Chadema kama kundi hawawezi kuleta Ukombozi wowote ila Mwanachama mmoja wa Chadema aliyejitoa Sauti yake inaweza kumfikia Mungu wa Mbinguni
Kwa mfano Shujaa Magufuli alijitoa Sadaka yeye binafsi kwa ajili ya Taifa hili
Shetani ndio hukusanya Umati mkubwa wa Watu Ili awaingize kuzimu lakini Mungu wa Mbinguni huleta Ukombozi kupitia Mtu mmoja tu
Ahsanteni Sana