Dunia ya sasa iko hivi

Mimi nimeielewa ya paka wawili si inamaanisha mataifa makubwa yenye maendeleo yanapambana kuyanyonya madogo
 
Mtu kafungwa pingu afu anazipendezesha kwa rangi ili zivutie daah ya Qaisal mwachie QAISAL
 
Ujumbe mzito sana kuhusu ukoloni wa kisasa, kutokuwa na usawa wa haki ya umiliki kati ya mzungu na mwafrika, matabaka ndani ya jamii, ushoga.
generally reflect existing situation of discrimination worldwide.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…