Said Cosmetics
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 2,001
- 1,591
Mkuu hii chai tunywe au tusubiri vitafunwa?
Chai kabisa hii. Kingine cha kujiuliza huyo mtoto alijuaje kuwa mama yake anaingiliwa kinyuma? Aliwachungulia?Sidhan kama ni kweli,mama na mtoto ambae analiwa kiboga kugombea bwana mmoja huyo ni mama wa aina wa gani ?
Hapo sasa hii hata mm nimekataaChai kabisa hii. Kingine cha kujiuliza huyo mtoto alijuaje kuwa mama yake anaingiliwa kinyuma? Aliwachungulia?
Inawezekana, kama binti na mama ake wanaliwa na mtu mmoja scenario hiyo inashindikana vipiSidhan kama ni kweli,mama na mtoto ambae analiwa kiboga kugombea bwana mmoja huyo ni mama wa aina wa gani ?
Hata huyo mama na 'binti yake' nao ni wahamiaji hapa Dar, kwa asili ni wenyeji wa Mkundubaro. Tafadhali unapotoka, toka nao.
Nimerudi mkuu!! Bado nilikuwa nashuhudia mtanange wa mabinti wakisutana huku wanachomekea dera kwenye vyupi vyaourudi mku... wapi?? ππ
πππNimerudi mkuu!! Bado nilikuwa nashuhudia mtanange wa mabinti wakisutana huku wanachomekea dera kwenye vyupi vyao
Nilitaka nichangie Ila kila nikiangalia profile yako macho yananiuma unaweza kuiondoa halafu tuendeleeHapa kwetu uswahilini, tumeamka na tifu la kufa kuku na vifaranga wake.
Mtoto wa kiume ambae tulihisi tangu mwanzo ya kuwa ni kachumbari ya makafiri, anashikana nguo na mama yake mzazi kisa kibwana ambacho kina umri sawa na hii delicious, ila mama nae anapigwa mikwaju ya nguoni na hiki kijamaa huku kinamkula na kijana mwenzie.
Leo delicious kaamua kumtolea uvivu mama ake baada ya kuvumilia na kushindwa huku akitoa lawama kwa kibenteni kuwa alimwambia mtaro atamfukua yeye na mama ake atamchimba kawaida ila amefuatilia na kugundua mama yake nae analiwa biriani na kijamaa.
Asalaleee!
Uswahilini kunanoga ila sio kwa kutiana gundu ahsubuhi hii jamani, wengine tumekopa pesa za watu tunawakwepaga ahsubuh kwa kudamka ila sasa ugomvi huu utasababisha tukutane na wanaotudai!
Duh Dunia simama nishuke, yani mtoto wa kiume unagombania dudu na mama yako mzazi?
Bora nirudi kwetu Mkundubaro niepuke fedheha za hawa wanaume wa Dar