Duniani kuna karma na hakuna kitu kinachoitwa Albadir, Albadir haina madhara yoyote

Duniani kuna karma na hakuna kitu kinachoitwa Albadir, Albadir haina madhara yoyote

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Albadiri nayo ni scam, kama scam nyingine. Karma ipo na inafanya kazi hili halipingiki.

Msemo wa malipo ni hapahapa duniani ndio "karma hiyo".

Ukifanya mema utalipwa mema na ukifanya mabaya utalipwa mabaya kama kawaida. Kitu kinachoitwa Albadir hakina nguvu yoyote ile , hakijawahi kuwepo na hakitokuepo.

Haijawahi kutokea eti Aya fulani itamsababishia fulani madhara, karma itakufuata popote wewe ulietenda lakini albadir haiwezi kamwe.

Iraq, Palestina, Lebanon huko watu wanapigika kama kawaida ina maana wao hawajui hizo aya za albadiri?
 
Albadiri nayo ni scam , kama scam nyingine,
Karma ipo na inafanya kazi hili halipingiki.
Msemo wa malipo ni hapahapa duniani ndio "karma hiyo"
Ukifanya mema utalipwa mema na ukifanya mabaya utalipwa mabaya kama kawaida ,
Kitu kinachoitwa Albadir hakina nguvu yoyote ile , hakijawahi kuwepo na hakitokuepo,
Haijawahi kutokea eti Aya fulani itamsababishia fulani madhara , karma itakufuata popote wewe ulietenda lakini albadir haiwezi kamwe,
Iraq, palestina, Lebanon huko watu wanapigika kama kawaida ina maana wao hawajui hizo aya za albadiri , ?
Alisomewa Afande Sele na hakufa. Vitu vingine ni kutushana tu
 
Hizo dini zenyewe inatakiwa zifanyiwe utafiti wa kina ili kupata ukweli wa uwepo wake
 
Albadiri nayo ni scam , kama scam nyingine,
Karma ipo na inafanya kazi hili halipingiki.
Msemo wa malipo ni hapahapa duniani ndio "karma hiyo"
Ukifanya mema utalipwa mema na ukifanya mabaya utalipwa mabaya kama kawaida ,
Kitu kinachoitwa Albadir hakina nguvu yoyote ile , hakijawahi kuwepo na hakitokuepo,
Haijawahi kutokea eti Aya fulani itamsababishia fulani madhara , karma itakufuata popote wewe ulietenda lakini albadir haiwezi kamwe,
Iraq, palestina, Lebanon huko watu wanapigika kama kawaida ina maana wao hawajui hizo aya za albadiri , ?
Mkuu si kupingi ila uelewa wako mdogo sna ila ukweli wa ukweli vitu vyote hivo vipo, na maanisha albadiri na karma(zipo aina mbili) , lau kama ingewezekana basi ninge kuelekeza sehemu uende kuiba kitu (na hapo Huwa hawafungi milango ungeijua hyo albadiri ikoje) albadiri ipo na karma ipo ila albadiri ni haramu (imekatazwa) ila karma haina shida ila kuhusu Palestine, Lebanon na Iraq hao hzo karma zinafanya kazi lakini zile direct ndio ninazohisi,
 
Ukikuta masheikh walivotoa macho kutisha watu utahisi kweli ipo , lakini hakuna kitu kama hiyo
Kaibe kitu au katembee na mke wa mpemba au mkojani either mtumbatu, halafu uje hapa ulete ushuhuda,


Nna kisa kirefu ningekileta hapa juu ya mtumbatu mmoja alivyomfanya jamaa mwaka 2012, ila kwakuwa Jf watu much know ni wengi siwezi kukileta, najua ntaishia kujibizana tu na vichaa wa Jf.
 
Yote ni au subject to Imani ya mtu. Hakuna kilicho universal!
1. Uchawi unaamniwa zaidi na watu weusi na waasia!
2. Karma inaaaminiwa zaidi na wahindi!
3. Novena, upako, uvuvio, lugha gongana, maji ya baraka Ina aminiwa zaidi na Wakristo!
4. Albadir inaaaminiwa zaidi na Waislamu

Kazi ni kwako!
Ujinga ni kudhani wenzako wanakosea wewe unapatia!
 
Mzee wangu ukitaka kujua albadiri ipo na ni mbaya wafanyie uovu bila wao kukukosea. Wakikumind pengine hatutakuona Tena huku ushakuwa chizi. Na ili kumfanyia mtu albadiri Kuna masharti mengi sana mteja hupewa ilimradi asipate hamu ya kuendea jambo hili.
Moja ya masharti haya huombwa kusamehe juu ya alichofanyiwa.
2.huombwa kutangaza jambo hili hadharani si chini ya mara 3 Kwa wanaodhaniwa kufanya jambo hili labda wizi, mauaji nk.
Nikupe stori Moja niliyoishuhudia ikiwa ni athari ya hii kitu.
Mwaka 2005 familia Moja huko unknown region palitokea Msiba. Baada ya Msiba walibaki ndugu wa karibu tu wakimalizia maombolezo. Basi katika kikao hiki Cha Wana familia wengi tu karibu 12 hivi simu ya mkononi ilipotea na sitoshe Kwa miaka Ile simu ilikua jambo la maana sana pengine kuliko nyumba. Mmiliki akatangaza simuye imepotea watu kimya. Akaahidi kusoma albadiri ili aangamie mwizi . Wana familia wakasema no! Usifanye hivyo basi mmiliki akasema poa. Ajabu zaidi Kuna dada mmoja alikuwa akihisiwa labda ni yeye so ikawepo minon'gono ni yule ni yule. Yule dada aliposikia akasema no siwezi kusingiziwa jambo hili albadiri isomwe tu aangamie aliyefanya jambo hili.
Basi bwana akaenda mwibiwa simu Kwa mtaalam kufanyiwa jambo Lile but mtalam akamwambia swala hili si tu litamwangamiza aliyeiba Bali hata kizazi chenu na chake so waache mpango ule.
Wakabisha isomwe tu. Basi mzigo ukasomwa akaangamia mwizi, na familia yake ikaanza kupukutika isitoshe familia pia ikaanza kupukutika.
Laana hii imewafata so mchezo. Wale watu wamepungua wamebaki wachache sana.
Mwisho
 
Yote ni au subject to Imani ya mtu. Hakuna kilicho universal!
1. Uchawi unaamniwa zaidi na watu weusi na waasia!
2. Karma inaaaminiwa zaidi na wahindi!
3. Novena, upako, uvuvio, lugha gongana, maji ya baraka Ina aminiwa zaidi na Wakristo!
4. Albadir inaaaminiwa zaidi na Waislamu

Kazi ni kwako!
Ujinga ni kudhani wenzako wanakosea wewe unapatia!
Kama haujui basi haujui tu, ndio maana vitabu vya dini vina sisitiza juu ya elimu nakama hilo limekushinda basi jifunze hata ya wahenga utapata faida
 
Back
Top Bottom