi kwasababu huwa wako na sifa zote mbili katika uwiano ulio sawa kwahiyo huwa wanajua kulinda na kushambulia ila wale walio na sifa ya upande hasi yenye nguvu zaidi ya ile ya upande chanya huwa ni watu ambao hawana sifa nzuri ya kulinda na ndio maana wengi huwa wanaangukia kwenye eneo la uharifu yaani ujambazi au uhasi na kufanya mauaji kwa watu wasio na hatia na wao wala hawajali chochote.

Pia hata madaktari wengi wanatokea kwenye hili eneo hasa wale wanaojihusisha zaidi na mambo ya upasuaji na hata waganga wa kienyeji ambao huwa wanafanya mambo yao kiuhalisia na walio na nguvu za kweli za kiuganga huwa wanatokea kwenye hili eneo.

Najua unamjua mwalimu wenu mmoja ambae yeye akitokea tu huwa wanafunzi wote wanamuogopa na ndio mwalimu maarufu sana hapo shuleni, na ndio mwalimu ambae aliongoza kutungiwa majina mengi ya utani, na walimu wa namna hii huwa wanapewa uongozi hasa kwenye kitengo kile cha nidhamu.

Sasa hao walimu, wengi huwa ni watu ambao wanatokea kwenye hili kundi, na watu wa namna hii sio tu shuleni bali hata nyumbani unakuta akitokea tu, watoto hata wakiwa wanaangalia TV huku wanapiga stori wanatulia kwanza na kila mmoja anajiweka vizuri, na baba akija kukaa hapo sebuleni utaona kila mtu anatafuta namna ya kutoka eneo lile kwa wakati wake mwenyewe.

Na unaweza ukajiuliza kwanini hili eneo huwa linatoa watu wengi wenye uwezo mkubwa kwenye vitu wavifanyavyo, na jibu ni kwamba hili eneo linakuwa na muunganiko wa moja kwa moja na dunia, kwa maana asili ya dunia ni nguvu hasi na chanya sasa ikitokea mtu mmoja akawa na asili ya namna hii yaani ya nguvu hasi na chanya zilizo katika usawa huwa tunasema ni kama dunia iliyo ndani ya mtu, kwahiyo mambo mengi ya kubadili au kuongoza kwenye hii dunia katika mifumo mbalimbali huwa inakua rahisi sana mikononi mwa watu hawa.

Na nikwambie tu watu hawa hawako wengi duniani na wanatokea kwa mara chache sana na endapo wakitokea huwa wanapofanya mambo yao kuwazuia mtatumia nguvu sana na ndio maana waharifu wengi wanaotokea kwenye kundi hili huwa wanasumbua sana dunia, na kibaya zaidi hawa watu huwa wanazaliwa na nguvu asili ya ulimwengu kwahiyo hata kurogeka huwa hawarogeki kizembe au huwa hawarogeki kabisa.

Huwa wanakua na uwezo mkubwa wa kuyaelewa mambo mbalimbali ya ulimwengu na ni watu ambao ukikutana nao ukiwapa kila mada wao wanaichangia vizuri kabisa, ni watu ambao ni rahisi kujifunza mambo mbalimbali na huwa ni kawaida sana hata kuwashuhudia wengi wakijua lugha za makabila au mataifa mbalimbali yaani wengi wanakua wanauwezo wa kuongea lugha nyingi.

Kwenye mahusiano hawa ni watu ambao huwa hawaumizwi kabisa na mambo ya mapenzi kwanza sio watu wanaojal,i kwahiyo hata wakiachwa wala haiwaumi na ni watu ambao hawadumu sana kwenye maswala ya ndoa hasa kama watapata wenza ambao sio waelewa yaani watu hawa huwa wanaongoza kuwa singo na wengine wanaweza wakawa singo hadi uzeeni hasa kama hawatopata watu wanao endana ki sifa.

Hawako romantic na wala hawana huruma kiivyo, kwahiyo inaweza ikatokea umekaa hapo unalia na yeye akawa amekaa zake pembeni anakuangalia tu na wala hana muda wa kukubembeleza, na sifa hii pia ipo kwa watu walio na nguvu hasi zaidi ya nguvu chanya.

Ila ndio kundi hatari sana na ni kundi ambalo linahitaji uangalizi wa kiroho ili kuwasaidia kunyanyua upande wao chanya kwasababu ni kama nilivyokuambia hawa watu mzani wa nguvu zao za asili umebalance kwahiyo imani zao juu ya mambo ya kiroho huwa ni hamsini kwa hamsini ila unapomsaidia kunyanyua upande wake chanya utamsaidia imani ya upande wa nuru ikue kuliko ya upande wa giza ila ukimuacha na akanyanyua upande wake hasi basi atasumbua sana kwenye giza atakaloamua kulitumikia.

Hawa ndio watu wa aina ya kina Sauli kwenye biblia na nadhani unaijua shughuli ya Sauli alipoachwa bila kupewa usaidizi wa kunyanyua upande chanya wa nguvu zake za kiroho na badala yake alinyanyua nguvu hasi na kupelekea kuwa mtu muuaji mkubwa hadi pale Mungu mwenyewe alipomtokea na kumtia upofu, zingatia sana kwenye hilo neno upofu, kwa maana sio upofu wa macho ila ni upofu wa kile alichokua anakiamini na kuoneshwa njia sahihi impasayo kupita na hapo ndipo alipokuwa Paulo, ambae wote tunajua mchango wake katika upande wa dini ya kikristo. Kwahiyo Sauli ambae baadae alikuja kuitwa Paulo ni mfano mzuri wa watu wa namna hii.

Kutokana na ugumu uliopo wa kuweza kumjua mwanao kama yuko kwenye kundi hili au lile, hivyo basi jitahidi sana kuwapeleka watoto wako au kuwahimiza kwenda kwenye mafundisho ya kiimani ya dini yako, haijalishi wewe unaamini au hauamini iwe unahudhuria ibada au hauhudhurii ila kwa kufanya hivyo utamsaidia mtoto ambae anatokea kwenye kundi hili aweze kuinyanyua nguvu chanya iliyopo ndani yake kuliko ile hasi na hapa ndipo utakapomuona mwanao anafanya mambo makubwa katika huu ulimwengu.

… kwa sasa wacha niishie hapa ila katika post inayofuata bado nitabaki hapa hapa kwenye nguvu za asili na nitakuja kukuelezea sasa kwanini nilisema watu waliobeba nguvu chanya au hatima za kiungu huwa wanaongoza kuwa masikini na kwanini uchumi wa dunia unaongozwa na watu waliobeba nguvu hasi yaani wale wenye hatima za kishetani.
Muendelezo vipi?
Sehemu ya 5 lini ?
 
Tunaomba muendelezo,

Na kingine,

NAOMBA ufafanuzi ,uliposema mtu anapo Anza kujitambua njia ya Hatma yake Ili aipite vema, anaitaji kuongezea kiwango chake Cha kiroho ,


Hapo ungetilia mkazo,
Hatma na kiwango Cha kiroho vinauhusiano Gani,

KUSUDI la mtu kuwepo linaweza kuibiwa, KUSUDI la mtu kuwepo ni mpaka awe wa kiroho ndio linatimia au vipi,
Sawa mkuu... mpaka nikimaliza huu uzi kwenye vipande kadhaa vilivyobaki utapata jibu la maswali haya
 
NAOMBA ufafanuzi hapo kwenye Mahusianomwanaume mwenye chanya anaweza kumpa nguvu za uchanya mwanamke mwenye asili za HASI na je hizo hazi za mwanamke zinaenda wapi , je na yeye HASI zake haziendi Kwa mwanaume au zinapotelea wapi?
Tunaona chanya zinaenda Kwa mwenye HASI na yule mwenye HASI muda huo anapiipokea chanya zakwake HASI zinaenda Kwa mwenye chanya au vipi au hizo HASI zinapotea wapi???
Sawa hili swali nimelijibu kwenye kipande cha mbele kidogo kwahiyo twende mdogo mdogo kwa maana nikikiweka utapata majibu yako moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom